< 2 Wakorintho 5 >

1 Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios g166)
Hi ei omna pilchung puon-in ei takpum hi rammuol chunga hih sietchit khomsenla, invâna omna rang in Pathien'n ama nanâkin mi sin pe, tuonsôta aom tit rang in det ei dôn tiin ei riet. (aiōnios g166)
2 Kwa kuwa katika hema hii tunaugua, tukitamani kuvikwa kwa maskani yetu mbinguni.
Male atûn hin invâna ei omna rang in renga han mi mukhû rang ôi tatakin ei inrum tatak ngâi ani;
3 Tunatamani kwa ajili ya hii kwa sababu kwa kuivaa hatutaonekana kuwa tu uchi.
Maha ei insilin chu takpum boiin om no uh.
4 Kwa hakika wakati tuko ndani ya hema hii, twaugua tukilemewa. Hatutaki kuvuliwa. Badala yake, tunataka kuvalishwa, ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima.
Hi pilchung puon-ina ei om lâihin sirdêna sikin chapin ei inrum tatak ngâi ania; hi ei pilchung takpum hih mâk ei nuom sika niloiin, aniatachu invâna in mi mukhû rang ei nuom sika ani, masikin hi thithei hi ringnân ânthûl rang ani.
5 Yule aliyetuandaa sisi kwa kitu hiki ni Mungu, ambaye alitupa sisi Roho kama ahadi ya kile kitakacho kuja.
Hi inthûlna rang mi mintuo pepu chu Pathien ania, male eita ranga neinun a lei mintûp murdi hah khâmna anghan Ratha mi pêk zoi ani.
6 Kwa hiyo muwe na ujasiri siku zote. Muwe macho kwamba wakati tuko nyumbani katika mwili, tuko mbali na Bwana.
Masikin zoratin hâinân kin sip tit ngâi ani. Takpum ina ei om kâr chu Pumapa ina om mak me ti ei riet.
7 Kwa kuwa tunatembea kwa imani, sio kwa kuona. Kwa hiyo tunaujasiri.
Ei ringnun hih mu theia om niloiin, taksônnân kêng ei om ani.
8 Ni bora tuwe mbali kutoka kwenye mwili na nyumbani pamoja na Bwana.
Hâinân ei sipa, ei takpum in hih mâkin Pumapa ina om rang ei nuom uol ok ani.
9 Kwa hiyo tunaifanya kuwa lengo letu, kama tukiwa nyumbani au mbali, tumpendeze yeye.
Neinun dadang nêkin, hi taka ei omna ina mo, khi khin mo, ama a râiminsân rang ei nuom ani.
10 Kwa kuwa lazima wote tuonekane mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kwamba kila mmoja aweze kupokea kile kinachostahili kwa mambo yaliyofanyika katika mwili, ikiwa ni kwa uzuri au kwa ubaya.
Khrista han ei roijêk rangin amakunga ei rêngin ei lân lang pak rang ani. Ei rammuol ringnuna ei sintho ngei murdi asa mo, asie mo, ei man rang rohoingei dungjûiin ei man rang ani.
11 Kwa hiyo, kwa kuijua hofu ya Bwana, tunawashawishi watu. Jinsi tulivyo, inaonekana wazi na Mungu. Ninatumaini kuwa inaeleweka pia kwenye dhamiri zenu.
Pumapa china chang kin rieta, male midangngei khom kin methêm ngâi ania, Pathien'n mi riet minthâr let, male nangnin khom nin mulungrîlngeia mi nin riet minthâr tiin ka sabei.
12 Hatujaribu kuwashawishi ninyi tena kutuona sisi kama wakweli. Badala yake, tunawapa ninyi sababu ya kujivuna kwa ajili yetu, ili kwamba muweze kuwa na jibu kwa wale wanaojivunia kuhusu mwonekano lakini sio kile kilicho ndani ya moyo.
Nin kôm keini nanâkin rilminsana ranga kin pût nimaka; manêk han, nunchan tieng niloia achungtieng ririema ânsong ngâi ngei hah nin thuon theina rangin keini mi nin songna rang abi nangni pêk rang kin pût ani.
13 Kwa kuwa ikiwa kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu. Na kama tuko kwenye akili zetu timamu, ni kwa ajili yenu.
Kin mo tatak mini? Maha Pathien jâra ani. Aninônchu kin vâr mini? Hanchu maha nangni jâra ani.
14 Kwa kuwa upendo wa Kristo watushurutisha, kwa sababu tuna uhakika na hili: kuwa mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote, na kwa hiyo wote wamekufa.
Khrista lungkhamna han mi jêk ani, mi murdi ta rangin mi inkhat a thia, maha aomtie chu an rêngin a thina han an inlopui sa ani tiin atûn chu kin riet minthâr zoi.
15 Na Kristo alikufa kwa ajili ya wote, ili kwamba wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe. Badala yake, lazima waishi kwa ajili yake yeye ambaye alikufa na alifufuliwa.
Ama chu mi murdi rangin a thia, masikin a ring ngei han anni ta ranga ring ni khâi loiin, an ta ranga thia ân thoinôkpu ta rang vaia ring kêng an ni zoi ani.
16 Kwa sababu hii, kuanzia sasa na kuendelea hatumuhukumu mtu kulingana na viwango vya wanadamu, ingawa hapo kwanza tulimtazama Kristo katika namna hii. Lakini sasa hatumuhukumu yeyote kwa namna hii tena.
Hanchu, atûn pêna chu munisi vârnân tute jêk khâi noni ung. Munisi vârnân moton han Khrista hah lei jêk ta khom unglang, atûn pêna chu jêk khâi noning ung.
17 Kwa hiyo, ikiwa mtu yeyote yuko ndani ya Kristo, yeye ni kiumbe kipya. Mambo ya kale yamepita. Tazama, yamekuwa mapya.
Tukhom Khrista hah a zomin chu mi thar ani zoia; amuruo chu ahek zoia; athar kêng a hongni zoi.
18 Vitu vyote hivi vyatoka kwa Mungu. Alitupatanisha sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo, na ametupatia huduma ya upatanisho.
Ma ngei murdi hah ei râlinchangna renga Khrista jâra a malngei mi minchanga, midangngei khom a malngei minchang theina sin mi pêkpu Pathien han a sin ani.
19 Hiyo ni kusema, katika Kristo, Mungu anaupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe, sio kuhesabu makosa yao dhidi yao. Anawekeza kwetu ujumbe wa upatanisho.
Kin thurchi misîr chu mahi ani, Pathien'n khrista jârin munisingei murdi a ruolngeiin a minchang zoi. Pathien'n an sietnangei hah mindon pe ngei khâi loiin, male kho angin mo a ruolngeiin a sin ngei chang thurchi hah, keini mi pêk ani zoi.
20 Kwa hiyo tunateuliwa kama wawakilishi wa Kristo, kana kwamba Mungu alikuwa anafanya rufaa yake kupitia sisi. Tunawasihi ninyi kwa ajili ya Kristo: “Mpatanishwe kwa Mungu!”
Hanchu, mahin keini hih, Pathien'n nangni a ngêna hah kin chunga a bâng anghan, Khrista ranga chong kin ni. Khrista ruthûlin nangni kin ngên: Pathien râlngei nin nina renga a ruolngeiin nangni thûl rese!
21 Alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu. Yeye ndiye ambaye hakutenda dhambi. Alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye.
Khrista han sietna dôn mak, aniatachu ama leh inzoma Pathien dikna hah ei chang sa theina rangin Pathien'n ei sietna hah a minchang sa ani.

< 2 Wakorintho 5 >