< 2 Nyakati 36 >

1 Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoazi mwana wa Yosia, na wakamfanya mfalme katika nafasi ya baba yake katika Yerusalemu.
[Yehuda] zéminidiki xelq Yosiyaning oghli Yehoahazni tallap, Yérusalémda atisining ornigha padishah qilip tiklidi.
2 Yehoazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala, na akatawala miezi mitatu katita Yerusalemu.
Yehoahaz textke chiqqan chéghida yigirme üch yashta idi; u Yérusalémda üch ay seltenet qildi.
3 Mfalme wa Misiri akamwondoa katika Yerusalemu, na akaitoza nchi faini ya talanta za fedha mia moja na talanta moja ya dhahabu.
Misir padishahi uni Yérusalémda padishahliqtin bikar qildi we Yehuda zéminigha bir yüz talant kümüsh, bir talant altun jerimane qoydi.
4 Mfalme wa Misiri akamfanya Eliakimu, ndugu yake, mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu, na akambadili jina lake kuwa Yehoakimu. Kisha akamchukua ndugu yake Eliakimu - Yeahazi na kumpeleka Misiri.
Andin Misir padishahi Yehoahazning ornigha uning inisi Éliakimni Yehuda bilen Yérusalém üstige padishah qilip, uning ismini Yehoakimgha özgertti; andin Neqo inisi Yehoahazni Misirgha élip ketti.
5 Yehoakimu alikuwa na umri wa miaka ishini na tano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Akafanya ambayao yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe Mungu wake.
Yehoakim textke chiqqan chéghida yigirme besh yashta bolup, u Yérusalémda on bir yil seltenet qildi; u Perwerdigar Xudasining neziride rezil bolghanni qildi.
6 Kisha Nebukadreza, mfalme wa Babeli, akamvamia na kumfunga katika minyororo kumuongoza kwenda mbali Babeli.
Babil padishahi Néboqadnesar uninggha hujum qilghili chiqip, uni mis zenjir bilen baghlap Babilgha élip ketti.
7 Nebukadreza pia akabeba baadhi ya vitu katika nyumba ya Yahwe kwenda Babeli, na akaviweka katika ikulu yake huko Babeli.
Nébuqadnesar yene Perwerdigar öyidiki bir qisim eswab-buyumlarni Babilgha apirip, özining Babildiki butxanisigha qoydi.
8 Kwa mambo mengine kuhusu Yehoyakimu, mambo mabaya aliyofanya, na yaliyopatikana zidi yake, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. Basi Yehoyakimu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Yehoakimning qalghan ishliri, uning yirginchlik ishliri, uningdiki eyibler bolsa mana, «Israil we Yehuda padishahlirining tarix-tezkiriliri» dégen kitabta pütülgendur. Uning oghli Yehoakin uning ornigha padishah boldi.
9 Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; alitawala miezi mitatu na siku kumi katika Yerusalemu. Akafanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe.
Yehoakin textke chiqqan chéghida on sekkiz yashta bolup, u Yérusalémda üch ay on kün seltenet qildi; u Perwerdigarning neziride rezil bolghanni qildi.
10 Katika kipindi cha mwisho wa mwaka, mfalme Nebukadreza akatuma watu na wakampelekea Babeli, vitu vya thamani kutoka katika anyumba ya Yahwe, na kumfanya Sedekia ndugu yake, mfalame juu ya Yuda na Yerusalemu.
Yéngi yil ötkende, Néboqadnesar adem ewetip Yehoakinni Perwerdigar öyidiki ésil buyumlar bilen birlikte Babilgha ekeldürüp, Yehoakinning taghisi Zedekiyani Yehuda we Yérusalém üstige padishah qilip tiklidi.
11 Sedekia alikuwa na umri wa miaka isshirini na moja alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Akafanya yaliokuwa uovu katika macho ya Yahwe Mungu wake.
