< 2 Wakorintho 8 >
1 Tunawataka ninyi mjue, kaka na dada, kuhusu neema ya Mungu ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia.
Musím vám teď povědět, jak ohromně zapůsobila Boží milost v křesťanských obcích v Makedonii.
2 Wakati wa jaribu kubwa la mateso, wingi wa furaha yao na ongezeko la umaskini wao umezaa utjiri mkubwa wa ukarimu.
Ačkoliv se tam museli potýkat s všelijakými nesnázemi a podstoupit nejednu tvrdou zkoušku, byla radost věřících tak veliká, že při vší své chudobě sebrali mezi sebou neuvěřitelnou částku.
3 Kwa maana nashuhudia kwamba walitoa kwa kadiri ya walivyoweza, na hata zaidi ya walivyoweza.
Nedávali jen to, co jim přebývalo, ale daleko víc.
4 Na kwa hiari yao wenyewe kwa kutusihi kwingi, walituomba kwa ajili ya kushiriki katika huduma hii kwa waumini.
Pokládali to za vyznamenání, že se mohli podílet na sbírce pro jeruzalémské křesťany.
5 Hii haikutokea kama tulivyokuwa tunatarajia. Badala yake, kwanza walijitoa wao wenyewe kwa Bwana. Kisha wakajitoa wao wenyewe kwetu kwa mapenzi ya Mungu.
Jejich obětavost předstihla všechna moje očekávání – tak úplně se dali k dispozici Bohu a v jeho jménu i nám.
6 Hivyo tulimsihi Tito, aliyekuwa tayari ameanzisha kazi hii, kuleta katika utimilifu tendo hili la ukarimu juu yenu.
Proto jsem požádal Tita, který u vás začal organizovat sbírku už dříve, aby se k vám znovu vypravil a pomohl vám toto dílo lásky dokončit.
7 Lakini ninyi mna wingi katika kila kitu- katika imani, katika usemi, katika maarifa, katika bidii, na katika upendo wenu kwa ajili yetu. Hivyo hakikisheni kwamba ninyi mnakuwa na wingi pia katika tendo hili la ukarimu.
Není nic, čeho by se vám nedostávalo: víra, účinné slovo, poznání, dobrá vůle i vřelý vztah k nám – ve všem můžete být dáváni za vzor. Doufám, že i váš příspěvek k této službě lásky bude stejně příkladný.
8 Nasema hili si kama amri. Badala yake, nasema hili ili kupima uhalisi wa upendo wenu kwa kuulinganisha na shauku ya watu wengine.
Neberte to jako příkaz. Přál bych si jen, abyste dokázali svou lásku stejně horlivě.
9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo. Hata kama alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikuwa maskini. Ili kwamba kupitia umaskini wake mweze kuwa tajiri.
Jistě jste nezapomněli, co pro vás udělal Kristus: sám bohatý, kvůli vám vzal na sebe dobrovolně chudobu, abyste vy jeho chudobou zbohatli.
10 Katika jambo hili nitawapa ushauri ambao utawasaidia. Mwaka mmoja uliopita, hamkuanza tuu kufanya jambo. Lakini mlitamani kulifanya.
Měli byste tedy ten nápad, který se zrodil u vás, dotáhnout až do konce. Když jste začali s takovým nadšením, nepolevujte nyní a ochotně dávejte, kolik můžete. Kdo více dát nemůže, ať se netrápí. Bohu záleží na ochotě, a ne na velikosti daru.
11 Sasa likamilisheni. Kama tu kulivyokuwa na shauku na nia ya kulifanya, kisha, je, mngeweza pia kulileta katika ukamilifu, kwa kadri ya mnavyoweza.
12 Kwa kuwa mnashauku ya kufanya tendo hili, ni jambo zuri na linakubalika. Lazima lisimame juu ya kile alichonacho mtu, siyo juu ya asichokuwa nacho mtu.
13 Kwa kuwa kazi hii siyo kwa ajili kwamba wengine waweze kupata nafuu na ninyi mweze kulemewa. Badala yake, kuwe na usawa.
