< 2 Nyakati 5 >

1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
Ainsi fut achevé tout le travail que Salomon fit pour la maison de Yahvé. Salomon apporta ce que David, son père, avait consacré, l'argent, l'or et tous les ustensiles, et il les mit dans les trésors de la maison de Dieu.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Alors Salomon assembla à Jérusalem les anciens d'Israël et tous les chefs des tribus, les princes des maisons paternelles des enfants d'Israël, pour faire monter l'arche de l'alliance de Yahvé de la ville de David, qui est Sion.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
Et tous les hommes d'Israël se rassemblèrent auprès du roi à la fête, qui était au septième mois.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
Tous les anciens d'Israël vinrent. Les Lévites portèrent l'arche.
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
Ils firent monter l'arche, la Tente d'assignation et tous les ustensiles sacrés qui étaient dans la Tente. Les prêtres lévitiques les portèrent.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
Le roi Salomon et toute l'assemblée d'Israël rassemblée auprès de lui se tenaient devant l'arche, sacrifiant des moutons et des bovins qui ne pouvaient être ni comptés ni dénombrés pour la multitude.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
Les prêtres apportèrent l'arche de l'alliance de Yahvé à sa place, dans le sanctuaire intérieur de la maison, dans le lieu très saint, sous les ailes des chérubins.
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
Car les chérubins étendaient leurs ailes sur le lieu de l'arche, et les chérubins couvraient l'arche et ses barres en haut.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
Les barres étaient si longues qu'on en voyait les extrémités depuis l'arche devant le sanctuaire intérieur, mais on ne les voyait pas à l'extérieur; et c'est ce qui s'est passé jusqu'à ce jour.
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
Il n'y avait rien dans l'arche, si ce n'est les deux tables que Moïse y déposa à Horeb, lorsque Yahvé fit alliance avec les Israélites, à leur sortie d'Égypte.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
Lorsque les sacrificateurs furent sortis du lieu saint (car tous les sacrificateurs présents s'étaient sanctifiés et n'avaient pas gardé leurs divisions),
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
les Lévites chantres, tous, Asaph, Héman, Jeduthun, leurs fils et leurs frères, revêtus de fin lin, avec des cymbales, des instruments à cordes et des harpes, se tinrent à l'extrémité orientale de l'autel, et avec eux cent vingt sacrificateurs sonnant des trompettes;
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
Les trompettes et les chantres ne faisaient qu'un, pour produire un seul son et le faire entendre en louant et en remerciant Yahvé; ils élevaient la voix avec les trompettes, les cymbales et les instruments de musique, et ils louaient Yahvé, en disant, « Car il est bon, car sa bonté est éternelle! » La maison de Yahvé fut remplie d'une nuée,
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
si bien que les prêtres ne purent se tenir debout pour faire le service, à cause de la nuée; car la gloire de Yahvé remplissait la maison de Dieu.

< 2 Nyakati 5 >