< 2 Nyakati 5 >

1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
Da nu alt det arbeid var ferdig som Salomo lot gjøre for Herrens hus, lot han bære inn der de ting som hans far David hadde helliget til Herren; både sølvet og gullet og alle karene la han ned i skattkammerne i Guds hus.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Så kalte Salomo Israels eldste og alle stammehøvdingene, overhodene for Israels barns familier, sammen til Jerusalem for å føre Herrens pakts-ark op fra Davids stad, det er Sion.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
Og alle Israels menn samlet sig hos kongen på festen i den syvende måned.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
Da nu alle Israels eldste var kommet, løftet levittene arken op.
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
Og de bar arken op og sammenkomstens telt og alle de hellige redskaper som var i teltet; det var de levittiske prester som bar dem op.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
Og kong Salomo og hele Israels menighet, som hadde samlet sig hos ham, stod foran arken, og de ofret småfe og storfe i slik mengde at de ikke kunde telles eller regnes.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
Prestene bar Herrens pakts-ark inn på dens plass i husets kor, i det Aller-helligste, under kjerubenes vinger.
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
For kjerubene bredte sine vinger ut over det sted hvor arken stod, så at kjerubene ovenfra dekket både over arken og dens stenger.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
Stengene var så lange at deres ender, som stod frem fra arken, kunde sees foran koret, men ikke utenfor. Og der har den vært til denne dag.
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
Det var intet i arken uten de to tavler som Moses hadde lagt ned i den ved Horeb, dengang Herren gjorde pakt med Israels barn da de drog ut av Egypten.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
Så skjedde det, at da prestene gikk ut av helligdommen - for alle de prester som var der, hadde helliget sig, så det ikke var mulig å iaktta skiftene -
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
og da alle de levittiske sangere, både Asaf, Heman, Jedutun og deres sønner og deres brødre stod i hvite bomullsklær med cymbler og harper og citarer på østsiden av alteret, og sammen med dem hundre og tyve prester som blåste i trompeter,
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
og da trompetblåserne og sangerne alle som en og på en gang stemte i for å love og prise Herren, og de lot trompetene og cymblene og de andre musikkinstrumenter klinge og lovet Herren, fordi han er god, og hans miskunnhet varer evindelig - da blev huset - Herrens hus - fylt av en sky.
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
Og for skyens skyld kunde prestene ikke bli stående og gjøre tjeneste; for Herrens herlighet fylte Guds hus.

< 2 Nyakati 5 >