< 2 Nyakati 4 >

1 Vivile akatengeneza madhabahu ya shaba; urefu wake ulikuwa mikono ishirini, na upana wake ulikuwa mikono ishirini.
سلیمان پادشاه یک مذبح مفرغین ساخت به طول بیست ذراع، عرض بیست ذراع و بلندی ده ذراع.
2 Pia akatengeneza bahari ya mduara ya chuma cha kuyeyushwa, mikono kumi kutoka ukingo hadi ukingo. Urefu wake kwenda juu ulikuwa mikono mitano, na bahari ilikuwa na mzunguko wa mikono thelatinini.
سپس یک حوض گرد از مفرغ درست کرد که عمق آن پنج ذراع، قطرش ده ذراع و محیطش سی ذراع بود.
3 Chini ya kingo kuzunguka bahari kulikuwapo ng'ombe dume, kumi kila mkono,
بر کناره‌های لبهٔ حوض دو ردیف نقشهایی به شکل گاو (در هر ذراع ده نقش) قرار داشتند. این نقشها با خود حوض قالبگیری شده بود.
4 Bahari ilisimama juu ya ng'ombe wa kulima kumi na wawili, watatu wakiangalia kaskazini, watatu wakiangalia magharibi, na watatu wakiangalia kusini, na watatu wakiangalia mashariki. Bahari iliwekwa juu yao, na robo ya sehemu zao za nyuma zote zilikuwa ndani.
این حوض بر پشت دوازده مجسمهٔ گاو قرار داشت. سر گاوها به طرف بیرون بود: سه گاو رو به شمال، سه گاو رو به جنوب، سه گاو رو به مغرب و سه گاو رو به مشرق.
5 Bahari ilikuwa nene kama upana wa mkono, na ukingo wake ulikuwa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi. Bahari ilikuwa na mabafu elfu tatu ya maji.
ضخامت دیوارهٔ حوض به پهنای کف دست بود. لبهٔ آن به شکل جام بود و مانند گلبرگ سوسن به طرف بیرون باز می‌شد. گنجایش آن بیش از شصت هزار لیتر بود.
6 Pia akatengeneza birika kumi kwa ajili ya kuoshea vitu; tano akaziweka mkono wa kulia, na tano akaziweka kushoto; vifaa vilivyotumika katika kufanayia sadaka za kuteketezwa zilipaswa kuoshwa ndani ya hizo birika. Bahari, vilevile ilikuwa kwa ajili ya makauhani kuoga humo.
ده حوضچه نیز ساخته شد پنج عدد در طرف شمال خانهٔ خدا و پنج عدد در طرف جنوب آن. از آب این حوضچه‌ها برای شستن قطعه‌های بدن حیوان قربانی که می‌بایست روی مذبح سوزانده شود استفاده می‌شد. کاهنان برای شستن خود از آب حوضچه‌ها استفاده نمی‌کردند، بلکه با آب حوض خود را می‌شستند.
7 Akatengeza vinara vya taa kumi vya dhahabu ambavyo vilitengenezwa kutokana na maelekezo ya jinsi vilivyopaswa kuwa; akaviweka hekaluni, vitanao mkno wa kulia, na vitano mkono wa kushoto.
ده چراغدان طلا مطابق طرح، ساخته شد و در خانهٔ خدا قرار گرفت. چراغدانها را در دو دستهٔ پنج‌تایی روبروی هم، به طرف شمال و جنوب، نهادند.
8 Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kulia, na tano upande wa kushoto. Akatengeneza birika mia moja za dhahabu.
همچنین ده میز ساختند و پنج عدد از آنها را در طرف شمال و پنج عدد دیگر را در سمت جنوب خانهٔ خدا قرار دادند. صد کاسهٔ طلا نیز درست کردند.
9 Zaidi ya hayo akatengeneza mahakama ya makuhani na mahakama kuu, na milangu kwa ajili ya mahakama, akaifunika milango yake kwa shaba.
سپس یک حیاط داخلی برای کاهنان و یک حیاط بیرونی ساخته شد و درهای بین آنها را با مفرغ پوشانیدند.
10 Akaiweka bahari upande wa kulia wa nyumba, masharika, ikielekea upande wa kusini.
حوض در گوشهٔ جنوب شرقی خانهٔ خدا بود.
