< 2 Nyakati 5 >
1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
and to complete all [the] work which to make: do Solomon to/for house: temple LORD and to come (in): bring Solomon [obj] holiness David father his and [obj] [the] silver: money and [obj] [the] gold and [obj] all [the] article/utensil to give: put in/on/with treasure house: temple [the] God
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
then to gather Solomon [obj] old: elder Israel and [obj] all head: leader [the] tribe leader [the] father to/for son: descendant/people Israel to(wards) Jerusalem to/for to ascend: establish [obj] ark covenant LORD from city David he/she/it Zion
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
and to gather to(wards) [the] king all man Israel in/on/with feast he/she/it [the] month [the] seventh
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
and to come (in): come all old: elder Israel and to lift: raise [the] Levi [obj] [the] ark
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
and to ascend: establish [obj] [the] ark and [obj] tent meeting and [obj] all article/utensil [the] holiness which in/on/with tent to ascend: establish [obj] them [the] priest [the] Levi
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
and [the] king Solomon and all congregation Israel [the] to appoint upon him to/for face: before [the] ark to sacrifice flock and cattle which not to recount and not to count from abundance
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
and to come (in): bring [the] priest [obj] ark covenant LORD to(wards) place his to(wards) sanctuary [the] house: home to(wards) Most Holy Place [the] Most Holy Place to(wards) underneath: under wing [the] cherub
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
and to be [the] cherub to spread wing upon place [the] ark and to cover [the] cherub upon [the] ark and upon alone: pole his from to/for above [to]
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
and to prolong [the] alone: pole and to see: see head: top [the] alone: pole from [the] ark upon face: before [the] sanctuary and not to see: see [the] outside [to] and to be there till [the] day [the] this
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
nothing in/on/with ark except two [the] tablet which to give: put Moses in/on/with Horeb which to cut: make(covenant) LORD with son: descendant/people Israel in/on/with to come out: come they from Egypt
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
and to be in/on/with to come out: come [the] priest from [the] Holy Place for all [the] priest [the] to find to consecrate: consecate nothing to/for to keep: careful to/for division
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
and [the] Levi [the] to sing to/for all their to/for Asaph to/for Heman to/for Jeduthun and to/for son: child their and to/for brother: male-relative their to clothe fine linen in/on/with cymbal and in/on/with harp and lyre to stand: stand east to/for altar and with them priest to/for hundred and twenty (to blow *Q(k)*) in/on/with trumpet
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
and to be like/as one (to/for to blow *Q(k)*) and to/for to sing to/for to hear: hear voice: [sound of] one to/for to boast: praise and to/for to give thanks to/for LORD and like/as to exalt voice: [sound of] in/on/with trumpet and in/on/with cymbal and in/on/with article/utensil [the] song and in/on/with to boast: praise to/for LORD for pleasant for to/for forever: enduring kindness his and [the] house: home to fill cloud house: temple LORD
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
and not be able [the] priest to/for to stand: stand to/for to minister from face: because [the] cloud for to fill glory LORD [obj] house: temple [the] God