< 2 Wakorintho 8 >

1 Tunawataka ninyi mjue, kaka na dada, kuhusu neema ya Mungu ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia.
Tudtotokra adjuk pedig, atyámfiai, Istennek azt a kegyelmét, amelyet Macedónia gyülekezeteinek adott.
2 Wakati wa jaribu kubwa la mateso, wingi wa furaha yao na ongezeko la umaskini wao umezaa utjiri mkubwa wa ukarimu.
A nyomorúság sok próbája között is bőséges az örömük, és jószívűségük igen nagy szegénységüket gazdagsággá növelte.
3 Kwa maana nashuhudia kwamba walitoa kwa kadiri ya walivyoweza, na hata zaidi ya walivyoweza.
Tanúsíthatom, hogy erejük szerint, sőt erejük felül adakoztak,
4 Na kwa hiari yao wenyewe kwa kutusihi kwingi, walituomba kwa ajili ya kushiriki katika huduma hii kwa waumini.
és kértek minket, hogy a szentek iránti szolgálatban adakozással részt vehessenek.
5 Hii haikutokea kama tulivyokuwa tunatarajia. Badala yake, kwanza walijitoa wao wenyewe kwa Bwana. Kisha wakajitoa wao wenyewe kwetu kwa mapenzi ya Mungu.
Reménységünket fölülmúlva először önmagukat adták az Úrnak és nekünk, Isten akarata szerint.
6 Hivyo tulimsihi Tito, aliyekuwa tayari ameanzisha kazi hii, kuleta katika utimilifu tendo hili la ukarimu juu yenu.
Úgyhogy kérnünk kellett Tituszt, hogy amiképpen elkezdte, úgy fejezze is be nálatok ezt a szolgálatot.
7 Lakini ninyi mna wingi katika kila kitu- katika imani, katika usemi, katika maarifa, katika bidii, na katika upendo wenu kwa ajili yetu. Hivyo hakikisheni kwamba ninyi mnakuwa na wingi pia katika tendo hili la ukarimu.
Ezért, amiképpen mindenben bővölködtök, hitben, beszédben, ismeretben és minden buzgóságban és a hozzánk való szeretetben, úgy bővölködjetek ebben a szolgálatban is.
8 Nasema hili si kama amri. Badala yake, nasema hili ili kupima uhalisi wa upendo wenu kwa kuulinganisha na shauku ya watu wengine.
Nem parancsként mondom, hanem hogy mások buzgósága által a ti szeretetetek valódiságát kipróbáljam.
9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo. Hata kama alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikuwa maskini. Ili kwamba kupitia umaskini wake mweze kuwa tajiri.
Mert ismeritek a mi Urunk Jézus Krisztus kegyelmét, aki gazdag lévén szegénnyé lett értetek, hogy ti az ő szegénysége által meggazdagodjatok.
10 Katika jambo hili nitawapa ushauri ambao utawasaidia. Mwaka mmoja uliopita, hamkuanza tuu kufanya jambo. Lakini mlitamani kulifanya.
Tanácsot is adok nektek ebben a dologban, mert ez hasznos nektek. Tavaly óta jó szándékotok megvalósítását elkezdtétek.
11 Sasa likamilisheni. Kama tu kulivyokuwa na shauku na nia ya kulifanya, kisha, je, mngeweza pia kulileta katika ukamilifu, kwa kadri ya mnavyoweza.
Most tehát vigyétek is végbe, hogy amiképpen a jó szándék megvolt bennetek, úgy a végrehajtás ahhoz képest valósuljon meg, amitek van.
12 Kwa kuwa mnashauku ya kufanya tendo hili, ni jambo zuri na linakubalika. Lazima lisimame juu ya kile alichonacho mtu, siyo juu ya asichokuwa nacho mtu.
Mert ha a készség megvan, az aszerint kedves, hogy kinek mije van, és nem aszerint, amije nincs.
