< 2 Nyakati 9 >

1 Malikia wa Sheba aliposikia kuhusu umaarufu wa Selemani, akaja Yerusalemu kumjaribu kwa maswali magumu. Akaja pamoja na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia waliosheheni manukato, dhahabu nyingi, na vito vingi vya thamani. Alipofika kwa
А царица савска чу глас о Соломуну, па дође у Јерусалим да искуша Соломуна загонеткама са силном пратњом и с камилама које ношаху мириса и злата врло много и драгог камења; и дошавши к Соломуну говори с њом о свему што јој беше у срцу.
2 Selemani, akamwambia yaliyokuwa moyoni mwake. Selemani akamjibu maswaali yake yote; hakuna kitu kilichokuwa kigumu sana kwa Selemani; hakuna swali ambalo hakulijibu.
И Соломун јој одговори на све речи њене; не беше од цара сакривено ништа да јој не би одговорио.
3 Malikia wa Sheba alipoiona hekima ya Selemani na ikulu aliyokuwa amejenga,
А кад царица савска виде мудрост Соломунову и дом који беше сазидао,
4 chakula mezani kwake, mahali pa kukaa watumishi wake, kazi ya watumisshi wake na mavazi yao, pia wabebakikombe na mavazi yao, na namna alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe, hapakuwa na roho zaidi ndani yake.
И јела на столу његовом, и станове слуга његових и дворбу дворана његових и одело њихово, и пехарнике његове, и њихово одело, и њихове жртве паљенице које приношаху у дому Господњем, она дође изван себе,
5 Akasema kwa mfalme, “Ni kweli, taarifa ninioisikia katika nchi yangu kuhusu maneno yako na hekima yako.
Па рече цару: Истина је све што сам чула у својој земљи о стварима твојим и о мудрости твојој.
6 Sikuamini nilichokisika mpaka nilipokuja hapa, na sasa macho yangu yamekiona. Sikuambiwa nusu kuhusu hekima yako na utajiri wako! Umeuzidi umaarufu niliokuwa nimesikia kuhusu wewe.
Али не хтех веровати шта говораху докле не дођем и видим својим очима; а гле, ни пола ми није казано о великој мудрости твојој; надвисио си глас који сам слушала.
7 Wamebarikiwa watu wako, na watumishi wako ambao husimama mbele yako, kwa sababu wanaisikia hekima yako. (Baadhi ya maandiko yanasema, “Wambarikiwa wake zako”, ikidhaniwa kwamba kifungu hicho kinapaswa kusomeka kama ilivyo katika Wafalme 10: 8).
Благо људима твојим и благо свим слугама твојим, који једнако стоје пред тобом и слушају мудрост твоју.
8 Amebarikiwa Yahwe Mungu wako, ambaye amepata raha ndani yako, aliyekuweka juu ya kiti chake cha enzi, ili uwe mfalme kwa ajili ya Yahwe Mungu wako. Kwa sababu Mungu wako inaipenda Israeli, ili kuwathibisha milele, amekufanya kuwa mfalme juu yao, ili ufanye hukumu na haki.
Да је благословен Господ Бог твој, коме си омилео, те те посади на престо свој да царујеш место Господа Бога свог; јер Бог љуби Израиља да би га утврдио довека, зато им постави тебе царем да судиш и делиш правицу.
9 Akampa mfalme talanta 120 za dhahabu na kiasi kikubwa manukato na vit vya thamani. Selemani hakupewa tena kiasi kikubwa cha manukato kama hiki amabacho alipewa na malakia wa Sheba.
Потом даде цару сто и двадесет таланата злата и врло много мириса и драгог камења; никада више не би таквих мириса какве даде царица савска цару Соломуну.
10 Watumishi wa Hiramau na wa mfalme Selemani, ambaye alileta dhahabu kutoka Ofiri, miti ya msandali, na vito vya thamani.
И слуге Хирамове и слуге Соломунове које доносе злата из Офира, довезоше дрвета алмугима и драгог камења.
11 Kwa miti hiyo ya msandali, mfalme Selemani akatengeneza madari ya nyumba ya Yahwe na nyumba yake, na vinubi na vinanda kwa ajili ya wanamziki. Hapajaonekana tena mbao kama hiyo katika nchi ya Yuda.
И начини цар од тог дрвета алмугима пут у дом Господњи и у дом царев, и гусле и псалтире за певаче; никада се пре нису виделе такве ствари у земљи Јудиној.
12 Mfalme Selemani akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotaka, chochote alichoomba, zaidi ya vile alivyoleta kwa mfalme Selemani. Kwa hiyo akaondoka na kurudi kwenye nchi yake, yeye na wataumishsi wake.
А цар Соломун даде царици савској шта год зажеле и заиска осим уздарја за оно што беше донела цару. Потом она отиде и врати се у земљу своју са слугама својим.
13 Sasa uzito wa dhahabu ambayo ililetwa kwa Selemani ndani ya mwaka mmoja ulikuwa talanta 666 za dhahabu,
А злата што дохођаше Соломуну сваке године беше шест стотина и шездесет и шест таланата,
14 nje na dhahabu ambayo waliileta wachukuzi na wafanya biashara. Walme wote wa Arabuni na maliwali katika nchi pia wakamletea Selemanai dhahabu na fedha.
