< 2 Wakorintho 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu, kwa kanisa la Mungu lililoko Korintho, na kwa waumini wote walioko katika mkoa wote wa Akaya.
Bulus Manzo Almasihu Yesu ni bubu into Rji ni whu Timoti vernyinbu yeh ni kho Rji wa ba ha ni korantos tutun mrevayi bi ba ha ni kpala memen akaya.
2 Neema na iwe kwenu na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Tin dindi ti ziffin ni yin ni soun sin ni Rji Bacin bu ni ton titin Yesu Almasihu.
3 Na asifiwe Mungu na Baba wa Bwana Yesu Kristo. Yeye ni Baba wa rehema na Mungu wa faraja yote.
Kidi gbre san Bachibu Kristi du ne sungregre ni Rji titi Bacinbu Yesu Almasihu. Ekin sa titinu whu wawu Kristi, wawui hi itiu jiyejiye kai di wawu iji din wha'a toh suron wawi ni Rji u sisuron nita.
4 Mungu hutufariji sisi katika mateso yetu yote, ili kwamba tuweze kuwafariji wale walio katika mateso. Tunawafariji wengine kwa faraja ileile ambayo Mungu alitumia kutufariji sisi.
Rji ni nota si suron ni mi don kita, kika iya no bari souron ni mi wha ba ha ni, klikliyah. ki ta noba si sur ni bari ni bibi si sur din Rji wha a nota si sur.
5 Kwa kuwa kama vile mateso ya Kristo huongezeka kwa ajili yetu, vile vile faraja yetu huongezeka kupitia Kristo.
Ni tun iyah kiti wa Kristi ba kati gbugbu'u ni tu bu naki si suron ka hi kagon ni mi Kristi.
6 Lakini kama tunataabishwa, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokovu wenu. Na kama tunafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu. Faraja yenu inafanya kazi kikamilifu mnaposhiriki mateso kwa uvumilivu kama sisi pia tunavyoteseka.
Naki inde ki yah ni noyi si sur bini kpachuwo bin kita noyin si suri ni tun tsirbin. kin noyin si surbin ni tindun brabra yanda bi vun sisur ni bibin e yah wha ki he nemin diniton.
7 Na ujasiri wetu juu yenu ni thabiti. Tunajua kwamba kama vile ambavyo mnashiriki mateso, vile vile mnashiriki faraja.
Yo surbu ni tunbi ani zonta nikine kita ki toh na bi son ni mi naki me bin zren nita.
8 Kwa kuwa hatutaki ninyi muwe wajinga, ndugu, kuhusu matatizo tuliyokuwa nayo huko Asia. Tulionewa zaidi ya vile tuwezavyo kubeba, kana kwamba hatukuwa hata na tumaini la kuishi tena.
Mri vayi kina son don yi hontoh ti yah wa ki ni Asiya. Bachanta zangbengblenbu, har di chu suron bu din kina gbujub na.
9 Kweli, tulikuwa na hukumu ya kifo juu yetu. Lakini hiyo ilikuwa ni kutufanya sisi tusiweke tumaini juu yetu wenyewe, badala yake tuweke tumaini katika Mungu, afufuaye wafu.
Nakima ki wotre u kwu. aman ikpie atin duta na you nitu bu na, sei ni Rji wa ani bi ba ba kwu. wha a zun iji luden ne mein bei.
10 Alituokoa sisi kutoka hayo maafa ya mauti, na atatuokoa tena. Tumeweka ujasiri wetu katika yeye ya kwamba atatuokoa tena.
Wha wuyi kpata cuwo ni memen en eghun kyu ani kpata cuwo kin yo surbu nituma ani kpata cuwo.
11 Atafanya hivi kama vile ninyi pia mtusaidiavyo kwa maombi yenu. Hivyo wengi watatoa shukurani kwa niaba yetu kwa ajili ya upendeleo wa neema tuliyopewa sisi kupitia maombi ya wengi.
A ni tin whayi kita zonkpa bu ni braibu. ne whayi mire vayi ba ye brabranda giri don kita ne tun tagomashi didin wha ba tin ta'u ni bu bu bra Rji iji babra.
12 Tunajivunia hili: ushuhuda wa dhamiri yetu. Kwa kuwa ni katika nia safi na usafi wa Mungu kwamba tulienenda wenyewe katika dunia. Tumefanya hivi hasa na ninyi, na sio katika hekima ya ulimwengu, lakini badala yake ni katika neema ya Mungu.
