< 2 Wakorintho 3 >
1 Je, tumeanza kujisifia wenyewe tena? Hatuhitaji barua ya mapendekezo kwenu au kutoka kwenu, kama baadhi ya watu, je twahitaji?
[As I write these things about myself], I am [RHQ] not [doing it] to boast about how good I am, [as some of you say I do]. Some people always carry letters with them that tell how well they work, [that other people] have [written]. But I do not [RHQ] need [to bring] letters like that [when I come to you]. Nor do I need to ask you [to write] letters like that [for me when I go to other congregations].
2 Ninyi wenyewe ni barua yetu ya mapendekezo, iliyoandikwa kwenye mioyo yetu, inayojulikana na kusomwa na watu wote.
You yourselves are [MET] [like a] letter that recommends my work [for God to everyone]. People see [how Christ changed] your [lives when you believed the message that I taught you]. Everyone [who knows you] can see [the result of my work for God].
3 Na mnaonesha kwamba ninyi ni barua kutoka kwa Kristo, iliyotolewa na sisi. Iliandikwa siyo kwa wino bali kwa Roho wa Mungu aliye hai. Haikuandikwa juu ya vibao vya mawe, bali juu ya vibao vya mioyo ya wanadamu.
You are [MET] [like] a letter that Christ himself [has written] that says good things about [my work for God in your lives]. You show [people by the way you now conduct your lives that God has changed your lives] as a result of my work [among you. People did] not [find out about you by] reading [a letter that was written to them on paper] with [pen and] ink. Instead, [they saw how] the Spirit of the all-powerful God [has changed your lives]. Nor [did people find out about you by reading] a letter that was carved on stone slabs [like the stone slabs that God gave to Moses]. Instead, [it was the change that God’s Spirit made in] your lives [MET] [that they saw].
4 Na huu ndiyo ujasiri tulio nao katika Mungu kupitia Kristo.
I [can very] confidently [write these things about the work that Silas, Timothy, and I did among you, because God knows that what I write is true. We(exc) are true workers] for God [because of what] Christ [has done for us].
5 Hatujiamini wenyewe kwa kudai chochote kama kutoka kwetu. Badala yake, kujiamini kwetu kunatoka kwa Mungu.
We [(exc)], by ourselves, do not have the ability [to do this work]. None of us [apostles] can say, “[I have changed the lives of these people].” God is the one [who has given us this ability].
6 Ni Mungu ambaye alitufanya tuweze kuwa watumishi wa agano jipya. Hili ni agano sio la barua bali ni la Roho. Kwa kuwa barua huua, lakini roho inatoa uhai.
He is the one who enables us [(exc)] to be his messengers. [He has enabled us to tell people the message] about the new agreement [that he is making with them]. This is not a [message about obeying all the] written laws [of his old agreement that he made with the Jewish people]. Instead, [it is a message about God giving us his] Spirit. [Previously, God condemned people to be] separated from him forever [if they did not obey his laws]. But by [God’s new agreement] his Spirit enables people to live [eternally].
7 Sasa kazi ya kifo iliyokuwa imechongwa katika herufi juu ya mawe ilikuja kwa namna ya utukufu kwamba watu wa Israeli hawakuangalia moja kwa moja kwenye uso wa Musa. Hii ni kwa sababu ya utukufu wa uso wake, utukufu ambao ulikuwa unafifia.
[Moses] taught [the people that if they did not obey God’s laws completely they would be] separated from God forever. [God] wrote [his laws] on stone [slabs. Then he gave them to Moses to teach them to the people. Although God’s laws condemned the people] to die, [when Moses brought those laws down from Sinai Mountain, God caused Moses’ face to shine] Moses’ face to shine radiantly [to show the people that these laws were God’s laws. It shone]. so brightly that the people of Israel could not keep looking at Moses’ face. [They had to look away]. But the brightness was slowly fading away.
