< 2 Wakorintho 13 >
1 Hii ni mara ya tatu kwamba nakuja kwenu. “Kila shitaka lazima lijengwe na uthibitisho wa mashahidi wawili au watatu.”
Hinu ndi mala yangu ya datu yenikuvagendelela kwinu. Ngati chegijova Mayandiku Gamsopi “Kila lijambu yati lihamuliwa muvandu vevagawene vavili amala vamahele.”
2 Nimekwishashasema kwa hao waliotenda dhambi kabla na kwa wengine wote wakati nilipokuwa huko mara ya pili, na ninasema tena: Nitakapokuja tena, sitawavumilia.
Namali kuvajovela, ngati chayavili lugendu lwangu lwa pili, hinu nijova kavili kuni nivii kutali, vala voha vevakitili uhakau veviyendelela kuhenga uhakau pamonga vangi vala, penibwela nikuvahengela lepi lipyana.
3 Nawaambia ninyi hili kwa sababu mnatafuta ushahidi kwamba Kristo ananena kupitia mimi. Yeye sio dhaifu kwenu, badala yake, yeye ni mwenye nguvu ndani yenu.
Mukujilolela mwavene uchakaka wemwigana kuvya Kilisitu ijova na nyenye mu njila yangu. Kwinu Kilisitu atotokili lepi, nambu yati ilangisa makakala gaki pagati yinu.
4 Kwa kuwa alisulibiwa katika udhaifu, lakini yu hai kwa nguvu za Mungu. Kwa kuwa sisi pia tu dhaifu ndani yake, lakini tutaishi naye kwa nguvu za Mungu miongoni mwenu.
Hati ngati akomiwi na kuvambiwa pamsalaba ndava ya kutotokela, nambu hinu itama muuhotola wa Chapanga. Tete mewa titotokili mukuwungana nayu nambu yati tivya na wumi pamonga nayu muni tihotola kuhenga lihengu pagati yinu.
5 Jichunguzeni wenyewe muone kama mko katika imani. Jipimeni wenyewe. Hamgundui kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Yeye yumo, vinginevyo kama hamjathibitishwa.
Mujilingulila bwina mwavene muni mumanya ngati chakaka musindamili musadika, mjilola mwavene. Wu nakujimanya ngati Yesu Kilisitu avili mugati yinu? Ngati lepi ndi nyenye mshindwili.
6 Na nina ujasiri kwamba ninyi mtagundua kwamba sisi hatukukataliwa.
Nambu nisadika kuvya nyenye mwimanya kuvya tete tashindwili lepi.
7 Sasa tunaomba kwa Mungu kwamba msiweze kufanya chochote kibaya. Siombi kwamba sisi tuweze kuonekana tumepita jaribu, badala yake ninaomba kwamba muweze kufanya kilicho sahihi, Ingawa tunaweza kuonekana tumeshindwa jaribu.
Tikumuyupa Chapanga mkoto kukita uhakau wowoha, nambu lepi ndava muni tilolekanayi na vandu kuvya ngati tavandu vetihotwili, ndi muni mkita gabwina, hati ngati tete tiwonikini kuvya tishindwili.
8 Kwa kuwa sisi hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, lakini ni kwa ajili ya kweli tu.
Muni nakuhotola kuubela uchakaka, uhotola wetivili nawu ndi wa kuyendeleza uchakaka.
9 Kwa kuwa tunafurahi wakati tunapokuwa dhaifu nanyi mkiwa na nguvu. Tunaomba pia kwamba muweze kufanywa wakamilifu.
Tiheka muni tete lukumbi petatotokili, nambu nyenye muvi na makakala, ndava yeniyo tikuvayupa mkoto kupungula chochoha.
10 Nayaandika mambo haya wakati nikiwa mbali nanyi, ili kwamba wakati nikiwa pamoja nanyi sihitaji kuwaonesha ukali ninyi. Sihitaji kutumia mamlaka Bwana aliyonipaa mimi niwajenge na siyo kuwaharibu chini.
Hinu, niyandika balua iyi kuni nivii kutali, muni nikahika kwinu nikotoka kuganikiwa kuvya mkali kwinu, mu kuhengela uhotola wenipelili BAMBU, ndi uhotola wa kuvasindimalisa sadika yinu nambu lepi uhotola wa kuvagwisa.
11 Hatimaye, ndugu wa kiume na wa kike, furahini! fanyeni kazi kwa ajili ya urejesho, mtiwe moyo, kubalianeni ninyi kwa ninyi, muishi katika amani. Na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Hinu, valongo hinu nikuvalaga! Mkoto kupungukiwa na chindu na mukamula malagizu gangu, muvya na liholo limonga, mtama kwa uteke. Nikumuyupa Chapanga mweileta uganu na uteke avyai pamonga na nyenye.
12 Salimianeni kila mmoja kwa busu takatifu.
Mjambusana mukulangisa uganu.
13 Waumini wote wanawasalimu.
Vandu voha va Chapanga kwitu vakuvajambusa.
14 Neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nanyi nyote.
Ubwina wa BAMBU Yesu Kilisitu na uganu wa Chapanga na umonga wa Mpungu Msopi, uvyai pamonga na mwavoha nyenye.