Nejde o to, aby si jiní mohli dopřávat na váš účet. Ale jestliže se vám nyní vede lépe, rozdělte se s potřebnějšími. Vždyť oni mohou zase pomoci vám, když se situace změní. Tak budete mít každý právě tolik, kolik potřebujete,
14 Wingi wenu wa wakati wa sasa utasaidia kwa kile wanachohitaji. Hii ni hivyo pia ili kwamba wingi wao uweze kusaidia mahitaji yenu, na kwamba kuwe na usawa.
15 Hii ni kama ilivyoandikwa; “Yeye aliye na vingi hakuwa na kitu chochote kilichobaki na yeye aliyekuwa na kidogo hakuwa na uhitaji wowote.”
jak čteme v Písmu o Izraelcích sbírajících pokrm na poušti: „Kdo nashromáždil více, tomu nepřebývalo, kdo nasbíral méně, neměl nedostatek.“
16 Lakini ashukuriwe Mungu, aliyeweka ndani ya moyo wa Tito moyo uleule wa bidii ya kujali ambyo ninayo kwa ajili yenu.
Jsem vděčný Bohu za to, že Titus k vám přilnul stejně jako já.
17 Kwa kuwa si tu alipokea maombi yetu, bali pia alikuwa na bidii kuhusiana na maombi hayo. Alikuja kwenu kwa hiari yake mwenyewe.
Můj návrh hned s radostí přijal, ale myslím, že by byl tak jako tak využil první příležitosti vydat se opět k vám.
18 Tumemtuma pamoja naye ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa kwa ajili ya kazi yake katika kutangaza injili.
Posílám s ním ještě jednoho bratra, kterého si pro jeho oddanost ve službě Kristu váží ve všech církvích.
19 Si hivi tu, lakini pia alichaguliwa na makanisa kusafiri nasisi katika kulibeba sehemu mbalimbali tendo hili la ukarimu. Hii ni kwa utukufu wa Bwana mwenyewe na kwa shauku yetu ya kusaidia.
Byl vybrán, aby mě doprovázel do Jeruzaléma s výtěžkem sbírky, jež má oslavit našeho Pána a veřejně prokázat naši horlivost k službě.
20 Tunaepuka uwezekano kwamba yeyote napaswa kulalamika kuhusiana na sisi kuhusiana na ukarimu huu ambao tunaubeba.
Předejde se tak možným pozdějším dohadům, zda se opravdu všechny peníze dostaly tam, kam byly určeny.
21 Tunachukua uangalifu kufanya kilicho cha heshima, sio tu mbele za Bwana, lakini pia mbele za watu.
Bůh ví, že nikoho z nás by ani ve snu nenapadlo zpronevěřit jediný haléř, ale abychom vyloučili i sebenepatrnější podezření, zařídili jsme to raději takto.
22 Pia tunamtuma ndugu mwingine pamoja nao. Tumempima mara nyingi, na tumemwona ni mwenye shauku for ajili ya kazi nyingi. Hata sasa ana bidii zaidi kwa sababu ya ujasiri mkubwa alionao ndani yenu.
Doprovází je ještě další bratr, mnohokrát již osvědčený jako upřímný křesťan. Těší se k vám, protože jsem mu vyprávěl o vašem nadšení pro pomoc druhým. Přijměte je tedy všechny přívětivě.
23 Kwa habari ya Tito, yeye ni mshirika mwenza wangu na mtendakazi mwenzangu kwa ajili yenu. Kama kwa ndugu zetu, wanatumwa na makanisa. Ni waheshima kwa Kristo.
Titus je v této věci mým zplnomocněným zástupcem. Je to můj nejbližší spolupracovník. Ostatní dva vyslaly zdejší církve jako své nejlepší představitele.
24 Hivyo, waonesheni upendo wenu, na muoneshe kwa makanisa sababu ya majivuno yetu kwa ajili yenu.
Ukažte jim, že všechny moje chvály na vás nebyly plané.