< 2 Wakorintho 6 >
1 Na kwa hiyo, kufanya kazi pamoja, tunawasihi ninyi msiipokee neema ya Mungu pasipo matokeo.
Entonces, trabajando juntos con Dios, les rogamos que no reciban la gracia de Dios en vano.
2 Kwa kuwa anasema, “Wakati uliokubalika nilikuwa makini kwenu, na katika siku ya wokovu niliwasaidia.” Tazama, sasa ni wakati uliokubalika. Tazama, sasa ni siku ya wokovu.
Porque él dice: Te he escuchado en un buen momento, y he sido tu ayudante en día de salvación: mira, ahora es el buen momento, ahora es el día de salvación.
3 Hatuweki jiwe la kizuizi mbele ya mtu yeyote, kwa kuwa hatuitakii huduma yetu iletwe katika sifa mbaya.
No dando motivo a nadie, para ser piedra de tropiezo, para que nadie pueda decir nada en contra de nuestro trabajo;
4 Badala yake, tunajihakiki wenyewe kwa matendo yetu yote, kwamba tu watumishi wa Mungu. Tu watumishi wake katika wingi wa ustahimilivu, mateso, dhiki, ugumu wa maisha,
Pero en todo, dejando en claro que somos siervos de Dios, soportando con mucha paciencia en tribulaciones, en necesidad, dificultades, en tristeza,
5 kupigwa, vifungo, ghasia, katika kufanya kazi kwa bidii, katika kukosa usingizi usiku, katika njaa,
En golpes, en cárceles, en ataques, en trabajo duro, en vigilias, hambres;
6 katika usafi, maarifa, uvumilivu, wema, katika Roho Mtakatifu, katika upendo halisi.
En un corazón limpio, en conocimiento de la verdad, por nuestra tolerancia y bondad del Espíritu Santo, por nuestro amor sincero,
7 Tu watumishi wake katika neno la kweli, katika nguvu ya Mungu. Tuna silaha ya haki kwa ajili ya mkono wa kuuume na wa kushoto.
Por nuestro mensaje de verdad, y por el poder de Dios en nosotros; usamos las armas de la rectitud, para él ataque como para la defensa.
8 Tunafanya kazi katika heshima na kudharauliwa, katika kashfa na sifa. Tunatuhumiwa kuwa wadanganyifu na wakati tu wakweli.
Unas veces se nos honra y otras veces se nos ofende, y unas veces se habla bien de nosotros y otras veces se habla mal; nos tratan como mentirosos, a pesar de que decimos la verdad;
9 Tunafanya kazi kana kwamba hatujulikani na bado tunajulikana vizuri. Tunafanya kazi kama wanaokufa na -Tazama! - bado tunaishi. Tunafanya kazi kama tunaoadhibiwa kwa ajili ya matendo yetu lakini sio kama waliohukumiwa hata kufa.
Nos tratan como a desconocidos, a pesar de que somos bien conocidos; tan cerca de la muerte, pero aún vivos; sometidos al castigo, pero no nos matan.
10 Tunafanya kazi kama wenye masikitiko, lakini siku zote tuna furaha. Tunafanya kazi kama maskini, lakini tunatajirisha wengi. Tunafanya kazi kana kwamba hatupati kitu bali kama tunaomiliki kila kitu.
Parecemos tristes, pero siempre estamos alegres; como pobre, pero hemos enriquecido a muchos; parece que no tenemos nada, pero lo tenemos todo.
11 Tumezungumza ukweli wote kwenu, Wakorintho, na mioyo yetu imefunguka kwa upana.
Nuestra boca está abierta para ustedes, les hemos hablado con sinceridad, oh Corintios, nuestro corazón se ha ensanchado.
12 mioyo yenu haizuiliwi na sisi, bali mnazuiliwa na hisia zenu wenyewe.
No son nuestros sentimientos hacia ti los más estrechos, sino ustedes para con nosotros.
13 Sasa katika kubadilishana kwa haki - ninaongea kama kwa watoto - fungueni mioyo yenu kwa upana.
Les ruego por lo tanto, como un padre ruega a sus hijos, que Sean sinceros conmigo, así como yo lo he sido con ustedes.
14 Msifungamanishwe pamoja na wasioamini. Kwa kuwa kuna uhusiano gani kati ya haki na uasi? Na kuna ushirika gani kati ya nuru na giza?
No se unan en un mismo yugo con los que no creen: porque ¿qué hay en común entre la justicia y el mal, o entre la luz y la oscuridad?
15 Ni makubaliano gani Kristo anaweza kuwa nayo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na asiyeamini?
¿Y qué acuerdo hay entre Cristo y el Maligno? o ¿qué parte el creyente con él incrédulo?
16 Na kuna makubaliano gani yapo kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa kuwa sisi ni hekalu la Mungu aliye hai, kama ambavyo Mungu alisema: “Nitakaa kati yao na kutembea kati yao. Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”
¿Y qué acuerdo tiene la casa de Dios con las imágenes? porque somos una casa del Dios viviente; como Dios dijo, viviré entre ellos y caminaré con ellos; y seré su Dios, y ellos serán mi pueblo.
17 Kwa hiyo, “Tokeni kati yao, na mkatengwe nao,” asema Bwana. “Msiguse kitu kichafu, na nitawakaribisha ninyi.
Por lo cual, salgan de en medio de ellos, y apártense, dice el Señor, y no toquen nada impuro y yo los recibiré,
18 Nitakuwa Baba kwenu, nanyi mtakuwa wanangu wa kiume na wa kike,” asema Bwana Mwenyezi.
Y seré un Padre para ti; y ustedes serán mis hijos e hijas, dice el Señor, todo poderoso.