13 Kwa kuwa kazi hii siyo kwa ajili kwamba wengine waweze kupata nafuu na ninyi mweze kulemewa. Badala yake, kuwe na usawa.
Azért, hogy másoknak könnyebbségük legyen, nektek ne legyen nyomorúságtok, hanem egyenlő mérték szerint. A ti mostani bőségetek pótolja az ő hiányukat.
14 Wingi wenu wa wakati wa sasa utasaidia kwa kile wanachohitaji. Hii ni hivyo pia ili kwamba wingi wao uweze kusaidia mahitaji yenu, na kwamba kuwe na usawa.
Máskor meg az ő bőségük pótolja a ti hiányotokat, hogy így egyenlőség legyen.
15 Hii ni kama ilivyoandikwa; “Yeye aliye na vingi hakuwa na kitu chochote kilichobaki na yeye aliyekuwa na kidogo hakuwa na uhitaji wowote.”
Amint meg van írva: „Aki sokat szedett, nem volt többje; aki keveset, nem volt kevesebbje.“
16 Lakini ashukuriwe Mungu, aliyeweka ndani ya moyo wa Tito moyo uleule wa bidii ya kujali ambyo ninayo kwa ajili yenu.
Hála legyen az Istennek, aki ugyanazt a buzgóságot oltotta értetek Titusz szívébe,
17 Kwa kuwa si tu alipokea maombi yetu, bali pia alikuwa na bidii kuhusiana na maombi hayo. Alikuja kwenu kwa hiari yake mwenyewe.
aki nemcsak elfogadta kérésünket, hanem nagy buzgóságában önként ment el hozzátok.
18 Tumemtuma pamoja naye ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa kwa ajili ya kazi yake katika kutangaza injili.
Mi pedig elküldtük vele azt az atyafit is, akit minden gyülekezetben dicsérnek evangélium hirdetéséért.
19 Si hivi tu, lakini pia alichaguliwa na makanisa kusafiri nasisi katika kulibeba sehemu mbalimbali tendo hili la ukarimu. Hii ni kwa utukufu wa Bwana mwenyewe na kwa shauku yetu ya kusaidia.
Sőt a gyülekezetek útitársunknak is megválasztották ebben a jó ügyben, amelyet szolgálunk az Úrnak dicsőségére és a jó szándékunk megmutatására.
20 Tunaepuka uwezekano kwamba yeyote napaswa kulalamika kuhusiana na sisi kuhusiana na ukarimu huu ambao tunaubeba.
Óvakodunk attól, hogy valaki megrágalmazzon minket szolgálatunk bőséges eredménye miatt.
21 Tunachukua uangalifu kufanya kilicho cha heshima, sio tu mbele za Bwana, lakini pia mbele za watu.
Mert gondunk van a tisztességre nemcsak az Úr előtt, hanem emberek előtt is!
22 Pia tunamtuma ndugu mwingine pamoja nao. Tumempima mara nyingi, na tumemwona ni mwenye shauku for ajili ya kazi nyingi. Hata sasa ana bidii zaidi kwa sababu ya ujasiri mkubwa alionao ndani yenu.
Sőt elküldtük velük együtt azt az atyánkfiát is, akinek buzgóságát sok dologban sokszor kipróbáltuk, aki most még sokkal buzgóbb, mert nagyon bízik bennetek.
23 Kwa habari ya Tito, yeye ni mshirika mwenza wangu na mtendakazi mwenzangu kwa ajili yenu. Kama kwa ndugu zetu, wanatumwa na makanisa. Ni waheshima kwa Kristo.
Akár Tituszról van szó, aki az én társam és közöttetek segítségem, akár a mi atyánkfiáról, ők a gyülekezetek követei, Krisztus dicsősége.
24 Hivyo, waonesheni upendo wenu, na muoneshe kwa makanisa sababu ya majivuno yetu kwa ajili yenu.
Mutassátok meg irántuk szereteteteket, és a gyülekezetek előtt is adjátok bizonyságát, hogy méltán dicsekedtünk veletek.

< 2 Wakorintho 8 >