< 2 Nyakati 5 >

1 Wakati ilipomalizika kazi aliyofanya Selemani kwa ajili ya Yahwe, Selemani akapeleka vitu ndani, ambavyo Daudi, baba yake, aliviweka wakifu kwa kusudi hilo, pamoja na zile fedha, dhahabu, na vyombo vyote akavileta ndani ya hazina ya nyumba ya Mungu.
Hottelah Solomon ni BAWIPA e im a sak e teh koung a cum, Solomon koe a na pa Devit ni a poe e sui, ngun hoi hnopai pueng teh Cathut e hnoim dawk a thokhai teh a hruek.
2 Kisha Selemanai akawakusanya wazee wa Israeli, wakuu wa makabila yote, na viongozi wa familia za watu wa Israeli, katika Yerusalemu, ili walilete sanduku la agano la Yahwe kutoka mji wa Daudi, ambao ni Sayuni.
Hahoi, Solomon ni Isarel kacuenaw, miphun kahrawikungnaw, Isarel imthung kahrawikungnaw abuemlah, Devit khopui Zion hoi BAWIPA e lawkkam thingkong hah kâkayawt hanelah, Jerusalem khovah a kamkhueng awh.
3 Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika mbele za mfalme katika sikukuu, ambayo ilikuwa katika mwezi wa saba.
Isarelnaw abuemlah thapa ayung sarinae pawi dawk siangpahrang koevah a tho awh.
4 Wazee wote wa Israeli wakaja, na Walawi wakalichukua sanduku.
Isarel kacuenaw abuemlah hoi a tho awh teh Levihnaw ni lawkkam thingkong a kâkayawt awh.
5 Wakalileta sanduku, hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote ambavyo vilikuwa ndani ya hema. Makuhani waliokuwa wa kabila la Lawi wakavileta vtu hivyo.
BAWIPA e thingkong, tamimaya kamkhuengnae lukkareiim, lukkareiim thung e kathounge hnopai pueng teh vaihma Levihnaw ni a kâkayawt awh.
6 Mfalme Selemanai na kusanyiko lote la Israeli wakaja pamoja, mbele ya sanduku, wakitoa sadaka za kondoo na maksai ambao hawakuweza kuhesabika.
Siangpahrang Solomon hoi kamkhueng e Isarelnaw abuemlah, ahnimouh koe kamkhuengnaw hoi thingkong hmalah kaawmnaw ni tu hoi maitotan touklek thai hoeh e hoi thuengnae a sak awh.
7 Makuhani wakalileta sanduku la anago la Yahwe ndani mahali pake, katika chumba cha ndani cha nyumba, kwenye patakatifu pa patakatifu, chini ya mabawa ya makerubi.
Vaihmanaw ni BAWIPA e lawkkam thingkong hah imthung bawknae hmuen, Hmuen Kathoung poung koe, cherubim rathei roi e rahim amae hmuen koe a ta awh.
8 Kwa kuwa makerubi walitandaza mabawa yao juu ya mahali pa sanduku, na walilifunika sanduku na na miti yake ya kulibebea.
Cherubim roi e ratheinaw teh thingkong e lathueng lah a kadai teh thingkong hoi hrawmnae acung koung a ramuk.
9 Miti ilikuwa mirefu sana kwamba ncha zake zlionekana kutoka ile sehemu takatifu mbele ya chumba cha andani, lakini hazikuweza kuonekana kutoka nje. Zipo hapo hadi leo.
Hrawmnae acung teh a saw poung dawkvah, bawknae hmuen, Hmuen Kathoung poung koehoi hmu thai lah ao. Hatei alawilah hoi kâhmawt hoeh. Atu totouh hote hmuen koe ao rah.
10 Hapakuwa na kitu katika sanaduku isipokuwa zile meza mbili ambazo Musa aliziweka humo huko Horebu, wakati Mungu alipofanya agano na watu wa Israeli, walipotoka nje ya Misri.
Izip ram hoi a tâco awh navah BAWIPA ni Isarel taminaw koe lawkkamnae a sak navah Mosi ni Horeb mon dawk e lungphen kahni touh a hruek e hloilah hote thingkong dawk alouke hno awm hoeh.
11 Ilikuwa makuhani walipotoka nje ya sehemu takatifu. Makuhanai wote wliokuwepo wakajiweka wakifu wenyewe kwa Yahwe, bila kujiamuru wenyewe kulingana na sehemu zao.
Hmuen Kathoung koehoi vaihma a tâco navah vaihmanaw pueng abuemlah hoi koung a kâthoung awh.
12 Pia makuhani waliokuwa waimbaji, wote kwa ujumla wao, pamoja na Asafu, Hemani, Yeduthuni, na wana wao na ndugu zao, wakiwa wamevalia kitani safi na wakipiga matoazi, vinanda, na vinubi, wakaasimama upande wa mashariki wa mwisho wa madhabahu. Pamoja nao palikuwa na makuhuni 120 wakipuliza tarumbeta.
La ka sak e Levih miphun abuemlah hoi, Asaph, Heman hoi Jeduthun e capanaw, a hmaunawnghanaw hoi lukkarei pangawpekyeke kamthoupnaw, cecak, vovit hoi ratoung khuehoi kanîtholah thuengnae khoungroe koe a kangdue awh teh, ahnimouh koe vaihma mongka ka ueng e 120 touh ao.
13 Ikawa kwamba wapuruza tarumbeta na waimbaji wakafanya mziki pamoja, wakifanya sauti moja isikike kwa ajili ya kumsifu na kumshukuru Yahwe. Walipaza sauti zao kwa tarumbeta, toazi na vyombo vingine, na wakamsifu Yahwe. Wakaimba, “Kwa maana Yeye ni mwema, kwa kuwa uaminifu wa agano lake wadumu milele.” Kisha nyumba, ile nyumba ya Yahwe, ikajawa na wingu.
Mongka kauengnaw hoi la kasakkungnaw ni BAWIPA pholennae hoi lunghawilawk deinae lahoi a kueng awh navah, lawk buet touh lah a tâco thai nahanlah mongka cecak hoi tumkhawng e lawk alouklouk lah a tâco teh, BAWIPA teh ahawi a lungpatawnae teh yungyoe akangning, telah a pholen awh navah, BAWIPA im dawk tami king akawi.
14 Makuhani hawakuweza kusimama ili wahudumu kwa sababu ya lile wingu, kwa maana utukufu wa Yahwe uliijaza nyumba yake.
Hottelah tâmai kecu dawkvah vaihmanaw teh amamae thaw patenghai tawk thai awh hoeh. Bangkongtetpawiteh, BAWIPA e bawilennae ni im dawk akawi.

< 2 Nyakati 5 >