< 2 Nyakati 5 >
1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
A tak dokończona jest wszystka robota, którą sprawił Salomon do domu Pańskiego, i wniósł tam Salomon rzeczy, które był poświęcił Dawid ojciec jego: srebro, i złoto, i wszystkie naczynia włożył do skarbów domu Bożego.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Tedy zebrał Salomon starszych z Izraela, i wszystkich przedniejszych z każdego pokolenia, i przedniejszych z ojców synów Izraelskich, do Jeruzalemu, aby przenieśli skrzynię przymierza Pańskiego z miasta Dawidowego, które jest Syon.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
I zebrali się do króla wszyscy mężowie Izraelscy w święto uroczyste, które bywa miesiąca siódmego.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
A gdy się zeszli wszyscy starsi z Izraela, wzięli Lewitowie skrzynię;
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
I nieśli skrzynię, i namiot zgromadzenia, i wszystkie naczynia święte, które były w namiocie, przenieśli je kapłani i Lewitowie.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
Zatem król Salomon, i wszystko zgromadzenie Izraelskie, co się byli zeszli do niego przed skrzynię, ofiarowali owce i woły, których nie można obliczyć, ani obrachować przez mnóstwo.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
Wnieśli tedy kapłani skrzynię przymierza Pańskiego na miejsce jej, do wnętrznego domu, to jest do świątnicy najświętszej pod skrzydła Cherubinów;
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
Albowiem Cherubinowie mieli rozciągnione skrzydła nad miejscem skrzyni, i okrywali Cherubinowie skrzynię, i drążki jej z wierzchu.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
I powyciągali one drążki, tak że końce ich było widać z skrzyni na przodku świątnicy; ale ich nie widać było zewnątrz, i tamże zostały aż do dnia tego.
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
A nic nie było w skrzyni, tylko dwie tablice, które tam był włożył Mojżesz na Horebie, gdy stanowił przymierze Pan z synami Izraelskimi po wyjściu ich z Egiptu.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
A gdy wychodzili kapłani z świątnicy, (bo wszyscy kapłani, ile ich było, poświęcili się byli, a nie przestrzegali porządków.)
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
Stali Lewitowie śpiewacy, i wszyscy, którzy byli przy Asafie, Hemmanie, i Jedytunie, i synowie ich, i bracia ich, obleczeni będąc w szaty bisiorowe, z cymbałami i z harfami i z cytrami, stali mówię na wschodniej stronie ołtarza, a przy nich kapłanów sto i dwadzieścia trąbiących w trąby.
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
I stało się, gdy jednostajnie trąbili, i śpiewali, i wydawali jednaki głos, chwaląc i sławiąc Pana: i gdy podnosili głos na trąbach, i na cymbałach, i na innych instrumentach muzycznych, i chwalili Pana, że dobry, że na wieki miłosierdzie jego, tedy dom on napełniony jest obłokiem, to jest dom Pański.
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
Tak iż się nie mogli kapłani ostać, i służyć dla onego obłoku; albowiem napełniła była chwała Pańska dom Boży.