< 2 Nyakati 9 >

1 Malikia wa Sheba aliposikia kuhusu umaarufu wa Selemani, akaja Yerusalemu kumjaribu kwa maswali magumu. Akaja pamoja na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia waliosheheni manukato, dhahabu nyingi, na vito vingi vya thamani. Alipofika kwa
Kun Saban kuningatar kuuli Salomon maineen, tuli hän Jerusalemiin koettelemaan Salomoa arvoituksilla. Hän tuli sangen suuren seurueen kanssa, mukanaan kameleja, jotka kantoivat hajuaineita, kultaa ylen paljon ja kalliita kiviä. Ja kun hän tuli Salomon luo, puhui hän tälle kaikki, mitä hänellä oli mielessänsä.
2 Selemani, akamwambia yaliyokuwa moyoni mwake. Selemani akamjibu maswaali yake yote; hakuna kitu kilichokuwa kigumu sana kwa Selemani; hakuna swali ambalo hakulijibu.
Mutta Salomo selitti hänelle kaikki hänen kysymyksensä; Salomolle ei mikään jäänyt ongelmaksi, jota hän ei olisi hänelle selittänyt.
3 Malikia wa Sheba alipoiona hekima ya Selemani na ikulu aliyokuwa amejenga,
Kun Saban kuningatar näki kaiken Salomon viisauden, linnan, jonka hän oli rakentanut,
4 chakula mezani kwake, mahali pa kukaa watumishi wake, kazi ya watumisshi wake na mavazi yao, pia wabebakikombe na mavazi yao, na namna alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe, hapakuwa na roho zaidi ndani yake.
ruuat hänen pöydällänsä, kuinka hänen palvelijansa asuivat ja hänen palvelusväkensä palveli ja kuinka he olivat puetut, ja näki hänen juomanlaskijansa ja kuinka he olivat puetut, ja hänen yläsalinsa, josta hän nousi Herran temppeliin, meni hän miltei hengettömäksi.
5 Akasema kwa mfalme, “Ni kweli, taarifa ninioisikia katika nchi yangu kuhusu maneno yako na hekima yako.
Sitten hän sanoi kuninkaalle: "Totta oli se puhe, jonka minä kotimaahani sinusta ja sinun viisaudestasi kuulin.
6 Sikuamini nilichokisika mpaka nilipokuja hapa, na sasa macho yangu yamekiona. Sikuambiwa nusu kuhusu hekima yako na utajiri wako! Umeuzidi umaarufu niliokuwa nimesikia kuhusu wewe.
Minä en uskonut, mitä sanottiin, ennenkuin itse tulin ja sain omin silmin nähdä; ja katso, ei puoltakaan sinun suuresta viisaudestasi oltu minulle kerrottu. Sinä olet paljon suurempi, kuin minä olin kuullut huhuttavan.
7 Wamebarikiwa watu wako, na watumishi wako ambao husimama mbele yako, kwa sababu wanaisikia hekima yako. (Baadhi ya maandiko yanasema, “Wambarikiwa wake zako”, ikidhaniwa kwamba kifungu hicho kinapaswa kusomeka kama ilivyo katika Wafalme 10: 8).
Onnellisia ovat sinun miehesi, onnellisia nämä palvelijasi, jotka aina saavat olla sinun edessäsi ja kuulla sinun viisauttasi.
8 Amebarikiwa Yahwe Mungu wako, ambaye amepata raha ndani yako, aliyekuweka juu ya kiti chake cha enzi, ili uwe mfalme kwa ajili ya Yahwe Mungu wako. Kwa sababu Mungu wako inaipenda Israeli, ili kuwathibisha milele, amekufanya kuwa mfalme juu yao, ili ufanye hukumu na haki.
Kiitetty olkoon Herra, sinun Jumalasi, joka sinuun on niin mielistynyt, että on asettanut sinut valtaistuimellensa olemaan kuninkaana Herran, sinun Jumalasi, kunniaksi. Sentähden, että sinun Jumalasi rakastaa Israelia ja tahtoo pitää sen pystyssä ainiaan, on hän antanut sinut heille kuninkaaksi, tekemään sitä, mikä oikeus ja vanhurskaus on."
9 Akampa mfalme talanta 120 za dhahabu na kiasi kikubwa manukato na vit vya thamani. Selemani hakupewa tena kiasi kikubwa cha manukato kama hiki amabacho alipewa na malakia wa Sheba.