8 Je, kazi ya Roho haitakuwa na utukufu zaidi?
[So], [since God showed in such a wonderful way that those laws that condemned the people to die were from him], surely when we [(exc)] teach [people about how God’s] Spirit will [change their lives], [God will show] in an even more wonderful way [that] it is [his message.] [RHQ]
9 Kwa kuwa kama huduma ya hukumu ilikuwa na utukufu, ni mara ngapi zaidi huduma ya haki huzidi sana katika utukufu!
The message [that Moses taught them was wonderful, but when people heard] that message, [they realized that they were sinners and that God] would punish them. But God’s message that we [(exc) teach is a] much more wonderful message. We teach people that God will (erase the record of/declare people no longer guilty for) [the sinful things that they have done].
10 Ni kweli kwamba, kile kilichofanywa utukufu kwanza hakina utukufu tena katika heshima hii, kwa sababu ya utukufu unaouzidi.
[The truth is that, although the work of teaching the people to obey God’s laws] was once important, it is not as important now, because [the work of teaching people that God will forgive them and] enable them to live to please him is far more important.
11 Kwa kuwa kama kile ambacho kilikuwa kinapita kilikuwa na utukufu, ni kwa kiasi gani zaidi kile ambacho ni cha kudumu kitakuwa na utukufu!
Furthermore, [the message that Moses taught was not a lasting message, just like] the brightness on his face was not lasting and soon faded away. But [when God gives his Spirit to people], the wonderful work that [God’s Spirit does in their lives] is much greater [because] it lasts forever.
12 Kwa kuwa tunajiamini hiyo, tunaujasiri sana.
We [(exc)] know that the message that we teach is a [much more wonderful message than the message that Moses taught]. So we [can preach] boldly.
13 Hatuko kama Musa, aliyeweka utaji juu ya uso wake, ili kwamba watu wa Israel wasiweze kuangalia moja kwa moja kwenye mwisho wa utukufu ambao ulikuwa unatoweka.
We do not [need to put a veil over our faces when we teach people], as Moses did. Moses put a veil over his face so that the Israelites would not see that the radiance [on his face] soon faded away. [Similarly, the glory of the old agreement has also faded away].
14 Lakini fahamu zao zilikuwa zimefungwa. Hata mpaka siku hii utaji uleule bado unabaki juu ya usomaji wa agano la kale. Haijawekwa wazi, kwa sababu ni katika Kristo pekee inaondolewa mbali.
But the Israelis stubbornly refused to [understand that the old agreement would end]. Even now, when they read the old agreement, [they still do not realize that it has ended. It is as if] [MET] that same veil [that Moses put on his face] is now over their [minds, keeping them from understanding God’s true message]. They will [understand that message] only when [they come to trust] in Christ. Then [it will be as though God] has removed the veil.
15 Lakini hata leo, wakati wowote Musa asomwapo, utaji hukaa juu ya mioyo yao.
[Throughout all these years], even until now, when [the Israelis] read what Moses [write, it is as though] a veil is covering their minds.
16 Lakini mtu anapogeuka kwa Bwana, utaji unaondolewa.
But when any of them believes in the Lord [Jesus], [God] removes that veil from them.
17 Sasa Bwana ni Roho. Palipo na Roho wa Bwana, kuna uhuru.
[It is by the power of his] Spirit that the Lord [works in our lives], and the Lord’s Spirit has set us free [from trying to obey all the rules and rituals that God gave Moses].
18 Sasa sisi sote, pamoja na nyuso zisizo wekewa utaji, huona utukufu wa Bwana. Tunabadilishwa ndani ya muonekano uleule wa utukufu kutoka shahada moja ya utukufu kwenda nyingine, kama ilivyo kutoka kwa Bwana, ambaye ni Roho.
[It is as though God] has removed the veil from our faces [MET]. We realize how awesome Jesus is. As we realize that, we are continually being changed {[the Holy Spirit is] continually changing us} to become more and more like Jesus, [so that people can see], more and more, how awesome [Jesus is]. It is the Spirit of the Lord who does [this].