< 2 Wakorintho 10 >

1 Mimi Paulo, mwenyewe nawasihi kwa unyenyekevu na upole wa Kristo. Mimi ni mpole wakati nikiwa mbele yenu, Lakini ninaujasiri kwenu wakati nikiwa mbali nanyi.
I me, Paulusi, ni mwine ni li kumbilila kwenu, cha kuliboza hansi ni lato lya Keresite. Ni li bozekeza hansi hate nina habusu bwenu kono ni chita cha kukola haiba nina kule nanwe.
2 Nawaomba ninyi kwamba, wakati nikiwepo pamoja nanyi, sitahitaji kuwa jasiri na kujiamini kwangu mwenyewe. Lakini nafikiri nitahitaji kuwa jasiri wakati nikiwapinga wale wanaodhani kwamba tunaishi kwa jinsi ya mwili.
Ni mikumbila kuti, heti nina hamwina nanwe, kete ni sake kukola cha kulisepa ni mwine. Kono ni zeza kuti ka nibe ni kukola ha ni ku li kangisana babo bazumina kuti iswe tuhala chakuya che nyama.
3 Kwa kuwa hata kama tunatembea katika mwili, hatupigani vita kwa jinsi ya mwili.
Ni ha kubabulyo ni ha tuyenda che nyama, ka tuhambilizi inkondo kuya che nyama.
4 Kwa kuwa silaha tunazotumia kupigana si za kimwili. Badala yake, zina nguvu ya kiungu ya kuharibu ngome. Zinaondosha kabisa mijadara inayopotosha.
Chokuti zilwiso ze tu lwa kazo kahena ze nyama. Kono, beena ziho zijolola zi sinya sinya zi ba zimbulukite. Ka kwina che zi wola kuleta inkani za kuchengelela.
5 Pia, tunaharibu kila chenye mamlaka kijiinuacho dhidi ya maarifa ya Mungu. Tunalifanya mateka kila wazo katika utii kwa Kristo.
Naswe bulyo tusinya chonse chihanzi chizimana kulwisa inzibo ye Ireeza. Tuhinda ni kusumina mihupulo yonse i sakuteki Keresite.
6 Na tunapata utayari wa kuadhibu kila matendo lisilo na utii, mara tu utii wenu unapokuwa kamili.
Mi tu libakanya ku ha inkoto kwi kezo zonse zi sa kuteki, haho bulyo ikute lyenu ha chi lye zuzilizwa.
7 Tazama kile kilichowazi mbele yenu. Kama yeyote anashawishika kwamba yeye ni wa Kristo, na hebu ajikumbushe yeye mwenyewe kwamba kama tu alivyo ni wa Kristo, hivyo ndiyo na sisi pia tuko hivyo.
Mulole chi bonahala sinte habusu bwenu. Haiba zumwi chalikupula kuti chili wa Keresite mu muleke a lihupulise iye mwine kuti sina iye ha li wa Keresite chobulyo mutwina tubonse.
8 Kwa kuwa hata nikijivuna kidogo zaidi kuhusu mamlaka yetu, ambayo Bwana aliyatoa kwa ajili yetu kuwajenga ninyi na siyo kuwaharibu, sitaona haya.
Chokuti ni ha ni litundumuna kanini cha bungi kuamana ni inkamaiso, i yo Simwine a va ihi chetu kuti tu mizake kono isinyi kumisinya, kete ne ni swabe.
9 Sihitaji hili lionekane kwamba nawatisha ninyi kwa nyaraka zangu.
Ka ni saki kuti kubonahale chokuti ni mitiiza cha mañolo angu.
10 Kwa vile baadhi ya watu husema, “Nyaraka zake ni kali na zina nguvu, lakini kimwili yeye ni dhaifu. Maneno yake hayastahili kusikilizwa.”
Chokuti bamwi bantu ba ti, “Mañolo a kwe a hambiliza ni ziho, kono cha mazimo u fokwele. Manzwi a kwe kaswanelwi ku tekelezwa.”
11 Hebu watu wa jinsi hiyo waelewe kwamba kile tusemacho kwa waraka wakati tukiwa mbali, ni sawasawa na vile tutakavyotenda wakati tukiwa pale.
Musiye a bo bantu balemuhe kuti sina mu twikalile mu manzwi a mañolo e tu ni ha tu sa kwina kono mwete ne tubile mu zimpangaliko zetu ha te ne tube uko.
12 Hatuendi mbali mno kama kujikusanya wenyewe au kujilinganisha wenyewe na wale ambao hujisifia wenyewe. Lakini wanapojipima wenyewe na kila mmoja wao, hawana akili.
Ka tuyendi kule sina kulikunganya iswe tubene kwetu kapa cha ku lilikanyisa kwetu na bo bakwete ku li litemba a bo bene. Kono ha ba bali ku li likanyisa a bo bene cha zumwi ni zumwi ni ku li likanyisa kwa bo zumwi ni zumwi, kakwina chebezi.
13 Sisi, hata hivyo, hatutajivuna kupita mipaka. Badala yake, tutafanya hivyo tu ndani ya mipaka ambayo Mungu ametupimia sisi, mipaka inayofika umbali kama wenu ulivyo.
Iswe, ni ha kwinabulyo, kete tu li tundubule cha kuhitiliza intikanyo. Kusi bulyo, ka tuchite bulyo mwi ntikanyo ya Ireeza ya ba tuhi, intikanyo i wola kusika kule u ko kwenu.
14 Kwa kuwa hatukujizidishia wenyewe tulipowafikia ninyi. Tulikuwa wa kwanza kufika kwa umbali kama wenu kwa injili ya Kristo.
Mi kana tu ba lihitilizi tubene ha twiza kusika kwenu. Njiswe ba ba tangi lwetanzi kusika u ko kwenu che ivangeli ya Keresite.
15 Hatujajivuna kupita mipaka kuhusu kazi za wengine. Badala yake, tunatumaini kama imani yenu ikuwavyo kwamba eneo letu la kazi litapanuliwa sana, na bado ni ndani ya mipaka sahihi.
Kana tu ba litundumuni chakuhitiliza intikanyo chakuya cha mitendo ya bamwi. Kusi bulyo, tusepa kuti sina intumelo yenu ha ili kuti chibaka chetu cha mutendo kachikule ahulu, mi ni ku ba muintikanyo mu iswanelela.
16 Tunatumaini kwa hili, ili kwamba tuweze kuhubiri injili hata kwenye mikoa zaidi yenu. Hatutajivuna kuhusu kazi inayofanywa katika maeneo mengine.
Tu sepa chobuti, tu ka kutaze ivangeli mane ni mu zikiliti zi mi hitilile. Ke te tu li tundumune cha mutendo u chitahala muzibaka zimwi.
17 “Lakini yeyote ajivunaye, ajivune katika Bwana.”
“Kono musiye u zo yo litundumuna, a li tindumuna mwa Simwine.”
18 Kwa maana siyo yule ajithibitishaye mwenyewe anathibitishwa. Isipokuwa, ni yule ambaye Bwana humthibitisha.
Chokuti ka njieye uzo u lipaka iye mwine yo zumininwe. Kusi bulyo, njozo mwine u pakwa kwa Simwine.

< 2 Wakorintho 10 >