< 2 Wakorintho 9 >
1 Kuhusiana na huduma kwa ajili ya waumini, ni bora zaidi kwangu kuwaandikia.
Myslím, že bych se o té akci na pomoc Jeruzalémským ani nemusel tolik rozepisovat.
2 Ninajua kuhusu shauku yenu, ambayo nilijivunia kwa watu wa Makedonia. Niliwaambia kwamba Akaya imekuwa tayari tangu mwaka uliopita. Hamu yenu imewatia moyo wengi wao kutenda.
Vím, že tyto věci jsou pro vás samozřejmé, a v Makedonii jsem hrdě prohlašoval, že vy jste se sbírkou začali už vloni. Právě ta vaše horlivost nakazila mnohé z nich.
3 Sasa, nimewatuma ndugu ili kwamba majivuno yetu kuhusu ninyi yasiwe ya bure, na ili kwamba mngekuwa tayari, kama nilivyosema mngekuwa.
Teď k vám posílám tyto bratry, abych se přesvědčil, zda jsem vás nepřechválil. Jak bych potom vypadal před Makedonskými, kdyby se ukázalo, že jsem neměl pravdu? Musel bych se propadnout hanbou a vy teprve!
4 Vinginevyo, kama mtu yeyote wa Makedonia akija pamoja nami na kuwakuta hamjawa tayari, tungeona haya — sisemi chochote kuhusu ninyi—kwa kuwa jasiri sana katika ninyi.
5 Hivyo niliona ilikuwa muhimu kuwasihi ndugu kuja kwenu na kufanya mipango mapema kwa ajili ya zawadi mlizoahidi. Hii ni hivyo ili kwamba ziwe tayari kama baraka, na si kama kitu kilichoamriwa.
Proto jsem pokládal za nutné poprosit tyto bratry, aby shromáždili všechny vaše příspěvky ještě před mým příjezdem, aby to pak nevypadalo, že jsem je přijel vymáhat.
6 Wazo ni hili: mtu apandaye haba pia atavuna haba, na yeyote apandaye kwa lengo la baraka pia atavuna baraka.
Pamatujte však: skoupá setba – hubená sklizeň. Bohatou úrodu sklidí ten, kdo zasévá štědře.
7 Basi na kila mmoja atoe kama alivyopanga moyoni mwake. Basi naye asitoe kwa huzuni au kwa kulazimishwa. Kwa kuwa Mungu humpenda yule atoaye kwa furaha.
Velikost svého příspěvku ať si určí každý sám, nikoho nenuťte dávat víc, než sám chce. Bůh nemá zájem o vynucené dary: miluje toho, kdo dává rád. On si může dovolit ponechat to na vás:
8 Na Mungu anaweza kuizidishia kila baraka kwa ajili yenu, ili kwamba, kila wakati, katika mambo yote, muweze kupata yote mnayohitaji. Hii itakuwa ili kwamba mueze kuzidisha kila tendo jema.
vždyť od něho dostáváte nejen všechno, co sami potřebujete, ale navíc ještě tolik, abyste mohli být štědří i k jiným.
9 Ni kama ilivyoandikwa: “Ametapanya utajiri wake na kuutoa kwa maskini. Haki yake yadumu milele.” (aiōn )
Vždyť podle Písma Bůh nikdy nezavře svou ruku před štědrými. (aiōn )
10 Naye atoaye mbegu kwa mpanzi na mkate kwa ajili ya chakula, pia atatoa na kuzidisha mbegu yenu kwa ajili ya kupanda. Yeye ataongeza mavuno ya haki yenu.
On, který dává rolníku chléb i zrno na setí, poskytne potřebnou setbu i vám a z její sklizně budete mít stále víc pro sebe i pro druhé. K němu pak budou směřovat vždy četnější díky, které od vás odevzdáme.
11 Mtatajirishwa kwa kila namna ili kwamba muweze kuwa wakarimu. Hii italeta shukrani kwa Mungu kupitia sisi.
12 Kwa kufanya huduma hii sio tu inagusa mahitaji ya waumini. Pia huzidisha katika matendo mengi ya shukrani kwa Mungu.
Nejde totiž jenom o to, že se pomůže jeruzalémským křesťanům; neméně důležitá je vděčnost Bohu, která tím bude vzbuzena.
13 Kwa sababu ya kupimwa kwenu na kuthibitishwa kwa huduma hii, pia mtamtukuza Mungu kwa utii kwa ukiri wenu wa injili ya Kristo. Pia mtamtukuza Mungu kwa ukarimu wa karama yenu kwao na kwa kila mmoja.
Kdekdo bude Bohu děkovat za to, že jeho slovo milosti a záchrany našlo u vás tak bohatou odezvu.
14 Wanawatamani, na wanaomba kwa ajili yenu. Wanafanya hivi kwa sababu ya neema kubwa ya Mungu iliyo juu yenu.
Budou se za vás modlit a přilnou k vám vřelým bratrským vztahem.
15 Shukrani ziwe kwa Mungu kwa karama yake isiyoelezeka!
Díky Bohu za Ježíše Krista, ten vzácný dar nad všechny dary!