< 2 Nyakati 9 >
1 Malikia wa Sheba aliposikia kuhusu umaarufu wa Selemani, akaja Yerusalemu kumjaribu kwa maswali magumu. Akaja pamoja na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia waliosheheni manukato, dhahabu nyingi, na vito vingi vya thamani. Alipofika kwa
[舍巴女王來訪撒羅滿]舍巴女王聽見了撒羅滿的聲譽,就來到耶路撒冷,考問灑羅滿一些難題;陪從她的人很多,駱駝馱著許多香料、黃金和寶石;進見撒羅滿時,便將所有的心思都對他說了出來。
2 Selemani, akamwambia yaliyokuwa moyoni mwake. Selemani akamjibu maswaali yake yote; hakuna kitu kilichokuwa kigumu sana kwa Selemani; hakuna swali ambalo hakulijibu.
撒羅滿對她所問的一切難題,一一給她解答了,沒有一樣可難住撒羅滿,而不能給她解答的。
3 Malikia wa Sheba alipoiona hekima ya Selemani na ikulu aliyokuwa amejenga,
舍巴女王看見了撒羅滿的智慧和所建造的宮殿,
4 chakula mezani kwake, mahali pa kukaa watumishi wake, kazi ya watumisshi wake na mavazi yao, pia wabebakikombe na mavazi yao, na namna alivyotoa sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe, hapakuwa na roho zaidi ndani yake.
筵席上的餚饌,群臣的坐次,僕從的侍候和服裝,酒正與酒正的服裝,和在上主殿內的全燔祭,驚訝得出神,
5 Akasema kwa mfalme, “Ni kweli, taarifa ninioisikia katika nchi yangu kuhusu maneno yako na hekima yako.
遂對君王說:「關於你的作為和智慧,我在我國內所聽到的,的確是真的。
6 Sikuamini nilichokisika mpaka nilipokuja hapa, na sasa macho yangu yamekiona. Sikuambiwa nusu kuhusu hekima yako na utajiri wako! Umeuzidi umaarufu niliokuwa nimesikia kuhusu wewe.
以前我原不相信這些傳聞,及至我來親眼見了,纔知人告訴我的還不及你偉大智慧的一半;你實在超越了我所聽聞的。
7 Wamebarikiwa watu wako, na watumishi wako ambao husimama mbele yako, kwa sababu wanaisikia hekima yako. (Baadhi ya maandiko yanasema, “Wambarikiwa wake zako”, ikidhaniwa kwamba kifungu hicho kinapaswa kusomeka kama ilivyo katika Wafalme 10: 8).
你的妻妾是有福的,你的臣僕是有福的,能常侍立在你面前,聆聽你的智慧。
8 Amebarikiwa Yahwe Mungu wako, ambaye amepata raha ndani yako, aliyekuweka juu ya kiti chake cha enzi, ili uwe mfalme kwa ajili ya Yahwe Mungu wako. Kwa sababu Mungu wako inaipenda Israeli, ili kuwathibisha milele, amekufanya kuwa mfalme juu yao, ili ufanye hukumu na haki.
上主,你的天主應受讚美! 他喜愛你,使你坐在他的王位,代上主你的天主為王;因為你的天主愛慕以色列,要永遠保持他們,所以使你作他們的王,來秉公行義。」
9 Akampa mfalme talanta 120 za dhahabu na kiasi kikubwa manukato na vit vya thamani. Selemani hakupewa tena kiasi kikubwa cha manukato kama hiki amabacho alipewa na malakia wa Sheba.
舍巴女王遂將一百二十「塔冷通」黃金,大批香料和寶石,贈送給君王:舍巴女王贈給撒羅滿王的香料這樣多,是從來未有過的。
10 Watumishi wa Hiramau na wa mfalme Selemani, ambaye alileta dhahabu kutoka Ofiri, miti ya msandali, na vito vya thamani.
從敖非爾運金子的希蘭的僕人和撒羅滿的僕人,也運來了檀香木和寶石。
11 Kwa miti hiyo ya msandali, mfalme Selemani akatengeneza madari ya nyumba ya Yahwe na nyumba yake, na vinubi na vinanda kwa ajili ya wanamziki. Hapajaonekana tena mbao kama hiyo katika nchi ya Yuda.
君王用檀香木為上主的殿和王宮製造了欄杆,為歌詠者製造了琴瑟;像這樣的東西,在猶大地方從來沒有見過。
12 Mfalme Selemani akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotaka, chochote alichoomba, zaidi ya vile alivyoleta kwa mfalme Selemani. Kwa hiyo akaondoka na kurudi kwenye nchi yake, yeye na wataumishsi wake.
凡舍巴女王所願所求的,撒羅滿都奉送給她;此外,尚有君王為酬謝她贈送的禮品;以後她和她的僕人回了本國。撒 [羅滿的富貴榮華]
13 Sasa uzito wa dhahabu ambayo ililetwa kwa Selemani ndani ya mwaka mmoja ulikuwa talanta 666 za dhahabu,
撒羅滿每年收入的金子,重量有六百六十「塔冷通,」
14 nje na dhahabu ambayo waliileta wachukuzi na wafanya biashara. Walme wote wa Arabuni na maliwali katika nchi pia wakamletea Selemanai dhahabu na fedha.
