< 2 Nyakati 8 >

1 Ikawa karibu ya mwisho wa miaka ishirini, kipindi ambacho Selemani alikuwa ameijenga nyumba ya Yahwe na ya kwake mwenye,
Solomon loh BOEIPA im neh amah im a sak te kum kul a bawtnah la a pha coeng.
2 kwamba Selemani akaiajenga miji ambayo Hiramu alikuwa amempa, na ndani yake akawaweka watu wa Israeli.
Te phoeiah Huram loh Solomon taengla a paek khopuei rhoek te Solomon loh a thoh tih Israel ca rhoek pahoi kho a sak sak.
3 Selemani akauavamia Hamathzoba, akaushinda.
Te phoeiah Solomon loh Khamath Zobah la cet tih te te a loh.
4 Akaijenga Tadmori katika nyika, na miji yote ya hazina, ambayo aliijenga katika Hamathi.
Khosoek kah Tadmor te khaw, Khamath kah a sak rhuengim khopuei boeih te koep a thoh.
5 Pia akaujenga Beth-horoni wa juu, na Beth-horoni wa chini, miji iliyozungushiwa kwa ukuta, malango, na makomeo.
Thohkhaih thohkalh neh vongtung vongup kah khopuei, a so Bethhoron neh a dang Bethhoron te koep a thoh.
6 Akaujenga Baalathi na miji yote ya hazina aliyoimiliki, na miji yote kwa ajili ya magari yake na miji kwa ajili ya wapanda farasi wake, na chochote alichotamani kujenga kwa ajili ya starehe zake katika Yerusalemu, katika Lebanoni, na katika nchi zote zilizokuwa chini ya utawala wake.
Baalath neh rhuengim khopuei boeih khaw Solomon hut la om. Leng kah khopuei boeih neh marhang caem khopuei khaw Solomon kah huengaihnah boeih te tah a Jerusalem ah khaw, Lebanon ah khaw a khohung khohmuen tom ah a kocuk bangla a sak.
7 Kuhusu watu wengine wote ambao walikuwa wamesalia wa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi, Wayebusi, ambao hawakuwa wa Israeli,
Khitti neh Amori, Perizzi neh Khivee, Jebusi lamkah a coih pilnam boeih, amih te Israel khui lamkah moenih.
8 watoto wao ambao waliachwa baada yao katika nchi, ambaoa watu wa Israeli hawakuwaangamiza—Selemani akawafanyisha kazi kwa nguvu, ndivyo walivyo hata leo.
Amih koca lamkah te amih hnuk la khohmuen ah sueng uh. Amih te Israel ca rhoek a khah uh pawt dongah tahae khohnin hil Solomon taengah saldong la cet.
9 Vile vile, Selemani hakuwafanyisha kazi kwa nguvu watu wa Israeli. Badala yake, wakawa wanajeshsi wake, maakida wake, wakuu wake, na maakida wa magari ya majeshi yake na wapanda farasi wake.
Tedae Israel ca te tah Solomon loh amah kah bitat dongah sal la khueh pawh. Amih tah caemtloek hlang neh amah kah rhalboei mangpa rhoek, amah leng neh marhang caem kah mangpa rhoek la om uh.
10 Pia hawa walikuwa wakuu wa wakuu wakisimamia wasimamizi waliokuwa wa mfalme Selemani, walikuwa 250, waliowasimamia watu walioifanya kazi.
Manghai Solomon kah khohung mangpa la pai tih pilnam soah aka taemrhai rhoek te yahnih sawmnga lo.
11 Selemani akamleta binti Farao nje ya mji wa Daudi kwenye nyumba aaliyokuwa amemjengea, kwa maana alisema, “Mke wangu lazima asiishi kataika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu kila linapokuja sanduku la Yahwe ni takatifu”.
Solomon loh Pharaoh canu tah David khopuei lamloh anih ham a sak pah im la a thak tih, “Kai yuu he Israel manghai David im ah om boel mai saeh. Te tah a khuila BOEIPA thingkawng a kun dongah cim,” a ti.
12 Kisha Selemani akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu yake ambayo alikuwa ametengeza mbele ya ukumbi.
Te vaengah Solomon loh ngalha hmai kah a suem BOEIPA kah hmueihtuk dongah BOEIPA ham hmueihhlutnah a khuen.
13 Akatoa sadaka kama ilivyohitaka katika ratiba ya kila siku; akazitoa, kwa kufuata maelekezo yaliyokuwa katika amari ya Musa, katika siku za Sabato, miezi mipya, na katika siku zilizopangwa mara tatu kila mwaka: Sikukuu ya mikate isiyochachwa, sikukuu ya majuma, na sikuku ya vibanda.
Moses kah olpaek bangla a hnin hnin ah nawn hamla Sabbath ham neh hlasae ham khaw, kum khat khuikah voei thum tingtunnah ham khaw, vaidamding khotue ham khaw, yalh khat khotue ham khaw, pohlip khotue ham ol om coeng.
14 Katika kuyatunza maagizo ya baba yake Daudi, Selemani akayapanga makundi ya makuhani kwenye kazi yao, na Walawi kwenye nafasi zao, ili kumsisfu Mungu na kuhudumu mbele za makuhani, kama ilivyotakiwa katika ratiba ya kila siku. Pia akawateua walinda lango kwa zamu zao kwa kila lango, kwa maana Daudi, mtu wa Mungu, alikuwa ameagiza hivyo pia.
A napa David kah khosing bangla khosoih kah boelnah te amih kah thothuengnah ham, Levi khaw amamih hamsum bangla aka thangthen ham neh a hnin hnin kah olka dongah khosoih hmai kah aka thotat la, thoh tawt rhoek khaw amamih kah boelnah bangla kho vongka, vongka ah a pai sak. He tah Pathen kah hlang David kah olpaek ni.
15 Watu hawa hawakupotea kutoka kwenye amri ya mfalme kwa makuhani na Walawi kuhusu jambo lolote, au kuhusu vyumba vya hazina.
Olka cungkuem neh thakvoh kawng dongah khaw khosoih rhoek neh Levi taengkah manghai olpaek he a phaelh uh moenih.
16 Kazi yote aliyoagizwa na Selemani ikakamilika, kutoka siku msingi wa nyumba ya Yahwe ulipowekwa hadi ilipokamilika. Nyumba ya Yahwe ikamalizika.
Solomon kah bitat boeih he BOEIPA im kah tungkho a sut khohnin lamloh rhuemtuet la BOEIPA im a khah hil cung coeng.
17 Kisha Selemani akaenda Esion geberi, na Elothi, juu ya pwani katika nchi ya Edomu.
Te vaengah Solomon te Edom khohmuen kah tuipuei tuikaeng Eziongeber neh Elath la cet.
18 Hiramu akatuma meli zake kupitia watumishi wake ambao walikuwa wana maji wenye uzoefu. Wakasafiri na Selemani na watumishi wa Semani hadi Ofiri. Wakachukua kutoka huko talanta 450 za dhahabu ambazo walimletea Selemani.
Te phoeiah Huram te a sal rhoek kut lamloh amah taengla sangpho neh a tah. Te dongah sangpho neh tuipuei aka ming a sal rhoek khaw Solomon kah sal neh Ophir la pawk uh. Te lamloh sui talent ya li sawmnga te a khuen uh tih manghai Solomon taengla pawk uh.

< 2 Nyakati 8 >