< 2 Wakorintho 9 >
1 Kuhusiana na huduma kwa ajili ya waumini, ni bora zaidi kwangu kuwaandikia.
Now [I want to write] more about the gift [of money] [EUP] that [you and other believers are preparing to send] to the believers [in Judea province]. I do not [really] need to [continue writing to you about it],
2 Ninajua kuhusu shauku yenu, ambayo nilijivunia kwa watu wa Makedonia. Niliwaambia kwamba Akaya imekuwa tayari tangu mwaka uliopita. Hamu yenu imewatia moyo wengi wao kutenda.
because I already know that you really want to help them. In fact, I have been boasting [about you], telling the [believers here in] Macedonia [province] that [you people in] Achaia [province] have been ready to help, since last year. As a result, because you are very eager to help [the believers in Judea province], you have made most of [the believers here in Macedonia province also want] to give [a gift].
3 Sasa, nimewatuma ndugu ili kwamba majivuno yetu kuhusu ninyi yasiwe ya bure, na ili kwamba mngekuwa tayari, kama nilivyosema mngekuwa.
However, I am sending Titus and the other two believers in order that [they will be able to help you finish collecting the money. Then when I and others arrive later, the people with me will see for themselves that] the things that I have been boasting about you are true [LIT]. [I want] you [to have your gift] ready [for us(exc) to take to Jerusalem], just like I have been telling others that you were ready.
4 Vinginevyo, kama mtu yeyote wa Makedonia akija pamoja nami na kuwakuta hamjawa tayari, tungeona haya — sisemi chochote kuhusu ninyi—kwa kuwa jasiri sana katika ninyi.
When I come, if any of [the believers from] Macedonia come with me, [I do not want them to find that your gift is] [MTY, EUP] not ready. If that were [to happen], I would be very ashamed, and you yourselves would be even more ashamed.
5 Hivyo niliona ilikuwa muhimu kuwasihi ndugu kuja kwenu na kufanya mipango mapema kwa ajili ya zawadi mlizoahidi. Hii ni hivyo ili kwamba ziwe tayari kama baraka, na si kama kitu kilichoamriwa.
So that is why I felt that it was necessary to urge these [three] believers to go [and visit] you before I [come. In that way, they would be able to help you finish] collecting the generous gift [EUP] that had been promised by you {you had said you would give}. [If you do that, not only will] the gift be ready [by the time that we arrive, but everyone will see that you have given because you really want to give, and] not because anyone has forced you to give.
6 Wazo ni hili: mtu apandaye haba pia atavuna haba, na yeyote apandaye kwa lengo la baraka pia atavuna baraka.
Do not forget this: “[A farmer] who sows only a few [seeds] will not gather/reap a large [harvest], but the one who sows a lot [of seeds] will gather/reap a large [harvest] [MET].” [Similarly, if you give just a little to help others, God will give you only a few blessings. But if you give willingly and cheerfully to help people, you will receive in return many blessings from God].
7 Basi na kila mmoja atoe kama alivyopanga moyoni mwake. Basi naye asitoe kwa huzuni au kwa kulazimishwa. Kwa kuwa Mungu humpenda yule atoaye kwa furaha.
Each of you should decide how much you [(sg)] should give, [and then give that amount]. You [(sg)] should not [be thinking to yourself], “[I really] do not want to give this money.” [And you(sg) should] not give [just] because someone tells [you to give. Instead, you should give willingly and cheerfully], because God loves those who give cheerfully.
8 Na Mungu anaweza kuizidishia kila baraka kwa ajili yenu, ili kwamba, kila wakati, katika mambo yote, muweze kupata yote mnayohitaji. Hii itakuwa ili kwamba mueze kuzidisha kila tendo jema.
Moreover, God can enable you to [give to others cheerfully. If you give that way], God will [in return] give you many good blessings. He will do that so that at all times you will always have everything that you need. Indeed, you will have even more [than you need. As a result, you will be able to do] many more good things [to help others].
9 Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn )
[Those who give willingly and cheerfully will be rewarded like the man about whom] it is written {[about whom] (someone/the Psalmist) wrote} in the Scriptures, He generously [helps others], [he gives to those] who are poor. [God will remember] the good things that he did, [and reward him with] good things forever. (aiōn )
10 Naye atoaye mbegu kwa mpanzi na mkate kwa ajili ya chakula, pia atatoa na kuzidisha mbegu yenu kwa ajili ya kupanda. Yeye ataongeza mavuno ya haki yenu.
[God always] gives seeds to farmers to plant, and also gives them food to eat. [So, similarly, God will] always make it possible for you to have enough money [MET], so that you will be able more and more to generously [help those who are needy].
11 Mtatajirishwa kwa kila namna ili kwamba muweze kuwa wakarimu. Hii italeta shukrani kwa Mungu kupitia sisi.
[God] will [give you] many blessings in many different ways as a result of your generously [helping others]. Furthermore, [the] generous [gift that you are getting ready for] us [(exc) to take to the believers in Judea province] will cause [many people] to thank God.
12 Kwa kufanya huduma hii sio tu inagusa mahitaji ya waumini. Pia huzidisha katika matendo mengi ya shukrani kwa Mungu.
[Also remember that] when you give money to [EUP] help God’s people, you not only give them what they need, but also, [because of that], [many people will] thank God very much [for you and for what you have done].
13 Kwa sababu ya kupimwa kwenu na kuthibitishwa kwa huduma hii, pia mtamtukuza Mungu kwa utii kwa ukiri wenu wa injili ya Kristo. Pia mtamtukuza Mungu kwa ukarimu wa karama yenu kwao na kwa kila mmoja.
As a result of your giving [money to help others], they will praise God, not only because you have believed the good message about Christ, but also because you have [generously given some of your possessions] so that they and other [believers will all have] ([enough/their needs supplied]).
14 Wanawatamani, na wanaomba kwa ajili yenu. Wanafanya hivi kwa sababu ya neema kubwa ya Mungu iliyo juu yenu.
Also, when they pray for you, [asking God to bless you, they will remember how grateful they are] [IDM] that God [caused you to give] very willingly and cheerfully.
15 Shukrani ziwe kwa Mungu kwa karama yake isiyoelezeka!
[Finally, we should all] thank God [because he gave us the greatest gift of all when he sent his Son to save/rescue us(inc)] ([from the guilt of our sin/from being punished for our sin]). That is a gift too wonderful for anyone to be able to tell about completely!