商人小販所運來的,以及阿拉伯的儲王和本國太守給撒羅滿所進獻的金銀,尚不計算在內。
15 Mfalme Selemani akatengeneza ngao kubwa mia mbili za dhahabu iliyofuliwa. Shekeli mia sita za dhahabu zikatumika kwa kila ngao.
撒羅滿王又用鎚打的金子,作了二百個盾牌,每個用鎚打的金子六百「協刻耳。」
16 Pia akatengeneza ngao mia tatu za shahabu iliyopigwa. Minas tatu za dhahabu zikaenda kwa kila ngao; mfalme akaziweka kwenye ikulu ya Msitu wa Lebanoni.
又用鎚打的金子,作了三百小盾牌,美個用金三百「協刻耳;」君王把這些盾牌都懸掛仔黎巴嫩林宮。
17 Kisha mfalme atengeneza kiti cha enzi kikubwa cha pembe na kufunika kwa dhahabu safi.
君王又用象牙製造了一個大寶座,用純金包鑲。
18 Kulikuwa na ngazi sita kwenda kwenye kiti cha enzi, na sehemu ya juu ya kiti cha enzi ilikuwa duara. Kulikuwa na mikono kila upande wa kiti, na simba wawili wamesimama pembeni na hiyo mikono.
寶座有六級台階,座背後有一隻金羔羊,座位兩邊有扶手,扶手兩旁立著兩隻獅子。
19 Simba kumi na wawili walisimama juu ya zile ngazi, mmoja kila upande wa ngazi sita.
六級台階上立有十二隻獅子,美級兩個,一左一右;在任何國家從沒有過這樣的製造法。
20 Hapakuwa na kiti cha enzi kama hicho katika ufalme wowote mwingine. Vikombe vyote vya kunywea vya Selemani vilikuwa vya dhahabu, na vikombe vyote vya mfalme katika Nyumba ya Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu halisi. Hakuna hata kimoja kilichokuwa cha fedha kwa sababu fedha haikuchuliwa kuwa ya thamani katika siku za Selemani.
撒羅滿王所有的飲器,都是金的;黎巴嫩林宮的器具,都是純金的;撒羅滿時代,銀是不值什麼的。
21 Mfalme alikuwa na meli zilizosafiri baharini, pamoja na meli za Hiramu. Mara moja kwa mwaka meli zilileta dhahabu, fedha, na pembe, na manukato, na pia nyani na tausi.
原來君王的船隻與希蘭的僕人一同去塔爾史士;去塔爾史士的船隻,每三年往返一次,運來金銀象牙,猿猴和孔雀。
22 Kwa hiyo Mfalme Selemani aliawazidi utajiri na hekima wafalme wote wa dunia.
這樣,撒羅滿王的富貴和智慧,超過了世上所有的君王。
23 Dunia yote waliutafuta uwepo wa Selemanai ili kusikia hekima yake, ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.
世上所有的君王都想見撒羅滿的面,聽聽天主賦予他心中的智慧;
24 Waliomtembelea walileta kodi, vyombo vya shaba na dhahabu, nguo, silaha, na manukato, na farasi na anyumbu, mwaka baada ya mwaka.
各人帶來自己的禮物:銀器、金器、衣服、兵器、香料、騾馬,年年都是如此。
25 Selemani alikuwa na mazizi elfu nne kwa ajili ya farasi na magari, na wapanda farasi kumi na mbili elfu, ambao waliwaweka katika miji ya magari na pamoja naye katika Yerusalemu.
撒羅滿有四千廄,為養馬存車,有一萬二千騎兵,駐紮在屯車城和耶路撒冷君王左右。
26 Akatawala juu ya wafalme wote kutoka mto Efrati hadi nchi ya Wafilisti, na hadi mpaka wa Misiri.
撒羅滿統轄列王,由大河到培肋舍特人領域,直到埃及邊陲。
27 Mfalme alikuwa na fedha katika Yerusalemu, nyingi kama mawe juu ya aridhi. Akazifanya mbao za mierezi kuwa nyingi kama miti ya mikuyu ambayo iko nyanda za chini.
君王在耶路撒冷有的銀子,多如石頭,香柏木多如平原的桑樹。
28 Wakaleta farasi kutoka Misri na kutoka nchi zote kwa ajili ya Selemani.
撒羅滿所有的馬,都是由慕茲黎和各地運來的。[撒羅滿逝世]
29 Kwa mambo mengine kuhusu Selemani, mwanzo na mwisho, hayajandikwa katika Historia ya Nathani Nabii, katika unabii wa Abiya Mshinoni, na katika Maono ya Ido mwonaji wa mambo ya Yeroboamu mwana wa Nabati?
撒羅滿其餘的前後事蹟,都記載在先知納堂的言行錄,史羅人阿希雅的預言書和先見者依多論及乃巴特之子雅洛貝罕的啟示錄上。
30 Selemani akatawala katika Yerusalemu juu ya Israeli yote kwa miaka arobaini.
撒羅滿在耶路撒冷作全以色列王凡四十年。
31 Akalala na babu zake na watu wakamzika katika mji wa Daudi baba yake. Rehoboamu, mwanaye, akawa mfalme katika sehemu yake.
撒羅滿與他的列祖同眠,葬在他父親達味城內;他的兒子勒哈貝罕繼位為王。