Осим оног што доношаху трговци и они који продаваху мирисе; и сви цареви арапски и главари земаљски доношаху Соломуну злато и сребро.
15 Mfalme Selemani akatengeneza ngao kubwa mia mbili za dhahabu iliyofuliwa. Shekeli mia sita za dhahabu zikatumika kwa kila ngao.
И начини цар Соломун двеста штитова од кованог злата, шест стотина сикала кованог злата дајући на један штит.
16 Pia akatengeneza ngao mia tatu za shahabu iliyopigwa. Minas tatu za dhahabu zikaenda kwa kila ngao; mfalme akaziweka kwenye ikulu ya Msitu wa Lebanoni.
И три стотине малих штитова од кованог злата, дајући триста сикала злата на један штитић. И остави их цар у дому од шуме ливанске.
17 Kisha mfalme atengeneza kiti cha enzi kikubwa cha pembe na kufunika kwa dhahabu safi.
И начини цар велик престо од слонове кости, и обложи га чистим златом.
18 Kulikuwa na ngazi sita kwenda kwenye kiti cha enzi, na sehemu ya juu ya kiti cha enzi ilikuwa duara. Kulikuwa na mikono kila upande wa kiti, na simba wawili wamesimama pembeni na hiyo mikono.
А беше шест басамака у престола, и подножје од злата састављено с престолом, и ручице с обе стране седишта, и два лава стајаху покрај ручица.
19 Simba kumi na wawili walisimama juu ya zile ngazi, mmoja kila upande wa ngazi sita.
И дванаест лавова стајаше на шест басамака отуд и одовуд. Не беху такви начињени ни у коме царству.
20 Hapakuwa na kiti cha enzi kama hicho katika ufalme wowote mwingine. Vikombe vyote vya kunywea vya Selemani vilikuwa vya dhahabu, na vikombe vyote vya mfalme katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu halisi. Hakuna hata kimoja kilichokuwa cha fedha kwa sababu fedha haikuchuliwa kuwa ya thamani katika siku za Selemani.
И сви судови из којих пијаше цар Соломун беху златни, и сви судови у дому од шуме ливанске беху од чистог злата; од сребра не беше ништа; сребро беше ништа за времена Соломуновог.
21 Mfalme alikuwa na meli zilizosafiri baharini, pamoja na meli za Hiramu. Mara moja kwa mwaka meli zilileta dhahabu, fedha, na pembe, na manukato, na pia nyani na tausi.
Јер цареве лађе хођаху у Тарсис са слугама Хирамовим: једанпут у три године враћаху се лађе тарсиске доносећи злато и сребро, слонове кости и мајмуне и пауне.
22 Kwa hiyo Mfalme Selemani aliawazidi utajiri na hekima wafalme wote wa dunia.
Тако цар Соломун беше већи од свих царева земаљских богатством и мудрошћу.
23 Dunia yote waliutafuta uwepo wa Selemanai ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.
И сви цареви земаљски тражаху да виде Соломуна да чују мудрост његову, коју му даде Господ у срце.
24 Waliomtembelea walileta kodi, vyombo vya shaba na dhahabu, nguo, silaha, na manukato, na farasi na anyumbu, mwaka baada ya mwaka.
И доношаху му сви даре, судове сребрне и судове златне, и хаљине и оружје и мирисе, коње и мазге сваке године,
25 Selemani alikuwa na mazizi elfu nne kwa ajili ya farasi na magari, na wapanda farasi kumi na mbili elfu, ambao waliwaweka katika miji ya magari na pamoja naye katika Yerusalemu.
Тако да имаше Соломун четири хиљаде стаја за коње и кола, и дванаест хиљада коњаника, које намести по градовима где му беху кола и код себе у Јерусалиму.
26 Akatawala juu ya wafalme wote kutoka mto Efrati hadi nchi ya Wafilisti, na hadi mpaka wa Misiri.
И владаше над свим царевима од реке до земље филистејске и до међе мисирске.
27 Mfalme alikuwa na fedha katika Yerusalemu, nyingi kama mawe juu ya aridhi. Akazifanya mbao za mierezi kuwa nyingi kama miti ya mikuyu ambayo iko nyanda za chini.
И учини цар, те у Јерусалиму беше сребра као камена, а кедрових дрва као дивљих смокава које расту по пољу, тако много.
28 Wakaleta farasi kutoka Misri na kutoka nchi zote kwa ajili ya Selemani.
И довођаху Соломуну коње из Мисира и из свих земаља.
29 Kwa mambo mengine kuhusu Selemani, mwanzo na mwisho, hayajandikwa katika Historia ya Nathani Nabii, katika unabii wa Abiya Mshinoni, na katika Maono ya Ido mwonaji wa mambo ya Yeroboamu mwana wa Nabati?
А остала дела Соломунова прва и последња нису ли записана у књизи Натана пророка и у пророчанству Ахије Силомљанина и у утвари Ида видеоца о Јеровоаму сину Наватовом?
30 Selemani akatawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
А царова Соломун у Јерусалиму над свим Израиљем четрдесет година.
31 Akalala na babu zake na watu wakamzika katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu, mwanaye, akawa mfalme katika sehemu yake.
И почину Соломун код отаца својих, и погребоше га у граду Давида оца његовог; а на његово место зацари се Ровоам, син његов.

< 2 Nyakati 9 >