< 2 Wakorintho 13 >

1 Hii ni mara ya tatu kwamba nakuja kwenu. “Kila shitaka lazima lijengwe na uthibitisho wa mashahidi wawili au watatu.”
Ulu lwa vutatu ni niza kwenu. “Ku nyaswa konse ku swanela ku tanga cha zi vonekete ka che panki zovele kapa zotatwe.”
2 Nimekwishashasema kwa hao waliotenda dhambi kabla na kwa wengine wote wakati nilipokuwa huko mara ya pili, na ninasema tena: Nitakapokuja tena, sitawavumilia.
Chini va wambite kale kwa va na va chiti chivi mi ni ku vonse ha ni ve na uko imwi inako ya vuveli, mi ni iwamba hape: Hete ni nize hape, kete ni ni va siyevulyo.
3 Nawaambia ninyi hili kwa sababu mnatafuta ushahidi kwamba Kristo ananena kupitia mimi. Yeye sio dhaifu kwenu, badala yake, yeye ni mwenye nguvu ndani yenu.
Ni mi wambila izi kakuti mukwete ku lola zivoneka kuti Kirisite njo wamba ku zwilila mwangu. Ka vulite ziho ka chenu. Kusivulyo, iye u kolete mwenu.
4 Kwa kuwa alisulibiwa katika udhaifu, lakini yu hai kwa nguvu za Mungu. Kwa kuwa sisi pia tu dhaifu ndani yake, lakini tutaishi naye kwa nguvu za Mungu miongoni mwenu.
Mukuti a va vambulwa mu ku vula ziho, kono uhala cha ziho za Ireeza. Mi naswe vulyo tu vulite ziho mwali, kono mutuhale naye cha ziho za Ireeza mukati ketu.
5 Jichunguzeni wenyewe muone kama mko katika imani. Jipimeni wenyewe. Hamgundui kwamba Yesu Kristo yu ndani yenu? Yeye yumo, vinginevyo kama hamjathibitishwa.
Mu li tatuve mu vene mu vone haiva mwina mwi intumelo. Mu li like muvene. Ka mulemuhite kuti Jesu Kirisite wina mwenu? Mwe na, konji haiva kena mu va zumininwa.
6 Na nina ujasiri kwamba ninyi mtagundua kwamba sisi hatukukataliwa.
Mi nina insempo ya kuti ka muwane kuti ka tuzumininwe.
7 Sasa tunaomba kwa Mungu kwamba msiweze kufanya chochote kibaya. Siombi kwamba sisi tuweze kuonekana tumepita jaribu, badala yake ninaomba kwamba muweze kufanya kilicho sahihi, Ingawa tunaweza kuonekana tumeshindwa jaribu.
Hanu tu lapela kwa Ireeza kuti kanji mutendi nanga bumwi vuvi. Ka ni lapeli kuti tu voneke sina tu va hitilili intiko. Kusivulyo, ni lapela kuti mutende chi shieme, ni ha kuvoneka kuti tu vashali intiko.
8 Kwa kuwa sisi hatuwezi kufanya lolote kinyume na kweli, lakini ni kwa ajili ya kweli tu.
Mukuti ka tu woli ku panga chimwi chi lwisanisa initi, kono vulyo cha initi.
9 Kwa kuwa tunafurahi wakati tunapokuwa dhaifu nanyi mkiwa na nguvu. Tunaomba pia kwamba muweze kufanywa wakamilifu.
Mukuti tusanga mu kuvula ziho mi inwe mukolete. Naswe tulapela kuti mwi zuzilizwe.
10 Nayaandika mambo haya wakati nikiwa mbali nanyi, ili kwamba wakati nikiwa pamoja nanyi sihitaji kuwaonesha ukali ninyi. Sihitaji kutumia mamlaka Bwana aliyonipaa mimi niwajenge na siyo kuwaharibu chini.
Ni ñola izi zintu ni ni sena namwe, nji kuti chinina nanwe kanzi ni mi tendi cha vukali cha ku velekisa vuyendisi bwangu-uvo Simwine bwa va nihi, ili kuti ni mizake ku zwila havusu, mi isiñi ku mi vozekeza hansi.
11 Hatimaye, ndugu wa kiume na wa kike, furahini! fanyeni kazi kwa ajili ya urejesho, mtiwe moyo, kubalianeni ninyi kwa ninyi, muishi katika amani. Na Mungu wa upendo na amani atakuwa pamoja nanyi.
Cha ma manikizo, vakwetu, musange! Mutende cha ku vusulusa, mu su suwezwe, muzumi nzane ha mwina, muhale mwi inkozo. Mi Ireeza we lato ni inkozo ka ve nanwe.
12 Salimianeni kila mmoja kwa busu takatifu.
Muli lumelise mukati kenu cha kuli chunchuna ku jolola.
13 Waumini wote wanawasalimu.
Vonse va zumine va mi lumelisa.
14 Neema ya Bwana Yesu Kristo, upendo wa Mungu, na ushirika wa Roho Mtakatifu uwe pamoja nanyi nyote.
Mi musa wa Simwine Jesu Kirisite, ilato lya Ireeza, ni kuli kopanya kwa Luhuho Lujolola zive nanwe mu vonse.

< 2 Wakorintho 13 >