< 2 Nyakati 8 >

1 Ikawa karibu ya mwisho wa miaka ishirini, kipindi ambacho Selemani alikuwa ameijenga nyumba ya Yahwe na ya kwake mwenye,
بیست سال طول کشید تا سلیمان خانهٔ خداوند و قصر خود را ساخت.
2 kwamba Selemani akaiajenga miji ambayo Hiramu alikuwa amempa, na ndani yake akawaweka watu wa Israeli.
بعد از آن نیروی خود را صرف بازسازی شهرهایی نمود که حیرام، پادشاه صور به او بخشیده بود. سپس عده‌ای از بنی‌اسرائیل را به آن شهرها کوچ داد.
3 Selemani akauavamia Hamathzoba, akaushinda.
سلیمان به حمات صوبه حمله برد و آن را گرفت.
4 Akaijenga Tadmori katika nyika, na miji yote ya hazina, ambayo aliijenga katika Hamathi.
او شهر تدمور را در بیابان و تمام شهرهای نواحی حمات را که مراکز مهمات و آذوقه بودند، بنا کرد.
5 Pia akaujenga Beth-horoni wa juu, na Beth-horoni wa chini, miji iliyozungushiwa kwa ukuta, malango, na makomeo.
سلیمان شهر بیت‌حورون بالا و بیت‌حورون پایین را به شکل قلعه بازسازی نموده و دیوارهای آنها را تعمیر کرد و دروازه‌های پشتبنددار برای آنها کار گذاشت.
6 Akaujenga Baalathi na miji yote ya hazina aliyoimiliki, na miji yote kwa ajili ya magari yake na miji kwa ajili ya wapanda farasi wake, na chochote alichotamani kujenga kwa ajili ya starehe zake katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika nchi zote zilizokuwa chini ya utawala wake.
سلیمان علاوه بر آنها شهر بعلت و شهرهای دیگری برای انبار مهمات و آذوقه و نگهداری اسبها و ارابه‌ها ساخت. خلاصه هر چه می‌خواست در اورشلیم و لبنان و سراسر قلمرو سلطنت خود بنا کرد.
7 Kuhusu watu wengine wote ambao walikuwa wamesalia wa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, Wayebusi, ambao hawakuwa wa Israeli,
سلیمان از بازماندگان قومهای کنعانی که اسرائیلی‌ها در زمان تصرف کنعان آنها را از بین نبرده بودند، برای بیگاری استفاده می‌کرد. این قومها عبارت بودند از: اموری‌ها، فرزی‌ها، حیتی‌ها، حوی‌ها و یبوسی‌ها. نسل این قومها تا زمان حاضر نیز برده هستند و به بیگاری گرفته می‌شوند.
8 watoto wao ambao waliachwa baada yao katika nchi, ambaoa watu wa Israeli hawakuwaangamiza—Selemani akawafanyisha kazi kwa nguvu, ndivyo walivyo hata leo.
9 Vile vile, Selemani hakuwafanyisha kazi kwa nguvu watu wa Israeli. Badala yake, wakawa wanajeshsi wake, maakida wake, wakuu wake, na maakida wa magari ya majeshi yake na wapanda farasi wake.
اما سلیمان از بنی‌اسرائیل کسی را به بیگاری نمی‌گرفت، بلکه ایشان به صورت سرباز، افسر، فرمانده و رئیس ارابه‌رانها خدمت می‌کردند.
10 Pia hawa walikuwa wakuu wa wakuu wakisimamia wasimamizi waliokuwa wa mfalme Selemani, walikuwa 250, waliowasimamia watu walioifanya kazi.
دویست و پنجاه نفر نیز به عنوان سرپرست کارگران سلیمان گمارده شده بودند.
11 Selemani akamleta binti Farao nje ya mji wa Daudi kwenye nyumba aaliyokuwa amemjengea, kwa maana alisema, “Mke wangu lazima asiishi kataika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu kila linapokuja sanduku la Yahwe ni takatifu”.