Ja hän antoi kuninkaalle sata kaksikymmentä talenttia kultaa, sangen paljon hajuaineita ja kalliita kiviä. Ei milloinkaan ole ollut moisia hajuaineita kuin ne, jotka Saban kuningatar antoi kuningas Salomolle.
10 Watumishi wa Hiramau na wa mfalme Selemani, ambaye alileta dhahabu kutoka Ofiri, miti ya msandali, na vito vya thamani.
Huuramin palvelijat ja Salomon palvelijat, jotka toivat kultaa Oofirista, toivat myöskin santelipuuta ja kalliita kiviä.
11 Kwa miti hiyo ya msandali, mfalme Selemani akatengeneza madari ya nyumba ya Yahwe na nyumba yake, na vinubi na vinanda kwa ajili ya wanamziki. Hapajaonekana tena mbao kama hiyo katika nchi ya Yuda.
Ja kuningas teetti santelipuusta portaat Herran temppeliin ja kuninkaan palatsiin ja kanteleita ja harppuja laulajille. Moisia ei oltu ennen nähty Juudan maassa.
12 Mfalme Selemani akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotaka, chochote alichoomba, zaidi ya vile alivyoleta kwa mfalme Selemani. Kwa hiyo akaondoka na kurudi kwenye nchi yake, yeye na wataumishsi wake.
Kuningas Salomo taas antoi Saban kuningattarelle kaikki, mitä tämä halusi ja pyysi, antoi vielä enemmän, kuin mitä tämä oli tuonut kuninkaalle. Sitten hän lähti paluumatkalle ja meni palvelijoineen omaan maahansa.
13 Sasa uzito wa dhahabu ambayo ililetwa kwa Selemani ndani ya mwaka mmoja ulikuwa talanta 666 za dhahabu,
Kullan paino, mikä yhtenä vuotena tuli Salomolle, oli kuusisataa kuusikymmentä kuusi talenttia kultaa,
14 nje na dhahabu ambayo waliileta wachukuzi na wafanya biashara. Walme wote wa Arabuni na maliwali katika nchi pia wakamletea Selemanai dhahabu na fedha.
paitsi mitä kauppamiehet ja kaupustelijat toivat. Sen lisäksi kaikki Arabian kuninkaat ja maan käskynhaltijat toivat Salomolle kultaa ja hopeata.
15 Mfalme Selemani akatengeneza ngao kubwa mia mbili za dhahabu iliyofuliwa. Shekeli mia sita za dhahabu zikatumika kwa kila ngao.
Ja kuningas Salomo teetti kaksisataa suurta kilpeä pakotetusta kullasta ja käytti jokaiseen kilpeen kuusisataa sekeliä pakotettua kultaa;
16 Pia akatengeneza ngao mia tatu za shahabu iliyopigwa. Minas tatu za dhahabu zikaenda kwa kila ngao; mfalme akaziweka kwenye ikulu ya Msitu wa Lebanoni.
samoin kolmesataa pienempää kilpeä pakotetusta kullasta, ja käytti jokaiseen kilpeen kolmesataa sekeliä kultaa. Ja kuningas asetti ne Libanoninmetsä-taloon.
17 Kisha mfalme atengeneza kiti cha enzi kikubwa cha pembe na kufunika kwa dhahabu safi.
Vielä kuningas teetti suuren norsunluisen valtaistuimen ja päällysti sen puhtaalla kullalla.
18 Kulikuwa na ngazi sita kwenda kwenye kiti cha enzi, na sehemu ya juu ya kiti cha enzi ilikuwa duara. Kulikuwa na mikono kila upande wa kiti, na simba wawili wamesimama pembeni na hiyo mikono.
Valtaistuimessa oli kuusi porrasta ja astinlauta, kullalla kiinnitettyinä valtaistuimeen. Istuimen kummallakin puolella oli käsinoja, ja kaksi leijonaa seisoi käsinojan vieressä.
19 Simba kumi na wawili walisimama juu ya zile ngazi, mmoja kila upande wa ngazi sita.
Ja kaksitoista leijonaa seisoi siinä kuudella portaalla, kummallakin puolella. Senkaltaista ei ole tehty missään muussa valtakunnassa.
