< 2 Wakorintho 12 >
1 Ni lazima nijivune, lakini hakuna kinachoongezwa na hilo. Bali nitaendelea kwenye maono na mafunuo kutoka kwa Bwana.
Saya kira saya harus menyombongkan diri, meskipun itu tidak terlalu membantu. Biarkan saya pergi ke visi dan wahyu dari Tuhan.
2 Namjua mtu mmoja katika Kristo ambaye miaka kumi na minne iliyopita ambaye—ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui, Mungu anajua—alinyakuliwa juu katika mbingu ya tatu.
Saya mengenal seorang pria di dalam Kristus yang empat belas tahun yang lalu diangkat ke surga ketiga (baik secara fisik di dalam tubuh, atau di luarnya, saya tidak tahu, tetapi Allah tahu).
3 Na ninajua kwamba mtu huyu—ikiwa katika mwili, au nje ya mwili, mimi sijui, Mungu anajua—
Saya tahu bahwa orang ini (entah secara fisik diangkat ke dalam tubuh, atau terlepas darinya, saya tidak tahu, tetapi Allah tahu),
4 alichukuliwa juu hadi paradiso na kusikia mambo matakatifu sana kwa mtu yeyote kuyasema.
bagaimana dia diangkat ke Firdaus, dan mendengar hal-hal yang terlalu indah untuk didengar, diucapkan dengan kata-kata yang begitu suci sehingga tidak ada manusia yang diizinkan untuk mengatakannya.
5 Kwa niaba ya mtu kama huyo nitajivuna. lakini kwa niaba yangu mwenyewe sitajivuna. Isipokuwa kuhusu udhaifu wangu.
Sesuatu seperti itu akan saya banggakan, tetapi saya tidak akan menyombongkan diri saya, kecuali kelemahan saya.
6 Kama nikitaka kujivuna, nisingekuwa mpumbavu, kwa kuwa ningekuwa ninazungumza ukweli. Lakini nitaacha kujivuna, ili kwamba asiwepo yeyote atakayenifikiria zaidi ya hayo kuliko kinachoonekana ndani yangu au kusikika kutoka kwangu.
Saya tidak akan bodoh jika saya ingin menyombongkan diri, karena saya akan mengatakan yang sebenarnya. Tetapi saya tidak akan menyombongkan diri, sehingga tidak ada yang akan lebih memikirkan saya daripada apa yang mereka lihat saya lakukan atau dengar saya katakan.
7 Sitajivuna pia kwa sababu ya hayo mafunuo ya aina ya ajabu. Kwa hiyo, hivyo sitajawa na kiburi, mwiba uliwekwa ndani ya mwili wangu, mjumbe wa shetani kunishambulia mimi, ili nisigeuke kuwa mwenye majivuno.
Juga, karena wahyu-wahyu ini luar biasa hebat, dan agar saya tidak sombong, saya diberi “duri dalam daging saya” — utusan setan untuk menyakiti saya agar saya tidak sombong.
8 Mara tatu nilimsihi Bwana kuhusu hili, ili yeye kuundoa kutoka kwangu.
Saya memohon kepada Tuhan tiga kali untuk menyingkirkan masalah ini.
9 Naye akaniambia, “Neema yangu inatosha kwa ajili yako, kwa kuwa nguvu hufanywa kamili katika udhaifu. Hivyo, ningetamani zaidi kujivuna zaidi kuhusu udhaifu wangu, ili kwamba uwezo wa Kristo uweze kukaa juu yangu.
Tetapi dia berkata kepadaku, “Hanya kasih karunia-Ku yang kamu perlukan, karena kekuatanku efektif dalam kelemahan.” Itulah sebabnya saya dengan senang hati menyombongkan kelemahan saya, agar kuasa Kristus bersemayam dalam diri saya.
10 Kwa hiyo ninatosheka kwa ajili ya Kristo, katika udhaifu, katika matukano, katika shida, katika mateso, katika hali ya masikitiko. Kwa kuwa wakati nikiwa dhaifu, kisha nina nguvu.
Jadi saya menghargai kelemahan, hinaan, masalah, penganiayaan, dan kesulitan yang saya derita demi Kristus. Karena ketika aku lemah, maka aku kuat!
11 Mimi nimekuwa mpumbavu! ninyi mlinilazimisha kwa hili, kwa kuwa ningekuwa nimesifiwa na ninyi. Kwa kuwa sikuwa duni kabisa kwa hao waitwao mitume—bora, hata kama mimi si kitu.
Saya berbicara seperti orang bodoh, tetapi kalian membuat saya melakukannya! kalian seharusnya benar-benar berbicara baik tentang saya, karena saya sama sekali tidak kalah dengan rasul-rasul super, meskipun saya tidak menghitung apa pun.
