< 2 Wakorintho 8 >

1 Tunawataka ninyi mjue, kaka na dada, kuhusu neema ya Mungu ambayo imetolewa kwa makanisa ya Makedonia.
Mini vayi ki sun duye to ndi alherin Rji wa bano ni Ikilisiyoyin ni Makidoniya.
2 Wakati wa jaribu kubwa la mateso, wingi wa furaha yao na ongezeko la umaskini wao umezaa utjiri mkubwa wa ukarimu.
Ni ton kekle ya wa bi to ni se suron ni ya wabato, anoba gbugbu'u gri wa ba noni suron riri
3 Kwa maana nashuhudia kwamba walitoa kwa kadiri ya walivyoweza, na hata zaidi ya walivyoweza.
U mi lha niyiwu bano bayasuwa mbo ni yo sur mba zan kpe wa ba hei ni wu. ni kpayeme ni sur mba.
4 Na kwa hiari yao wenyewe kwa kutusihi kwingi, walituomba kwa ajili ya kushiriki katika huduma hii kwa waumini.
U ni bre ta ni sur riri duba no ba ton waba ka mba ibi du ba yi tayarwa ini hidima ga bi hu Rji.
5 Hii haikutokea kama tulivyokuwa tunatarajia. Badala yake, kwanza walijitoa wao wenyewe kwa Bwana. Kisha wakajitoa wao wenyewe kwetu kwa mapenzi ya Mungu.
U wayi ana hei na waki yosuron u baguci no tumba ni Rji riko u nita ni kpayeme ni Rji
6 Hivyo tulimsihi Tito, aliyekuwa tayari ameanzisha kazi hii, kuleta katika utimilifu tendo hili la ukarimu juu yenu.
U ki bre Titus wa riga hei ni mi ndu yi ka kle ndu'a niyi.
7 Lakini ninyi mna wingi katika kila kitu- katika imani, katika usemi, katika maarifa, katika bidii, na katika upendo wenu kwa ajili yetu. Hivyo hakikisheni kwamba ninyi mnakuwa na wingi pia katika tendo hili la ukarimu.
U bi riga kri nimikpi wu ban gaskiya ndi tere, nito, ni mindu tukuru, nimi kpayeme ni ta. Ahei naki, bitabata ni habaka nimi duyi wu no (bayasuwa)
8 Nasema hili si kama amri. Badala yake, nasema hili ili kupima uhalisi wa upendo wenu kwa kuulinganisha na shauku ya watu wengine.
Me tere naki ana hei neme tere niyiwu ni gbegblen na wa naki, me tere nime tsar sahihancin kpayeme ni kwantata ni himmar ibru ndi.
9 Kwa maana mnajua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo. Hata kama alikuwa tajiri, kwa ajili yenu alikuwa maskini. Ili kwamba kupitia umaskini wake mweze kuwa tajiri.
U bi to alheri Ubangijinku Yesu Almasihu, u naki me ahei ni arziki nda k'mati wu ya ni tumbi domin hi tu taulauci ma biyi bi ka k'ma ti bi arziki.
10 Katika jambo hili nitawapa ushauri ambao utawasaidia. Mwaka mmoja uliopita, hamkuanza tuu kufanya jambo. Lakini mlitamani kulifanya.
Nitu alamariyi me noyi mer waanizoyi. Nisai wa kle binati kps megye na, ama bi yo surbi ni tei U.
11 Sasa likamilisheni. Kama tu kulivyokuwa na shauku na nia ya kulifanya, kisha, je, mngeweza pia kulileta katika ukamilifu, kwa kadri ya mnavyoweza.
Bi kle u zizan'a. Na wa bina hei ni suron ni kwazo u ti naki niton ki, bikayo suron ndi tiye nikle ma dede ni gbegblen mbi.
12 Kwa kuwa mnashauku ya kufanya tendo hili, ni jambo zuri na linakubalika. Lazima lisimame juu ya kile alichonacho mtu, siyo juu ya asichokuwa nacho mtu.
U bi tayo suron ndi bi tie ndu yi wakpe wugir ni kpayeme ni ubi ani hei daidai kpe wa ndi ahei ni wu, ana kpe wa a hama ni wu'a na.
