< 2 Wakorintho 4 >

1 Kwa hiyo, kwa sababu tuna huduma hii, na kama ambavyo tumeipokea rehema, hatukati tamaa.
Hinu, Chapanga, kwa lipyana laki atigotolili lihengu lenili ndava iyo nakuvya mumbele.
2 Badala yake, tumekataa njia zote za aibu na zilizofichika. Hatuishi kwa hila, na hatulitumii vibaya neno la Mungu. Kwa kuwasilisha iliyo kweli, tunajionyesha wenyewe kwa dhamiri ya kila mtu mbele ya Mungu.
Tigabelili mambu goha ga soni na gamfiyu. Titama lepi kavili kwa kukonga amala kwa kuliyagisa lilovi la Chapanga, pahali paki ndi tijova uchakaka muni vandu vamanya mumitima yavi tete chetivili palongolo ya Chapanga.
3 Lakini kama injili yetu imefichika, imefichika kwa wale tu wanaoangamia.
Muni, ngati Lilovi la Bwina gatikokosa gafiyiki, gafiyiki ndu kwa vala vevayagili.
4 Katika uchaguzi wao, mungu wa ulimwengu huu amewapofusha fahamu zao zisizoamini. Matokeo yake, hawawezi kuona nuru ya injili ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano wa Mungu. (aiōn g165)
Venavo vasadiki lepi muni yula Setani mweavi chapanga wa mulima uwu asopili chitita muluhala lwavi vakotoka kulola hotohoto lumuli lwa Lilovi la Bwina ga ukulu wa Kilisitu, mweavi ngati Chapanga cheavili. (aiōn g165)
5 Kwa kuwa hatujitangazi wenyewe, bali Kristo Yesu kama Bwana, na sisi wenyewe kama watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
Nakujikokosela tavete, ndi tikumkokosa Yesu Kilisitu mwavili BAMBU, tete tavete vanalihengu vinu ndava ya Yesu.
6 Kwa kuwa Mungu ndiye ambaye aliyesema, “Mwanga utaangaza toka gizani.” Ameangaza katika mioyo yetu, kutoa mwanga wa maarifa ya utukufu wa Mungu katika uwepo wa Yesu Kristo.
Chapanga mwajovili kuvya “Lumuli ndi lulangasayi kuhuma kuchitita,” Chapanga ndi mwakuyilangasa mitima yitu, na kutihotosa kuumanya ukulu wa Chapanga weulangasa pamihu pa Kilisitu Yesu.
7 Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili kwamba ieleweke kuwa nguvu kuu sana ni ya Mungu na sio yetu.
Hinu, kwa tete tivii ngati vindu vya ludaka mugati yaki vivikiwi vindu vya chimpungu vandu valola hotohoto kuvya makakala genago gakulu gihuma kwa Chapanga nambu lepi kuhuma kwa tete tavete.
8 Tunataabika katika kila hali, lakini hatusongwi. Twaona shaka lakini hatujawi na kukata tamaa.
Magono goha ting'ahiswa, nambu nakusanguliwa, tivya mukuyogopa, nambu nakuvya mumbele,
9 Tunateswa lakini hatujatelekezwa. Twatupwa chini lakini hatuangamizwi.
Ting'ahiswa nambu nakutileka changali kutangatilwa. Pamonga na kugwiswa pahi nakukomewa.
10 Siku zote tunabeba katika mwili wetu kifo cha Yesu, ili kwamba uzima wa Yesu uonekane pia katika miili yetu.
Lukumbi lwoha tigenda na lifwa la Kilisitu muhiga yitu, muni wumi waki Yesu ndi ulolekana muhiga yitu.
11 Sisi tulio hai siku zote tumetolewa kufa kwa ajili ya Yesu, ili kwamba uhai wa Yesu uonekane katika miili yetu ya kibinadamu.
Ena, lukumbi lwatitama titindilwa na lifwa magono goha, ndava ya Yesu, muni wumi waki Yesu ulolekana muhiga yitu yeyifwa.
12 Kwa sababu hii, kifo kinafanya kazi ndani yetu, bali uzima unafanya kazi ndani yenu.
Ndava yeniyo tete tivii tayali hata kufwa muni nyenye mpata wumi.
13 Lakini tuna roho ileile ya imani kulingana na kile kilicho andikwa: “Niliamini, na hivyo nilinena.” Sisi pia tunaamini, na hivyo pia tunanena.
Mayandiku Gamsopi gijova, “Nasadiki, ndi mana najovili.” Na tete mewa petivya na mtima wuwowo wa sadika, tisadiki ndava yeniyo tijova.
14 Tunajua kuwa yule aliye mfufua Bwana Yesu pia atatufufua sisi pamoja naye. Tunajua kuwa atatuleta sisi pamoja nanyi katika uwepo wake.
Timanyili kuvya Chapanga mweamyukisi BAMBU Yesu yati akutiyukisa tete mewa pamonga na Yesu kutivika palongolo yaki pamonga na nyenye.
15 Kila kitu ni kwa ajili yenu ili kwamba, kwa kadri neema inavyo enea kwa watu wengi, shukurani zizidi kuongezeka kwa utukufu wa Mungu.
Goha genago ndava yinu, hati ubwina wa Chapanga pauvahikila vandu vamahele neju, usengusa wene wayonjokisiki neju, na kumpela Chapanga ukulu.
16 Hivyo hatukati tamaa. Japokuwa kwa nje tunachakaa, kwa ndani tunafanywa upya siku hadi siku.
Ndava yeniyo nakuvya mumbele, hati ngati higa yitu yilalile, nambu mugati mwitu mipungu yitu tikitiwa vamupya ligono kwa ligono.
17 Kwa kipindi hiki kifupi, mateso haya mepesi yanatuandaa sisi kwa ajili ya umilele mzito wa utukufu uzidio vipimo vyote. (aiōnios g166)
Mang'ahiso gegakutikolela ndi gadebe, kavili galukumbi ndu, nambu yati gakutipela ukulu mvaha neju wa magono goha kuliku mang'ahiso aga. (aiōnios g166)
18 Kwa kuwa hatutazami kwa ajili ya vitu ambavyo vinaonekana, bali kwa ajili ya vitu visivyoonekana. Vitu tunavyoweza kuviona ni vya muda tu, bali vitu ambayo havionekani ni vya milele. (aiōnios g166)
Hinu tilola lepi vindu vyevilolekana, nambu tilola vindu vyangalolekana vya lukumbi ndu, nambu vila vyangalolekana ndi vya magono goha. (aiōnios g166)

< 2 Wakorintho 4 >