< 2 Wakorintho 5 >
1 Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios )
Twizi kuti mubili we nkanda mutuhala hausinyeha, twina muzako kuzwa kwa Ireeza. Izuvo isa pangitwe cha mayaza abantu, kono i zuvo isamani, mwi wulu. (aiōnios )
2 Kwa kuwa katika hema hii tunaugua, tukitamani kuvikwa kwa maskani yetu mbinguni.
Mi mweli tete tu tonga, tu shukelwa ku zwatikwa chizwato cha kwiwulu.
3 Tunatamani kwa ajili ya hii kwa sababu kwa kuivaa hatutaonekana kuwa tu uchi.
Tushukelwa i chi chitu mukuti hatu chizwata kete tu wanike kuti katu zwete.
4 Kwa hakika wakati tuko ndani ya hema hii, twaugua tukilemewa. Hatutaki kuvuliwa. Badala yake, tunataka kuvalishwa, ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima.
Cha kwizula ni twina mweli itete, tu tonga, ni mubukabo. Katu saki kwi kala ni tusazwete. Kuhita, tusaka kuzwata, ili kutu chisafwi chi miniwe buhalo.
5 Yule aliyetuandaa sisi kwa kitu hiki ni Mungu, ambaye alitupa sisi Roho kama ahadi ya kile kitakacho kuja.
I ye yaba tu lukisezi ichi chitu nji Ireeza, ya batuhi Luhuho ili kuti ibe bupaki bwa chikeza.
6 Kwa hiyo muwe na ujasiri siku zote. Muwe macho kwamba wakati tuko nyumbani katika mwili, tuko mbali na Bwana.
Nihakuba bulyo twina ni kuba ni nsepo. Twina ni kwiziba kuti heti twina ku munzi mu mibili, tuzwa kwa Simwine.
7 Kwa kuwa tunatembea kwa imani, sio kwa kuona. Kwa hiyo tunaujasiri.
Mi tuyenda chetumelo, isini cha chi voneka.
8 Ni bora tuwe mbali kutoka kwenye mwili na nyumbani pamoja na Bwana.
Mi twina insepo. Tu swanela kuzwa mu mubili ni kukava kumunzi ni Simwine.
9 Kwa hiyo tunaifanya kuwa lengo letu, kama tukiwa nyumbani au mbali, tumpendeze yeye.
Linu tu panga chi kokwani chetu, kapa twina kumunzi kapa hanze, ku musangisa.
10 Kwa kuwa lazima wote tuonekane mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kwamba kila mmoja aweze kupokea kile kinachostahili kwa mambo yaliyofanyika katika mwili, ikiwa ni kwa uzuri au kwa ubaya.
Mi twense tu swanena ku boneka habusu bwa chipula che inkatulo cha Keresite, I li kuti zumwi ni zumwi a tambule chitu chaba pangi mu mubili, kapa kubu lotu kapa ku bubi.
11 Kwa hiyo, kwa kuijua hofu ya Bwana, tunawashawishi watu. Jinsi tulivyo, inaonekana wazi na Mungu. Ninatumaini kuwa inaeleweka pia kwenye dhamiri zenu.
Niha kuba vulyo, kwi ziba kutiza kwe Simwine, tu susuweza vantu. Mutwi kalile tu bonwa kwa Ireeza. Ni sepa kuti zonse zizuwekete kwi zwalo lyenu.
12 Hatujaribu kuwashawishi ninyi tena kutuona sisi kama wakweli. Badala yake, tunawapa ninyi sababu ya kujivuna kwa ajili yetu, ili kwamba muweze kuwa na jibu kwa wale wanaojivunia kuhusu mwonekano lakini sio kile kilicho ndani ya moyo.
Ka tuliki kumi susuweza kuti mutu bone kuti tusepahala. Kuhita, tumiha ibaka lya kuli kumusa chetu, ili kuti ube ni kalabo kwabo bali kulitemba cha ziboneka isini zina mwi nkulo.
13 Kwa kuwa ikiwa kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu. Na kama tuko kwenye akili zetu timamu, ni kwa ajili yenu.
Mi heba tuzwile mu mihupulo yetu, njiza Ireeza. Mi haiba twina mu mihupulo yetu ishiyeme, nji kwako.
14 Kwa kuwa upendo wa Kristo watushurutisha, kwa sababu tuna uhakika na hili: kuwa mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote, na kwa hiyo wote wamekufa.
Mi ilato lya Keresite litu susuweza, ka kuti tuli kolwisisa kechi: kuti muntu yeke aba fwili vonse, mi niha kuba bulyo vonse linu ba bafwi.
15 Na Kristo alikufa kwa ajili ya wote, ili kwamba wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe. Badala yake, lazima waishi kwa ajili yake yeye ambaye alikufa na alifufuliwa.
Imi Keresite ava fwili vonse, ili kuti avo bense bahala kazi bahali lwabo, niha kuba vulyo, bahale ka lwakwe iye ya vafwi ni kuvuka.
16 Kwa sababu hii, kuanzia sasa na kuendelea hatumuhukumu mtu kulingana na viwango vya wanadamu, ingawa hapo kwanza tulimtazama Kristo katika namna hii. Lakini sasa hatumuhukumu yeyote kwa namna hii tena.
Che libaka, kuzwa hanu kutwala oko katu nyansa muntu kuya ka chizimo cha buntu, niha kuba bulyo naswe mutu bali kuhindila Keresite mwei nzila. Kono hanu katu sinyansi bamwi cheyi nzila ni kamuta.
17 Kwa hiyo, ikiwa mtu yeyote yuko ndani ya Kristo, yeye ni kiumbe kipya. Mambo ya kale yamepita. Tazama, yamekuwa mapya.
Niha kuba bulyo, haiva zumwi wina mwa Keresite, chibumbatu chihya, zintu za kale ziba mani. Mubone, chiba ba sanduki bahya.
18 Vitu vyote hivi vyatoka kwa Mungu. Alitupatanisha sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo, na ametupatia huduma ya upatanisho.
Zonse izi zintu zizwa kwa Ireeza. Aba tubonzi kwali cha Keresite, imi aba tuhi ikolo lya ku bolisana inkulo.
19 Hiyo ni kusema, katika Kristo, Mungu anaupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe, sio kuhesabu makosa yao dhidi yao. Anawekeza kwetu ujumbe wa upatanisho.
I li kuti, mwa Keresite Ireeza ukwete u bozekeza ikanda kwali, nasa ba balili milandu yavo. U kwete utuha iñusa lya kubozisana inkulo.
20 Kwa hiyo tunateuliwa kama wawakilishi wa Kristo, kana kwamba Mungu alikuwa anafanya rufaa yake kupitia sisi. Tunawasihi ninyi kwa ajili ya Kristo: “Mpatanishwe kwa Mungu!”
Tubasalwa kuti tube bazimanini ba Keresite, ubu Ireeza abali kuli zibahaza chetu. Tu likumbilila nanwe, che baka lya Keresite: “Mubole kwa Ireeza.
21 Alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu. Yeye ndiye ambaye hakutenda dhambi. Alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye.
Aba chiti Keresite kuti ibe chitabelo chetu kechibi. Nji yena ya sena ba tendi chibi. Aba tendi izi kuti tube ba shiyeme kwa Ireeza mwali.