13 Kwa kuwa kazi hii siyo kwa ajili kwamba wengine waweze kupata nafuu na ninyi mweze kulemewa. Badala yake, kuwe na usawa.
Wayi ana wani kpe wa ba nawata ni yiu du bari fe sauki mana. U ani ta hei toki, wani bi duba fe daidai- tuwa.
14 Wingi wenu wa wakati wa sasa utasaidia kwa kile wanachohitaji. Hii ni hivyo pia ili kwamba wingi wao uweze kusaidia mahitaji yenu, na kwamba kuwe na usawa.
Ison bi gbugbu'u zizo'a ani noyi kpe wabason. Wa naki ni bar mba, ani yada na kpe wa bi son, wa ani zama kpe u biya bukata mba.
15 Hii ni kama ilivyoandikwa; “Yeye aliye na vingi hakuwa na kitu chochote kilichobaki na yeye aliyekuwa na kidogo hakuwa na uhitaji wowote.”
Ahei na wa ba nha. “Eri wa hei ni kpewu bra na hei nikpe wa ani don burna, u wa ahei niwu fime ana wa hama na
16 Lakini ashukuriwe Mungu, aliyeweka ndani ya moyo wa Tito moyo uleule wa bidii ya kujali ambyo ninayo kwa ajili yenu.
U gyir ga Rji wa ayoni suron Titus imre u kula ni yi kama yadda mi hei wa ni tumbi.
17 Kwa kuwa si tu alipokea maombi yetu, bali pia alikuwa na bidii kuhusiana na maombi hayo. Alikuja kwenu kwa hiari yake mwenyewe.
Ana bre mbu kadai akpana U ati ni kpeyeme suron ma naki. Aye ni yi ni kpayeme makima.
18 Tumemtuma pamoja naye ndugu ambaye anasifiwa miongoni mwa makanisa kwa ajili ya kazi yake katika kutangaza injili.
U ki ton wawu vayimbu wa ki kpayeme niwu ni du Ikilisiyoyi du ma ni bla tre Baci.
19 Si hivi tu, lakini pia alichaguliwa na makanisa kusafiri nasisi katika kulibeba sehemu mbalimbali tendo hili la ukarimu. Hii ni kwa utukufu wa Bwana mwenyewe na kwa shauku yetu ya kusaidia.
Ana wayi nika kle na amma Ikilisiyoyi ba cu u du nu ta hi hidima u didin ma u alheri wayi domin gbrai Rji san ni niya mbu
20 Tunaepuka uwezekano kwamba yeyote napaswa kulalamika kuhusiana na sisi kuhusiana na ukarimu huu ambao tunaubeba.
U ki klu kina duba na to ta hla trena game ni alheri wa ki zre ni bla ni ndina.
21 Tunachukua uangalifu kufanya kilicho cha heshima, sio tu mbele za Bwana, lakini pia mbele za watu.
A he ni suron mbu du tati kpe u bima ba ni shishi Rji ni kakle ba ni shishi indi me.
22 Pia tunamtuma ndugu mwingine pamoja nao. Tumempima mara nyingi, na tumemwona ni mwenye shauku for ajili ya kazi nyingi. Hata sasa ana bidii zaidi kwa sababu ya ujasiri mkubwa alionao ndani yenu.
Kiton vayimbu ri tare ni ba ki tsar u to nikon gbugbu'u, ki to wa hei ni himma ni indu. Wa a ba yondu gbugbuu wa ba yo du ti. Zizan me a kara ni himma sabo ni amincewa wa ahe niu game ni yi.
23 Kwa habari ya Tito, yeye ni mshirika mwenza wangu na mtendakazi mwenzangu kwa ajili yenu. Kama kwa ndugu zetu, wanatumwa na makanisa. Ni waheshima kwa Kristo.
Ni wawu Titus a kpan wu zre mu ni kpan wadunmu don biyi. Umir vayi mbu, ba ton ba yir ni Ikilisiyoyi babi hei ni daraja ga Almasihu.
24 Hivyo, waonesheni upendo wenu, na muoneshe kwa makanisa sababu ya majivuno yetu kwa ajili yenu.
Naki bika kpayeme ni ba ni tsor ikilisiyoyi ba kpe u se suron tawu game ni yi.

< 2 Wakorintho 8 >