< 2 Nyakati 7 >

1 Sasa Selemani alipokuwa amemaliza kuomba, moto ukaja kutoka mbinguni na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, na utukufu wa Yahwe ukaijaza nyumba.
Da Salomo havde endt sin Bøn, for Ild ned fra Himmelen og fortærede Brændofferet og Slagtofrene, og HERRENs Herlighed fyldte Templet,
2 Makuhani hawakuweza kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, kwa sababu utukufu wake uliijaza nyumba yake.
og Præsterne kunde ikke gå ind i HERRENs Hus, fordi HERRENs Herlighed fyldte det.
3 Watu wote wa Israeli wakaangalia juu moto uliposhuka chini na utukufu wa Yahwe ulikuwa juu ya nyumba. Wakalala kwa nyuso zao juu ya sakafu ya mawe, wakaabudu, na kutoa shukrani kwa Yahwe. Wakasema, “Kwa maana yeye ni mwema, kwa maana agano lake la kifame ladumu milele.”
Og da alle Israeliterne så Ilden og HERRENs Herlighed fare ned over Templet, kastede de sig på Knæ på Stenbroen med Ansigtet mod Jorden og filbad og lovede HERREN med Ordene "thi han er god, og hans Miskundhed varer evindelig!"
4 Kwa hiyo mfalme na watu wote wakamtolea Yahwe sadaka Yahwe.
Kongen ofrede nu sammen med alt Folket Slagtofre for HEERRENs Åsyn.
5 Mfalme Selemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu na kondoo 120, 000 na mbuzi. Kwa hiyo mfalme na watu wote wakaiweka wakifu nyumba ya Mungu.
Til Slagtofferet tog Kong Salomo 22.000 Stykker Hornkvæg og 120.000 Stykker Småkvæg. Således indviede Kongen og alt Folket Guds Hus.
6 Makuhani wakasimama, kila mmoja akasimama mahali pake pa kuhudumu; Walawi pia pamoja na vyombo vya muziki vya Yahwe, ambavyo mfalme Daudi alivitengeza kwa ajili ya kumpa shukrani Yahwe katika nyimbo, “Kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Makuhani wote wakapiga matarumbeta mbele yao, na Israeli wote wakasimama.
Og Præsterne stod på deres Pladser, og Leviterne stød med HERRENs Musikinstrumenter, som Kong David havde ladet lave, for at love HERREN med Davids Lovsangs Ord "thi hans Miskundhed varer evindelig!" og Præsterne stod lige over for dem og blæste i trompeter, og hele Israel stod op:
7 Selemani akaitakasa sehemu ya katikati ya kiwanja cha mfalme mbele ya nyumba ya Yahwe. Humo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba ambayo alikuwa ametengeza haikuweza kuzibeba sadaka, sadaka za nafaka, na za mafuta.
Og Salomo helligede den mellemste Del af Forgården foran HERRENs Hus, thi der måtte han ofre Brændofrene og Fedtstykkerne af Takofrene, da Kobberalteret, som Salomo havde ladet lave, ikke kunde rumme Brændofferet, Afgrødeoffret og Fedtstykkerne.
8 Kwa hiyo Selemani akaitisha sikukuu wakati huo kwa siku saba, na Israeli wote pamaoja naye, kusanyiko kubwa, kutoka Lebo Hamathi mpaka kijito cha Misiri.
Samtidig fejrede Salomo i syv Dage Højtiden sammen med hele Israel, en vældig Forsamling lige fra Egnen ved Hamat og til Ægyptens Bæk.
9 Siku ya nane wakaitisha kusanyiko la makini, kwa maana kwa siku saba walishika kuwekwa wakfu kwa ile madhabahu.
Ottendedagen holdt man festlig Samling, thi de fejrede Alterets Indvielse i syv Dage og Højtiden i syv.
10 Katika siku ya ishini na tatu ya mwezi wa saba, Selemani akawatanya watu kwenda kwenye nyumba zao kwa furaha na mioyo ya shangwe kwa sababu ya wema aliokuwa ameuonesha Yahwe kwa Daudi, Selemani, Israeli, na watu wake.
Og på den tre og tyvende Dag i den syvende Måned lod han Folket gå hver til sit, glade og vel til Mode over den Godhed, HERREN havde vist sin Tjenet David og Salomo og sit Folk Israel.
11 Hivyo Selemani akaimaliza nyumba ya Yahwe na nyumba yake mwenyewe. Kila kitu kilichokuja katika moyo wa Selemani kwa ajili ya kukitengeneza katika nyumba ya mfalme na katika nyumba yake mwenyewe, alikitimiza kwa mafanikio.
