< 2 Wakorintho 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, na kwa waumini wote walioko katika mkoa wote wa Akaya.
Paul, Pathien lungdoa Khrista Jisua tîrton, le ei lâibungpa Timothy ngei renga han, Korinth taka Pathien koiindang, male Achaia ram pumpuia Pathien mingei murdi kôm han:
2 Neema na iwe kwenu na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Pathien ei Pa le Pumapa Jisua Khrista'n moroina le inngêina nangni pêk rese.
3 Na asifiwe Mungu na Baba wa Bwana Yesu Kristo. Yeye ni Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote.
Ei Pumapa Jisua Khrista Pathien le Pa, mulungjûrpuina sip Pa, sannangei murdi juongna Pathien kôm han râisânchong misîr ei tih u!
4 Mungu hutufariji sisi katika mateso yetu yote, ili kwamba tuweze kuwafariji wale walio katika mateso. Tunawafariji wengine kwa faraja ileile ambayo Mungu alitumia kutufariji sisi.
Ama'n ei intaknangei murdia mi san ngâia, masikin eini khom Pathien renga sanna ei man nanâk hah mangin midangngei an intakna murdia ei san thei ani.
5 Kwa kuwa kama vile mateso ya Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo.
Khrista tuongna tamtak ngei han rangtum ei dôn anghan Khrista jârin Pathien sanna lien khom han rangtum ei dôn ani.
6 Lakini kama tunataabishwa, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokovu wenu. Na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu. Faraja yenu inafanya kazi kikamilifu mnaposhiriki mateso kwa uvumilivu kama sisi pia tunavyoteseka.
Kin tuongin chu, mahah sanna le sanminringna nin manna rang ania; sannin kin omin chu, hanchu nangni khom sannin nin oma male tuongna kin tuong hah tuongdierna dôna tuong rangin râtna pêkin nin om ani.
7 Na ujasiri wetu juu yenu ni thabiti. Tunajua kwamba kama vile ambavyo mnashiriki mateso, vile vile mnashiriki faraja.
Masikin nangni kin sabeina hah innîk tet ngâi mak; kin tuongnangeia rangtum nin dôn anghan sanna kin manna ngei khoma hin rangtum nin dôn sa tiin kin riet.
8 Kwa kuwa hatutaki ninyi muwe wajinga, ndugu, kuhusu matatizo tuliyokuwa nayo huko Asia. Tulionewa zaidi ya vile tuwezavyo kubeba, kana kwamba hatukuwa hata na tumaini la kuishi tena.
Lâibungngei le sarnungei Asia ramhuol sûnga intakna kin tong roi hah nangni minrietnôk kin nuom. Kin chunga puokrikngei hah alien rai sik le arik rai sikin la ring rangin sabeina reng dôn khâi mak me.
9 Kweli, tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu. Lakini hiyo ilikuwa ni kutufanya sisi tusiweke tumaini juu yetu wenyewe, badala yake tuweke tumaini katika Mungu, afufuaye wafu.
Kin chunga thina rangin roi an jêkmasat angin kin riet. Hannirese maha chu keinia hin minngam loiin Pathien mithi kaithoi nôkpu kôm kin minngam theina rang sika alei ni.
10 Alituokoa sisi kutoka hayo maafa ya mauti, na atatuokoa tena. Tumeweka ujasiri wetu katika yeye ya kwamba atatuokoa tena.
Ma anga thina chiruoi inrîngomngei renga hah mi sanminring zoia, mi la sanminjôk atih, male kin sabeina ama chunga kin minngama, ama'n mi la sanminring nôk atih,
11 Atafanya hivi kama vile ninyi pia mtusaidiavyo kwa maombi yenu. Hivyo wengi watatoa shukurani kwa niaba yetu kwa ajili ya upendeleo wa neema tuliyopewa sisi kupitia maombi ya wengi.
nangni khom kin ta rangin chubaithonangeia mi nin san anghan. Masikin kin ta ranga chubaithona tamtak ngei hah thuonin om a ta, male Pathien'n sat mi vur a ta; male mi tamtakin kin ruthûlin a kôm râisânchong misîr an tih.
12 Tunajivunia hili: ushuhuda wa dhamiri yetu. Kwa kuwa ni katika nia safi na usafi wa Mungu kwamba tulienenda wenyewe katika dunia. Tumefanya hivi hasa na ninyi, na sio katika hekima ya ulimwengu, lakini badala yake ni katika neema ya Mungu.