20 Hapakuwa na kiti cha enzi kama hicho katika ufalme wowote mwingine. Vikombe vyote vya kunywea vya Selemani vilikuwa vya dhahabu, na vikombe vyote vya mfalme katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu halisi. Hakuna hata kimoja kilichokuwa cha fedha kwa sababu fedha haikuchuliwa kuwa ya thamani katika siku za Selemani.
Ja kaikki kuningas Salomon juoma-astiat olivat kultaa, ja kaikki Libanoninmetsä-talon astiat olivat puhdasta kultaa. Hopeata ei Salomon päivinä pidetty minkään arvoisena.
21 Mfalme alikuwa na meli zilizosafiri baharini, pamoja na meli za Hiramu. Mara moja kwa mwaka meli zilileta dhahabu, fedha, na pembe, na manukato, na pia nyani na tausi.
Kuninkaalla oli näet laivoja, jotka kulkivat Tarsiiseen Huuramin palvelijain kanssa; kerran kolmessa vuodessa Tarsiin-laivat tulivat ja toivat kultaa ja hopeata, norsunluuta, apinoita ja riikinkukkoja.
22 Kwa hiyo Mfalme Selemani aliawazidi utajiri na hekima wafalme wote wa dunia.
Ja kuningas Salomo oli kaikkia maan kuninkaita suurempi rikkaudessa ja viisaudessa.
23 Dunia yote waliutafuta uwepo wa Selemanai ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.
Ja kaikki maan kuninkaat pyrkivät näkemään Salomoa kuullaksensa hänen viisauttaan, jonka Jumala oli antanut hänen sydämeensä.
24 Waliomtembelea walileta kodi, vyombo vya shaba na dhahabu, nguo, silaha, na manukato, na farasi na anyumbu, mwaka baada ya mwaka.
Ja he toivat kukin lahjansa: hopea-ja kultakaluja, vaatteita, aseita, hajuaineita, hevosia ja muuleja, joka vuosi vuoden tarpeen.
25 Selemani alikuwa na mazizi elfu nne kwa ajili ya farasi na magari, na wapanda farasi kumi na mbili elfu, ambao waliwaweka katika miji ya magari na pamoja naye katika Yerusalemu.
Salomolla oli neljätuhatta hevosvaljakkoa vaunuineen ja kaksitoista tuhatta ratsumiestä; ne hän sijoitti vaunukaupunkeihin ja kuninkaan luo Jerusalemiin.
26 Akatawala juu ya wafalme wote kutoka mto Efrati hadi nchi ya Wafilisti, na hadi mpaka wa Misiri.
Ja hän vallitsi kaikkia kuninkaita Eufrat-virrasta aina filistealaisten maahan ja Egyptin rajaan asti.
27 Mfalme alikuwa na fedha katika Yerusalemu, nyingi kama mawe juu ya aridhi. Akazifanya mbao za mierezi kuwa nyingi kama miti ya mikuyu ambayo iko nyanda za chini.
Ja kuningas toimitti niin, että Jerusalemissa oli hopeata kuin kiviä, ja setripuuta niin paljon kuin metsäviikunapuita Alankomaassa.
28 Wakaleta farasi kutoka Misri na kutoka nchi zote kwa ajili ya Selemani.
Ja hevosia tuotiin Salomolle Egyptistä ja kaikista muista maista.
29 Kwa mambo mengine kuhusu Selemani, mwanzo na mwisho, hayajandikwa katika Historia ya Nathani Nabii, katika unabii wa Abiya Mshinoni, na katika Maono ya Ido mwonaji wa mambo ya Yeroboamu mwana wa Nabati?
Mitä muuta Salomosta on kerrottavaa, hänen sekä aikaisemmista että myöhemmistä vaiheistaan, se on kirjoitettuna profeetta Naatanin historiassa, siilolaisen Ahian ennustuksessa ja näkijä Jeddon näyssä Jerobeamista, Nebatin pojasta.
30 Selemani akatawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
Salomo hallitsi Jerusalemissa koko Israelia neljäkymmentä vuotta.
31 Akalala na babu zake na watu wakamzika katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu, mwanaye, akawa mfalme katika sehemu yake.
Sitten Salomo meni lepoon isiensä tykö, ja hänet haudattiin isänsä Daavidin kaupunkiin. Ja hänen poikansa Rehabeam tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.

< 2 Nyakati 9 >