< 2 Wakorintho 2 >

1 Kwa hiyo niliamua kwa sehemu yangu mwenyewe kwamba nisingekuja tena kwenu katika hali ya uchungu.
Te dongah nangmih taengah kothaenah la koep lo pawt ham ka ko ka taam coeng.
2 Kama niliwasababishia ninyi maumivu, ni nani angenifurahisha mimi, lakini ni yule ambaye aliumizwa na mimi?
Kai loh nangmih te kang kothet sak cakhaw kamah loh kan kothet sak rhoek pawt atah u long kai n'uum?
3 Niliandika kama nilivyofanya ili kwamba wakati nikija kwenu nisiweze kuumizwa na wale ambao wangekuwa wamenifanya nifurahi. Ninao ujasiri kuhusu ninyi nyote kwamba furaha yangu ni furaha ile ile mliyonayo ninyi nyote.
Ka pawk vaengah kothaenah ka khueh pawt ham ni hekah he ka daek. Amih kaha omngaih ham ni ka kuek. Nangmih boeih kah omngaihnah te kai kah omngaihnah ni tila nangmih boeih te kan ngaitang thil coeng.
4 Kwa kuwa niliwaandikia ninyi kutokana na mateso makubwa, na dhiki ya moyo, na kwa machozi mengi. Sikutaka kuwasababishia ninyi maumivu. Badala yake, nilitaka mjue upendo wa kina nilionao kwa ajili yenu.
Phacip phabaem neh thinko ngaisaknah boeih lamloh mikphi puem neh nangmih ham kan daek te, nangmih te kothet sak ham pawt tih lungnah muep ka khueh te na ming uh van ham ni.
5 Kama kuna yeyote amesababisha maumivu, hajasababisha tu kwangu, lakini kwa kiwango fulani - bila kuweka ukali zaidi - kwenu ninyi nyote.
Tahae ah khat khat loh n'kothet sak cakhaw kai n'kothet sak moenih. Tedae cungvang ah pataeng nangmih boeih te kan thinrhih sak moenih.
6 Hii adhabu ya mtu huyo kwa wengi inatosha.
Hlanga yet kah toelnah he amih taengah cung mai coeng.
7 Kwa hiyo sasa badala ya adhabu, mnapaswa kumsamehe na kumfariji. Fanyeni hivi ili kwamba asiweze kushindwa na huzuni iliyozidi.
Te dongah nangmih loh khodawkngai neh a khuplat la lat hloep uh mai. Amih tah kothaenah muep dolh mai boel saeh.
8 Kwa hiyo ninawatia moyo kuthibitisha upendo wenu hadharani kwa ajili yake.
Te dongah tebang hlang taengah lungnah cak sak ham nangmih kan hloep.
9 Hii ndiyo sababu niliandika, ili kwamba niweze kuwajaribu na kujua kuwa kama ni watii katika kila kitu.
Cungkuem dongah olngai la na om uh nim tila nangmih kah khinngainah te ming ham ni he khaw ka daek.
10 Kama mkimsamehe yeyote, na mimi pia namsamehe mtu huyo. Kile nilicho kisamehe - kama nimesamehe chochote-kimesamehewa kwa faida yenu katika uwepo wa Kristo.
Amih khat khat na rhen bangla ka rhen van. Kai loh khodawk ka ngai te tah nangmih ham ni mebang hlang khaw Khrih mikhmuh ah khodawk ka ngai.
11 Hii ni kwamba Shetani asije akatufanyia madanganyo. Kwa kuwa sisi sio wajinga kwa mipango yake.
Te daengah ni Satan rhangneh n'omtoem uh pawt eh. Anih kah poeknah soah mangvawt boel sih.
12 Mlango ulifunguliwa kwangu na Bwana nilipokuja kwenye mji wa Troa kuhubiri injili ya Kristo pale.
Khrih kah olthangthen ham Troas la ka pawk. Te vaengah Boeipa loh kai ham thohka a ong.
13 Hata hivyo, sikuwa na amani ya moyo, kwa sababu sikumkuta ndugu yangu Tito pale. Hivyo niliwaacha na nikarudi Makedonia.
Ka mana Titu ka hmuh pawt dongah ka mueihla hilhoemnah om pawh. Tedae amih te ka phih tih Makedonia la ka cet.
14 Lakini ashukuriwe Mungu, ambaye katika Kristo mara zote hutuongoza sisi katika ushindi. Kupitia sisi husambaza harufu nzuri ya maarifa yake mahala pote.
Tedae Khrih ah mamih khophoeng aka pha sak taitu tih, mamih ah amah mingnah a bova la hmuen takuem ah aka ul sak Pathen te lungvatnah sih.
15 Kwa kuwa sisi kwa Mungu, ni harufu nzuri ya Kristo, wote kati ya wale waliookolewa na kati ya wale wanaoangamia.
A khang rhoek lakli neh aka poci rhoek lakli ah khaw Pathen taeng lamloh Khrih kah botui la n'om uh.
16 Kwa watu ambao wanaangamia, ni harufu kutoka kifo hadi kifo. Kwa wale wanaookolewa, ni harufu nzuri kutoka uzima hadi uzima. Ni nani anayestahili vitu hivi?
Amih te dueknah taengah dueknah kah a hoipai la bet, khat rhoek tah hingnah taengah hingnah kah a hoipai la om uh. Te dongah he neh ulae aka ting eh.
17 Kwa kuwa sisi sio kama watu wengi wanaouza neno la Mungu kwa faida. Badala yake, kwa usafi wa nia, tunanena katika Kristo, kama vile tunavyotumwa kutoka kwa Mungu, mbele ya Mungu.
Pathen kah olka aka yoi la muep ka om uh moenih. Tedae Pathen taeng lamkah vanbangla, cimcaihnah neh Khrih khuiah ni Pathen hmaiah ka thui uh.

< 2 Wakorintho 2 >