11 Huramu akayatengeza masufuria, majembe, na mabakuli ya kunyunyizia. Hivyo Huramu akamaliza kazi aliyofanya kwa ajili ya mfalme Selemani katika nyumba ya Mungu:
حورام سطلها، خاک‌اندازها و کاسه‌های مربوط به قربانیها را هم ساخت. سرانجام حورام این کارهای مربوط به خانهٔ خدا را که سلیمان پادشاه برای او تعیین کرده بود، به پایان رسانید. اشیایی که او ساخت عبارت بودند از:
12 zile nguzo mbili, taji mfano wa upinde zilizo kuwa juu ya zile nguzo mbili, na nyavu mbili za za mapambo zilizofunika zile taji mbili mfano wa upinde zilizokuwa juu ya zile nguzo.
دو ستون، دو سر ستون کاسه مانند برای ستونها، دو رشته زنجیر روی سر ستونها، چهارصد انار مفرغین برای دو رشته زنجیر (یعنی برای هر رشته زنجیر سر ستون، دویست انار که در دو ردیف قرار داشتند)، میزها و حوضچه‌های روی آنها، حوض بزرگ با دوازده گاو مفرغین زیر آن، سطلها، خاک‌اندازها و چنگکهای مخصوصِ آویزان کردن گوشت قربانیها. حورام، این صنعتگر ماهر، تمام اشیاء خانهٔ خداوند را از مفرغ صیقلی برای سلیمان پادشاه ساخت.
13 Alikuwa ametengeneza makomamanga mia nne kwa ajili ya zile nyavu za mapambo: safu mbili za makomamanga kwa kila wavu ili kufunika vimbe mbili zilizo kuwa juu ya nguzo.
14 Pia akavitengeneza vitako na mabirika juu ya kitako,
15 bahari moja na wale ng'ombe kumi na wawili chini yake,
16 pia masufuria, majembe, nyuma za nyama, na vyombo vingine vyote. Huramu mtaalamu akavifanya kwa ajili ya Mfalme Selemani, kwa ajili ya nyumba ya Yahwe, vya shaba iliyong'arishwa.
17 Mfalme alikuwa amevisubu katika uwanda wa Yordani, katika udongo wa mfinyanzi kati kati ya Sukothi na Sereda.
به دستور سلیمان این اشیاء در دشت اردن که بین سوکوت و صرده قرار داشت قالبریزی شده بود.
18 Hivyo ndivyo Selemani alivyovitengeneza vyombo vyote kwa wingi; kwa kweli, uzito wa shaba haukuweza kujulikana.
مقدار مفرغین که استعمال شد، بی‌اندازه زیاد بود و نمی‌شد آن را وزن کرد!
19 Selemani akazitengeza samani zote ambazo zilikuwa kwenye nyumba ya Mungu, pia madhabahu ya dhahabu, na meza ambazo juu yake mkate wa uwepo ulipaswa kuwekwa;
در ضمن به دستور سلیمان وسایلی از طلای خالص برای خانهٔ خدا ساخته شد. این وسایل عبارت بودند از: مذبح، میز نان حضور،
20 vinara pamoja na taa zake, ambazo zilitengezwa ili kumulika mbele ya chumba cha ndani—hivi vilitengenezwa kwa dhahabu halisi;
چراغدانها با نقشهای گل و چراغهای روی آنها که مطابق طرح می‌بایست روبروی قدس‌الاقداس قرار می‌گرفت، انبرکها،
21 na maua, taa, na makoleo, ya dhahabu, dhahabu safi.
22 Pia mikasi ya taa, na mabakuli, vijiko, na vikaango vya sadaka za kuteketezwa vyote vilitengenezwa kwa dhahabu safi. Kuhusu mlanago wa kuingilia kwenye nyumba, milango yake ya ndani kwenye patakatifu pa patakatifu na milango ya nyumba, ambayo ni, ya hekalu, ilitengenezwa kwa dhahabu.
انبرها، کاسه‌ها، قاشقها و آتشدانها. در ضمن درهای خانهٔ خدا یعنی درهای اصلی و درهای قدس‌الاقداس نیز از طلای خالص بود.

< 2 Nyakati 4 >