12 Ishara za kweli za mtume zilifanyika katikati yenu kwa uvumilivu, ishara na maajabu na matendo makuu.
Namun tanda-tanda seorang rasul diperlihatkan di antara kamu dengan sabar — tanda-tanda, keajaiban-keajaiban, dan mujizat-mujizat yang dahsyat.
13 Kwa namna gani mlikuwa wa muhimu wa chini kuliko makanisa yaliyobaki, isipokuwa kwamba sikuwa mzigo kwenu? Mnisamehe kwa kosa hili!
Dalam hal apa kamu lebih rendah dari gereja-gereja lain kecuali aku tidak membebanimu? Maafkan aku karena melakukan kesalahanmu!
14 Tazama! mimi niko tayari kuja kwenu kwa mara ya tatu. Sitakuwa mzigo kwenu, kwa kuwa sitaki kitu kilicho chenu. Nawataka ninyi. Kwa kuwa watoto hawapaswi kuweka akiba kwa ajili ya wazazi. Badala yake, wazazi wanapaswa kuweka akiba kwa ajili ya watoto.
Sekarang aku bersiap untuk mengunjungimu untuk ketiga kalinya, dan aku tidak akan menjadi beban bagimu. Saya tidak menginginkan apa yang kalian miliki, saya menginginkan kalian sendiri! Lagi pula, anak-anak tidak harus menabung untuk orang tua mereka, tetapi orang tua harus untuk anak-anak mereka.
15 Nitafurahi zaidi kutumia na kutumiwa kwa ajili ya nafsi zenu. Kama ninawapenda zaidi, natakiwa kupendwa kidogo?
Dengan senang hati aku akan menghabiskan diriku, dan menghabiskannya untukmu. Jika aku sangat mencintaimu, apakah kamu akan semakin mencintaiku?
16 Lakini kama ilivyo, sikuwalemea mzigo ninyi. Lakini kwa kuwa mimi ni mwerevu sana, mimi ni yule aliyewashika ninyi kwa nimekuwa ambaye aliyewapata kwa udanganyifu.
Yah, meski begitu, aku tidak membebanimu. Mungkin aku licik, dan menipumu dengan cara licikku!
17 Je, nilichukua kwa kujifanyia faida kwa yeyote niliyemtuma kwenu?
Tapi apakah aku memanfaatkanmu oleh orang yang kukirim padamu?
18 Nilimsihi Tito kuja kwenu, na nilituma ndugu mwingine pamoja naye. Je, Tito aliwafanyia faida ninyi? Je, hatukutembea katika njia ile ile? Je, hatukutembea katika nyayo zile zile?
Saya mendesak Titus untuk pergi menemui kalian, dan saya mengirim saudara lain bersamanya. Apakah Titus memanfaatkanmu? Tidak, kami berdua memiliki semangat yang sama dan menggunakan metode yang sama.
19 Mnadhani kwa muda huu wote tumekuwa tukijitetea sisi wenyewe kwenu? Mbele za Mungu, na katika Kristo, tumekuwa tukisema kila kitu kwa ajili ya kuwaimarisha ninyi.
Mungkin kalian berpikir bahwa selama ini kita hanya berusaha membela diri. Tidak, kami berbicara untuk Kristus di hadapan Allah. Semua yang kami lakukan, teman, adalah untuk keuntungan kalian.
20 Kwa kuwa nina hofu kwamba nitakapokuja naweza nisiwapate ninyi kama ninavyotamani. Nina hofu kwamba mnaweza msinipate mimi kama mnavyotamani. Nahofia kwamba kunaweza kuwa na majadiliano, wivu, milipuko ya hasira, tamaa ya ubinafsi, umbeya, kiburi, na ugomvi.
Saya khawatir ketika saya mengunjungi bahwa entah bagaimana saya tidak akan menemukan kalian seperti yang saya inginkan, dan bahwa kalian tidak akan menemukan saya seperti yang kalian inginkan! Saya takut akan ada pertengkaran, kecemburuan, kemarahan, persaingan, fitnah, gosip, kesombongan, dan kekacauan.
21 Nina hofu kwamba nitakaporudi tena, Mungu wangu anaweza kuninyenyekeza mbele yenu. Nina hofu kwamba ninaweza kuhuzunishwa na wengi ambao wamefanya dhambi kabla ya sasa, na ambao hawakutubu uchafu, na uasherati na mambo ya tamaa wanayoyatenda.
Saya takut ketika saya mengunjungi, Allah saya akan merendahkan saya di hadapan kalian, dan bahwa saya akan menangisi banyak dari mereka yang telah berdosa sebelumnya, dan yang masih belum bertobat dari kenajisan, percabulan, dan ketidaksenonohan tindakan yang mereka lakukan.