Kin ghagbe na yin ni tingbe enmrebu ni tin dindinmre ni tinbi wha ne ye ne Rji kin zera ni sunbu ne gblugbu kin tin wha yi tuntuma ni bin yin sa ta bubu bimbi Rji.
13 Hatuwaandikii chochote ambacho hamwezi kukisoma au kuelewa. Ninaujasiri
Kina ahan kpen ni yiu wha bina ya blamana ni ton na in somu dunyi to gregreme.
14 kwamba kwa sehemu mumekwisha kutuelewa. Na ninaujasiri kwamba katika siku ya Bwana Yesu tutakuwa sababu yenu kwa ajili ya kiburi chenu, kama vile mtakavyokuwa kwetu.
Tun wha bin tonta fime ziza bin ghagbe nita ne ivin wu tibun Yesu, tutur wha kin ghaban ni yin.
15 Kwa sababu nilikuwa na ujasiri kuhusu hili, nilitaka kuja kwenu kwanza, ili kwamba muweze kupokea faida ya kutembelewa mara mbili.
Don igabagadi wha me hei'u ni tunbi nahi ye neyin wu rini, donji ni tsonta kine zerakpabu khuha.
16 Nilikuwa napanga kuwatembelea wakati nikielekea Makedonia. Tena nilitaka kuwatembelea tena wakati nikirudi kutoka Makedonia, na kisha ninyi kunituma mimi wakati nikielekea Uyahudi.
Meha ni tannire ye ni yin ni ghomu hin ne makidoniya. tun ni bubuyin me remre toyin ni zera hi Makidoniya, bin tome ni konmu hi ni Yahudiya.
17 Nilipokuwa nafikiria namna hii, je, nilikuwa nasitasita? Je ninapanga mambo kulingana na viwango vya kibinadamu, ili kwamba niseme “Ndiyo, ndiyo” na “Hapana, hapana” kwa wakati mmoja?
Thun wha me tsi remre yi, in surmu na nena? me mlabubu bin yin zitin niton magwaji din ni thon a ne la i ne A a a a ne ton ririn.
18 Lakini kama vile Mungu alivyo mwaminifu, hatusemi vyote “Ndiyo” na “Hapana.”
Thun wha Rji a ha ba la tra ki na ya lah ne i kon A' a ni ton irin
19 Kwa kuwa mwana wa Mungu, Yesu Kristo, ambaye Silvano, Timotheo na mimi tulimtangaza miongoni mwenu, siyo “Ndiyo” na “Hapana.” Badala yake, yeye wakati wote ni “Ndiyo.”
Thun da Evivre Rji Yesu Almasihu wha Silbanus mba Silas ne me ki Shaida yi'u ba 'i' di “A' a ba pha kitreanahi Nhnaki “I' a hei khon wha ne ton.
20 Kwa kuwa ahadi zote za Mungu ni “Ndiyo” katika yeye. Hivyo pia kupitia yeye tunasema “Amina” kwa utukufu wa Mungu.
Uh yo uyo uh Rji whawhu ah 'E' ni'a'a ni uhn ne ta kon ma ki tre gbuchu ni gbre san Rji
21 Sasa ni Mungu ambaye hututhibitisha sisi pamoja nanyi katika Kristo, na alitutuma sisi.
Zizan a Rji kpa mym nita ni biyin ne me Almasihu nanta (kebe)
22 Aliweka muhuri juu yetu na alitupa Roho katika mioyo yetu kama dhamana ya kile ambacho angetupatia baadaye.
A yo gban ma ni tunbu da nota Ruhu ne me surbu ne matsayin da tsrota kpe a ne tin nitau ni kogun.
23 Badala yake, namsihi Mungu kunishuhudia mimi kwamba sababu iliyonifanya nisije Korintho ni kwamba nisiwalemee ninyi.
A hei na kin a yonta ni Rji wha a krin ni'u ni kpen ririn me na yen ni korinti me ni kpa yin chuwo.
24 Hii sio kwa sababu tunajaribu kudhibiti jinsi imani yenu inavyotakiwa kuwa. Badala yake, tunafanya pamoja nanyi kwa ajili ya furaha yenu, kama mnavyosimama katika imani yenu.
Kina sun ki hei na Rji tun bi na ko nitun kpa myemebi. nita bubu yin ki whu bi tindun ni yin ni grin bi, na da bin krin