< 2 Wakorintho 5 >

1 Tunajua kwamba kama maskani ya ulimwenguni ambayo tunaishi humo yanaharibiwa, tunalo jengo kutoka kwa Mungu. Ni nyumba isiyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu, bali ni nyumba ya milele, katika mbingu. (aiōnios g166)
Víme přece, že až zemřeme, ožijeme znovu v lepší a konečné podobě. (aiōnios g166)
2 Kwa kuwa katika hema hii tunaugua, tukitamani kuvikwa kwa maskani yetu mbinguni.
Toužíme po tom a zároveň kolísáme,
3 Tunatamani kwa ajili ya hii kwa sababu kwa kuivaa hatutaonekana kuwa tu uchi.
protože bychom se rádi vyhnuli umírání a vstoupili přímo do nesmrtelného života,
4 Kwa hakika wakati tuko ndani ya hema hii, twaugua tukilemewa. Hatutaki kuvuliwa. Badala yake, tunataka kuvalishwa, ili kwamba kile kilicho kufa kiweze kumezwa na uzima.
k němuž nás Bůh už nyní připravuje:
5 Yule aliyetuandaa sisi kwa kitu hiki ni Mungu, ambaye alitupa sisi Roho kama ahadi ya kile kitakacho kuja.
jako záruku nám dal svého Ducha.
6 Kwa hiyo muwe na ujasiri siku zote. Muwe macho kwamba wakati tuko nyumbani katika mwili, tuko mbali na Bwana.
Proto se můžeme důvěřivě těšit na náš nebeský domov; ve svých tělech tu vlastně žijeme v cizině, daleko od své vlasti, kde nás očekává Kristus.
7 Kwa kuwa tunatembea kwa imani, sio kwa kuona. Kwa hiyo tunaujasiri.
Nevidíme ho, ale jsme s ním spojeni vírou.
8 Ni bora tuwe mbali kutoka kwenye mwili na nyumbani pamoja na Bwana.
Proto s plnou důvěrou a rád opustím třeba hned toto tělo, abych získal domov u svého Pána.
9 Kwa hiyo tunaifanya kuwa lengo letu, kama tukiwa nyumbani au mbali, tumpendeze yeye.
V každém případě však chci dělat to, co se líbí jemu, ať už to znamená setrvat zde v cizině, nebo se vydat do své vlasti. Na ničem jiném totiž nezáleží.
10 Kwa kuwa lazima wote tuonekane mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kwamba kila mmoja aweze kupokea kile kinachostahili kwa mambo yaliyofanyika katika mwili, ikiwa ni kwa uzuri au kwa ubaya.
Tak jako tak se nakonec všichni musíme postavit před Kristův soud, kde bude každý náš čin, dobrý i zlý, spravedlivě ohodnocen.
11 Kwa hiyo, kwa kuijua hofu ya Bwana, tunawashawishi watu. Jinsi tulivyo, inaonekana wazi na Mungu. Ninatumaini kuwa inaeleweka pia kwenye dhamiri zenu.
Je to právě tahle bázeň před Bohem, která mě nutí vést lidi k víře. Bůh moje pohnutky zná a věřím, že ani vy mne nepodezíráte z něčeho postranního.
12 Hatujaribu kuwashawishi ninyi tena kutuona sisi kama wakweli. Badala yake, tunawapa ninyi sababu ya kujivuna kwa ajili yetu, ili kwamba muweze kuwa na jibu kwa wale wanaojivunia kuhusu mwonekano lakini sio kile kilicho ndani ya moyo.
Ne, nechci znovu sebe vychvalovat. Chci vám jen ukázat, že se za mne nemusíte stydět, a tak můžete zavřít ústa těm, kdo si zakládají na vnějším projevu místo na vnitřní hodnotě. Poslouží-li to k Boží slávě, ať si mě lidé mají třeba za blázna. Jsem-li však při dobrých smyslech, poslouží to zase vám.
13 Kwa kuwa ikiwa kama tumerukwa na akili, ni kwa ajili ya Mungu. Na kama tuko kwenye akili zetu timamu, ni kwa ajili yenu.
14 Kwa kuwa upendo wa Kristo watushurutisha, kwa sababu tuna uhakika na hili: kuwa mtu mmoja alikufa kwa ajili ya wote, na kwa hiyo wote wamekufa.
Kristova láska nás zajala. Je přece zřejmé, že smrt toho, kdo zemřel za všechny, se rovná tomu, jako kdyby zemřeli všichni,
15 Na Kristo alikufa kwa ajili ya wote, ili kwamba wale wanaoishi wasiishi tena kwa ajili yao wenyewe. Badala yake, lazima waishi kwa ajili yake yeye ambaye alikufa na alifufuliwa.
takže naše životy nepatří už nám, ale tomu, kdo za nás zemřel a vstal z mrtvých.
16 Kwa sababu hii, kuanzia sasa na kuendelea hatumuhukumu mtu kulingana na viwango vya wanadamu, ingawa hapo kwanza tulimtazama Kristo katika namna hii. Lakini sasa hatumuhukumu yeyote kwa namna hii tena.
Není tedy správné posuzovat někoho podle toho, co o něm soudí svět nebo jaký se navenek jeví. Takto chybně jsem se kdysi i já díval na Krista a posuzoval jej jako každého jiného člověka. Jak jsem se mýlil!
17 Kwa hiyo, ikiwa mtu yeyote yuko ndani ya Kristo, yeye ni kiumbe kipya. Mambo ya kale yamepita. Tazama, yamekuwa mapya.
Kdo se stane křesťanem, stává se úplně jiným člověkem. Už nikdy není takovým, jakým byl předtím. Začal docela nový život!
18 Vitu vyote hivi vyatoka kwa Mungu. Alitupatanisha sisi kwake mwenyewe kupitia Kristo, na ametupatia huduma ya upatanisho.
To je změna, kterou působí sám Bůh. Ačkoliv jsme se nacházeli v nepřátelském táboře,
19 Hiyo ni kusema, katika Kristo, Mungu anaupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe, sio kuhesabu makosa yao dhidi yao. Anawekeza kwetu ujumbe wa upatanisho.
Bůh s námi prostřednictvím Ježíše Krista uzavřel mír a pak nás pověřil, abychom jeho jménem předložili nabídku smíření všem lidem na této planetě.
20 Kwa hiyo tunateuliwa kama wawakilishi wa Kristo, kana kwamba Mungu alikuwa anafanya rufaa yake kupitia sisi. Tunawasihi ninyi kwa ajili ya Kristo: “Mpatanishwe kwa Mungu!”
Z Kristova pověření – jako jeho velvyslanci – tedy provoláváme, aby to všichni slyšeli: Pojďte a přijměte přátelskou ruku, kterou vám Bůh v Kristu podává!
21 Alimfanya Kristo kuwa sadaka kwa ajili ya dhambi zetu. Yeye ndiye ambaye hakutenda dhambi. Alifanya hivi ili tuweze kufanyika haki ya Mungu katika yeye.
Na toho, který se nikdy nedopustil ničeho špatného, přenesl Bůh všechnu naši špatnost a jeho spravedlnost přenesl na nás.

< 2 Wakorintho 5 >