Hi rammuola kin ringnuna leh aliekin nangni le kin inkainangei han munisi vârna sika ni loiin Pathien moroina sinthotheina sikin Pathien-pêk ngamna le takintâinân roi ajêka mi mindeta kin sielesarietnân mi ril sikin kin inpâkpui ani.
13 Hatuwaandikii chochote ambacho hamwezi kukisoma au kuelewa. Ninaujasiri
Nin pore thei le nin rietthei kai kêng nin kôm kin miziek. Nikhomsenla atûn hin la rietthei sabak no khom ungla, mi la rietthei tatak nin tih, tiin ka sabei ani, ei Pumapa Jisua Nikhuo han nangni kin minpâk anghan mi nin minpâk theina rangin.
14 kwamba kwa sehemu mumekwisha kutuelewa. Na ninaujasiri kwamba katika siku ya Bwana Yesu tutakuwa sababu yenu kwa ajili ya kiburi chenu, kama vile mtakavyokuwa kwetu.
15 Kwa sababu nilikuwa na ujasiri kuhusu hili, nilitaka kuja kwenu kwanza, ili kwamba muweze kupokea faida ya kutembelewa mara mbili.
Mangei murdi hah ki riet minthâr sabaka, vêlnik satvura nin om theina rangin nangni hongpan bak rangin mintuonangei ki sin ani.
16 Nilikuwa napanga kuwatembelea wakati nikielekea Makedonia. Tena nilitaka kuwatembelea tena wakati nikirudi kutoka Makedonia, na kisha ninyi kunituma mimi wakati nikielekea Uyahudi.
Macedonia rama ke se balamin nangni hongpana, ko hongkîr nôk tieng khom nangni hongpan nôk rangin ki mintuo ani, Judea rama ku khuolchaina ranga han mi nin san theina rangin.
17 Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
Hi anga mintuona sika hin mintuona thûldul mi anghan kên lang mini? Ki mintuonangei ki sin lâihan, ranghuolna bôknangei renga ki sin mo, “Ani, ani” le “Niloi, niloi” voikhat rengin ti ranga ânzoi sai mini?
18 Lakini kama vile Mungu alivyo mwaminifu, hatusemi vyote “Ndiyo” na “Hapana.”
Adiktakin Pathien'n chongtakin a chong ngâi anghan, nin kôma ko chonginkhâm khom hah “Ani” le “Niloi” nimak.
19 Kwa kuwa mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye Silvano, Timotheo na mimi tulimtangaza miongoni mwenu, siyo “Ndiyo” na “Hapana.” Badala yake, yeye wakati wote ni “Ndiyo.”
Jisua Khrista, Pathien Nâipasal, a thurchi nin lâia Silas, Timothy le keiman kin misîr hah, “Ani” le “Niloi” hih ani loi sikin. Ama hih Pathien “Ani,”
20 Kwa kuwa ahadi zote za Mungu ni “Ndiyo” katika yeye. Hivyo pia kupitia yeye tunasema “Amina” kwa utukufu wa Mungu.
Pathien chu ama chonginkhâmngei murdia “Ani ngâi” ani sikin. Masika han kêng Jisua Khrista jârin Pathien roiinpuina rangin “Amen” ei ti ngâi ani.
21 Sasa ni Mungu ambaye hututhibitisha sisi pamoja nanyi katika Kristo, na alitutuma sisi.
Ma hih eini mi sinpu Pathien lelê ania, nangni leh munkhata, Khrista leh inzoma ei ringna mi min thîk pea; ma hih atheipiela mi darpu Pathien nanâk hah ania,
22 Aliweka muhuri juu yetu na alitupa Roho katika mioyo yetu kama dhamana ya kile ambacho angetupatia baadaye.
ei chunga pumanina a sînthona darpu, le ei ta ranga neinun a lei mintûp murdi hah khâmna anghan ei mulungrîlngei sûnga Ratha Inthieng mi pêk ani.
23 Badala yake, namsihi Mungu kunishuhudia mimi kwamba sababu iliyonifanya nisije Korintho ni kwamba nisiwalemee ninyi.
Ni rietpuipu rangin Pathien ko koia—ku mulungrîl a riet ngâi! Nin ruthûla Korinth khuoa se khâi loi rangin ka masat zoi ani.
24 Hii sio kwa sababu tunajaribu kudhibiti jinsi imani yenu inavyotakiwa kuwa. Badala yake, tunafanya pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kama mnavyosimama katika imani yenu.
Nin iem ngêt rang thurchi nangni misîr pe rang pût mak mea; taksônna han nin inding det tiin kin riet. Manêkin, nangninanâk nan râisânna rangin nangni leh sin kin tho ani.