Salomo var nu færdig med at opføre HERRENs Hus og Kongens Palads; og alt, hvad Salomo havde sat sig for at udføre ved HERRENs Hus og sit Palads, havde han lykkeligt ført igennem.
12 Yahwe akamtokea Selemani usiku na kusema kwake, “Nimesikia maombi yako, na nimeichagua sehemu hii kwa ajili yangu mwenyewe kama nyumba ya dhabihu.
Da lod HERREN sig til Syne for Salomo om Natten og sagde til ham: "Jeg har hørt din Bøn og udvalgt mig dette Sted til Offersted.
13 Kama nitazifunga mbingu ili kwamba kusiwepo mvua, au kama nitaamuru nzige waimeze nchi, au kama nitatuma magonjwa kati kati ya watu wangu,
Dersom jeg tillukker Himmelen, så Regnen udebliver, eller jeg opbyder Græshopperne til at æde Landet op, eller jeg sender Pest i mit Folk,
14 kisha watu wangu, ambao wameitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, kuomba, kuutafuta uso wangu, na kuziacha njia zao mbaya, nitasikia kutoka mbinguni, kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.
og mit Folk, som mit Navn nævnes over, da ydmyger sig, beder og søger mit Åsyn og vender om fra deres onde Veje, så vil jeg høre det i Himmelen og tilgive deres Synd og læge deres Land,
15 Sasa macho yangu yatakuwa wazi na masikio yangu yatasikiliza maombi yanayofanywa katika sehemu hii.
Nu skal mine Øjne være åbne og mine Ører lytte til Bønnen, der bedes på dette Sted.
16 Kwa maana sasa nimeichagua na kauitakasa nyumba hii ili kwamba jina langu lipate kuwa humo milele. Masikio yangu na moyo wangu vitakuwako kila siku.
Og nu har jeg udvalgt og billiget dette Hus, for at mit Navn kan bo der til evig Tid, og mine Øjne og mit Hjerte skal være der alle Dage.
17 Kwako wewe, kama utatembe mbele zangu kama baba yako Daudi alivyotembea, ukitii yote nilyokuamuru na kuzishika sheria zangu na maagizo yangu,
Hvis du nu vandrer for mit Åsyn som din Fader David, så du gør alt, hvad. jeg har pålagt dig, og, holder mine Anordninger og Lovbud,
18 basi nitakithibitisha kiti cha enzi cha ufalme wako, kama nilivyosema katika agano na Daudi baba yako, niliposema, 'Mzaliwa wako hatashindwa kamwe kuwa mtawala katika Israeli.'
så vil jeg opretholde din Kongetrone, som jeg tilsagde din Fader David, da jeg sagde: En Efterfølger skal aldrig fattes dig til at herske over Israel.
19 Lakin ukigeuka, na kuzisahau sheria zangu na amri amabzo nimeweka mbele yenu, na kama utaenda kuabudu miungu wengine na kuwasujudia,
Men hvis I vender eder bort og forlader mine Anordninger og Bud, som jeg har forelagt eder, og går hen og dyrker fremmede Guder og tilbeder dem,
20 basi nitawang'oa kutoka kwenye nchi yangu amabayo nimewapa. Nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali kutoka mbele zangu, na nitaifanya kuwa methali na utani miongini mwa watu wote.
så vil jeg rykke eder op fra mit Land, som jeg gav eder; og dette Hus, som jeg har belliget for mit Navn, vil jeg forkaste fra mit Åsyn og gøre det til Spot og Spe blandt alle Folk,
21 Ingawa hekalu hili hili zuri sana kwa sasa, kila mtu apitaye karibu yake atashangazwa na ataguna. Watauliza, 'Kwa nini Yahwe ameifanyia hivi nchi hii na nyumba hii',
og dette Hus, som var så ophøjet, over det skal enhver, som kommer der forbi, blive slået af Rædsel. Og når man siger: Hvorfor har HERREN handlet således mod dette Land og dette Hus?
22 wengine watajibu, 'Kwa sababu walimsahau Yahwe, Mungu wao, ambaye alikuwa amewatoa babu zao nje ya nchi ya Misiri, na wakashikamana na miungu wengine na kuwainamia chini na kuwaabudu. Hii ndiyo maana Yahwe ameleta majanga haya yote juu yao”
skal der svares: Fordi de forlod HERREN, deres Fædres Gud, som førte dem ud af Ægypten, og holdt sig til andre Guder, tilbad og dyrkede dem; derfor har HERREN bragt al denne Elendighed over dem!"

< 2 Nyakati 7 >