< 2 Wakorintho 13 >

1 Hii ni mara ya tatu kwamba nakuja kwenu. “Kila shitaka lazima lijengwe na uthibitisho wa mashahidi wawili au watatu.”
Trzeci to już raz idę do was. W ustach dwóch lub trzech świadków stanie każde słowo.
2 Nimekwishashasema kwa hao waliotenda dhambi kabla na kwa wengine wote wakati nilipokuwa huko mara ya pili, na ninasema tena: Nitakapokuja tena, sitawavumilia.
Powiedziałem przedtem i znowu powiadam jako powtóre obecny, a teraz nie będąc obecny piszę tym, którzy przedtem grzeszyli i wszystkim inszym, że jeźli znowu przyjdę, nie przepuszczę im.
3 Nawaambia ninyi hili kwa sababu mnatafuta ushahidi kwamba Kristo ananena kupitia mimi. Yeye sio dhaifu kwenu, badala yake, yeye ni mwenye nguvu ndani yenu.
Ponieważ chcecie doświadczyć tego, który we mnie mówi, Chrystusa, który ku wam nie jest słaby, ale mocny jest w was.
4 Kwa kuwa alisulibiwa katika udhaifu, lakini yu hai kwa nguvu za Mungu. Kwa kuwa sisi pia tu dhaifu ndani yake, lakini tutaishi naye kwa nguvu za Mungu miongoni mwenu.
Bo aczkolwiek ukrzyżowany jest jako słaby, ale żyje z mocy Bożej, a tak i my jesteśmy z nim słabymi, ale żyć będziemy z nim z mocy Bożej przeciwko wam.
5 Jichunguzeni wenyewe muone kama mko katika imani. Jipimeni wenyewe. Hamgundui kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Yeye yumo, vinginevyo kama hamjathibitishwa.
Doświadczajcie samych siebie, jeźli jesteście w wierze, samych siebie doznawajcie. Czyli samych siebie znacie, że Jezus Chrystus w was jest? chyba żebyście byli odrzuceni.
6 Na nina ujasiri kwamba ninyi mtagundua kwamba sisi hatukukataliwa.
Mam jednak nadzieję, że poznacie, iż my nie jesteśmy odrzuconymi.
7 Sasa tunaomba kwa Mungu kwamba msiweze kufanya chochote kibaya. Siombi kwamba sisi tuweze kuonekana tumepita jaribu, badala yake ninaomba kwamba muweze kufanya kilicho sahihi, Ingawa tunaweza kuonekana tumeshindwa jaribu.
I modlę się Bogu, abyście nic złego nie czynili; nie iżbyśmy się my doświadczonymi okazali, ale abyście wy to, co jest dobrego, czynili, a my żebyśmy byli jako odrzuceni.
8 Kwa kuwa sisi hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, lakini ni kwa ajili ya kweli tu.
Boć nie możemy nic przeciwko prawdzie, ale za prawdą.
9 Kwa kuwa tunafurahi wakati tunapokuwa dhaifu nanyi mkiwa na nguvu. Tunaomba pia kwamba muweze kufanywa wakamilifu.
Albowiem się radujemy, że chociaśmy my słabymi, ale wy jesteście mocnymi; a tegoć i życzymy, abyście wy byli doskonałymi.
10 Nayaandika mambo haya wakati nikiwa mbali nanyi, ili kwamba wakati nikiwa pamoja nanyi sihitaji kuwaonesha ukali ninyi. Sihitaji kutumia mamlaka Bwana aliyonipaa mimi niwajenge na siyo kuwaharibu chini.
Przetoż to piszę, nie będąc obecny, abym będąc obecnym, nie musiał używać srogości według mocy, którą mi dał Pan na zbudowanie, a nie na zepsowanie.
11 Hatimaye, ndugu wa kiume na wa kike, furahini! fanyeni kazi kwa ajili ya urejesho, mtiwe moyo, kubalianeni ninyi kwa ninyi, muishi katika amani. Na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Na ostatek, bracia! miejcie się dobrze; doskonałymi bądźcie, cieszcie się, jednomyślnymi bądźcie, w pokoju żyjcie, a Bóg miłości i pokoju będzie z wami.
12 Salimianeni kila mmoja kwa busu takatifu.
Pozdrówcie jedni drugich świętem pocałowaniem.
13 Waumini wote wanawasalimu.
Pozdrawiają was wszyscy święci.
14 Neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nanyi nyote.
Łaska Pana Jezusa Chrystusa i miłość Boża, i społeczność Ducha Świętego niech będzie z wami wszystkimi. Amen.

< 2 Wakorintho 13 >