سلیمان زن خود را که دختر فرعون بود از شهر داوود به قصر تازه‌ای که برایش ساخته بود، آورد. او نمی‌خواست زنش در کاخ سلطنتی داوود زندگی کند، زیرا می‌گفت: «هر جا که صندوق عهد خداوند به آن داخل شده، مکان مقدّسی است.»
12 Kisha Selemani akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu yake ambayo alikuwa ametengeza mbele ya ukumbi.
آنگاه سلیمان بر مذبحی که جلوی ایوان خانهٔ خدا ساخته بود، قربانیهای سوختنی به خداوند تقدیم کرد.
13 Akatoa sadaka kama ilivyohitaka katika ratiba ya kila siku; akazitoa, kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amari ya Musa, katika siku za Sabato, miezi mipya, na katika siku zilizopangwa mara tatu kila mwaka: Sikukuu ya mikate isiyochachwa, sikukuu ya majuma, na sikuku ya vibanda.
مطابق دستوری که موسی داده بود، او برای هر یک از این روزهای مقدّس قربانی تقدیم می‌کرد: روزهای شبّات، جشنهای ماه نو، سه عید سالیانهٔ پِسَح، هفته‌ها و خیمه‌ها.
14 Katika kuyatunza maagizo ya baba yake Daudi, Selemani akayapanga makundi ya makuhani kwenye kazi yao, na Walawi kwenye nafasi zao, ili kumsisfu Mungu na kuhudumu mbele za makuhani, kama ilivyotakiwa katika ratiba ya kila siku. Pia akawateua walinda lango kwa zamu zao kwa kila lango, kwa maana Daudi, mtu wa Mungu, alikuwa ameagiza hivyo pia.
سلیمان طبق مقرراتی که پدرش داوود، مرد خدا برای کاهنان و لاویان وضع کرده بود، آنها را سر خدمتشان گماشت. لاویان در وصف خداوند سرود می‌خواندند و کاهنان را در انجام وظایف روزانه کمک می‌کردند. سلیمان نگهبانان را نیز به نگهبانی دروازه‌هایشان گماشت.
15 Watu hawa hawakupotea kutoka kwenye amri ya mfalme kwa makuhani na Walawi kuhusu jambo lolote, au kuhusu vyumba vya hazina.
کاهنان و لاویان تمام این مقررات را که داوود پادشاه وضع کرده بود، با کمال دقت اجرا می‌کردند. در ضمن ایشان مسئول خزانه‌داری نیز بودند.
16 Kazi yote aliyoagizwa na Selemani ikakamilika, kutoka siku msingi wa nyumba ya Yahwe ulipowekwa hadi ilipokamilika. Nyumba ya Yahwe ikamalizika.
در این هنگام، تمام طرحهای ساختمانی سلیمان تکمیل شده بود. از پایه‌ریزی خانهٔ خداوند تا تکمیل ساختمان آن، همهٔ کارها با موفقیت انجام شده بود.
17 Kisha Selemani akaenda Esion geberi, na Elothi, juu ya pwani katika nchi ya Edomu.
سپس سلیمان به شهرهای عصیون جابر و ایلوت، واقع در خلیج عقبه در زمین ادوم رفت.
18 Hiramu akatuma meli zake kupitia watumishi wake ambao walikuwa wana maji wenye uzoefu. Wakasafiri na Selemani na watumishi wa Semani hadi Ofiri. Wakachukua kutoka huko talanta 450 za dhahabu ambazo walimletea Selemani.
حیرام پادشاه کشتی‌هایی به فرماندهی افسران با تجربهٔ خود نزد سلیمان فرستاد. آنها همراه ملوانان سلیمان به سرزمین اوفیر رفتند و از آنجا بیش از پانزده تن طلا برای سلیمان آوردند.

< 2 Nyakati 8 >