Zedekiya textke chiqqan chéghida yigirme bir yashta bolup, Yérusalémda on bir yil seltenet qildi;
12 Hakujinyenyekesha mwenyewe mbele za Yeremia nabii, ambaye alisema kutoka kwenye kinywa cha Yahwe.
u Perwerdigarning neziride rezil bolghanni qildi; Yeremiya peyghember uninggha Perwerdigarning sözlirini yetküzgen bolsimu, u Yeremiyaning aldida özini töwen qilmidi;
13 Sedekia pia akaasi zidi ya Mfalme Nebukadreza, ambaye alikuwa amemfanya aape uaminifu kwake kupitia Mungu. Lakini Sedekia aliishupaza shingo yake na kuufanya moyo wake mgumu usigeuke kwa Yahwe, Mungu wa Israeli.
u özini Xudaning namida [béqinish] qesimini ichküzgen Néboqadnesardin yüz öridi; boynini qattiq qilip, Israilning Xudasi Perwerdigargha towa qilip yénishqa könglini jahil qildi.
14 Vilevile, viongozi wote wa makauhanai na wa watu hawakuwa waaminifu, na waliufuata uovu wa mataiafa. Waliigoshi nyumba ya Yahwe ambayo alikuwa ameitakasa katika Yerusalemu.
Uning üstige, kahinlarning barliq bashliri bilen xelqning hemmisi yat elliklerning hemme yirginchlik ishlirini dorap, asiyliqlirini ashurdi; ular Perwerdigar Yérusalémda Özige atap muqeddes qilghan öyni bulghiwetti.
15 Yahwe, Mungu wa babu zao, akatuma maneno kwao tena na tena kupitia wajumbe wake, kwa sababu alikuwa na huruma juu ya watu wake na juu ya sehemu anayoishi.
Ularning ata-bowilirining Xudasi bolghan Perwerdigar Öz xelqige we turalghusigha ichini aghritqachqa, tang seherde ornidin turup elchilirini ewetip ularni izchil agahlandurup turdi.
16 Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayadharau maneno yake, na kuwackeka manabii wake, hadi hasira ya Yahwe ilipoinuka zidi ya watu wake, hadi pailipokosekana msaada.
Biraq ular Xudaning elchilirini mazaq qilip, söz-kalamlirini mensitmeytti, peyghemberlirini zangliq qilatti; axir bérip Perwerdigarning qehri örlep, qutquzghili bolmaydighan derijide xelqining üstige chüshti.
17 Hivyo Mungu alimpeleka juu yao mfalme wa Wakaldayo, ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga ndani ya patakatifu, na hakuwa na huruma juu ya vijana au mabikra, watu wazee au wenye mvi. Mungu akawatoa wote mikononi mwake.
Perwerdigar shuning bilen kaldiylerning padishahini ulargha hujumgha séliwidi, padishah ularning muqeddes öyide yashlirini qilichlidi; qiz-yigitler, qérilar, béshi aqarghanlargha héch ich aghritip olturmay, hemmini öltürüwetti; [Xuda] bularning hemmisini [Kaldiye] padishahining qoligha tapshurdi.
18 Vyombo vyote vya nyumba ya Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za nyumba ya Yahwe, na hazina za mfalme na watumishi wake—vyote hivi akavipeleka Babeli.
Kaldiye padishahi Xudaning öyidiki chong-kichik démey, barliq qacha-buyumlarni, shundaqla Perwerdigar öyidiki xezinilerni, shuningdek padishahning we emeldarlirining xezinilirini qoymay, Babilgha élip ketti.
19 Wakaichoma moto nyumba ya Mungu, wakauangusha chini ukuta wa Yerusalemu, wakachoma ikulu zake zote, na wakaharibu vitu vizuri vyote ndani yake.
Kaldiyler Xudaning öyini köydürüwetti, Yérusalémning sépilini chéqiwetti, sheherdiki hemme orda-qorghanlargha ot qoyup köydürüp, Yérusalémdiki barliq qimmetlik qacha-buyumlarni chéqip kukum-talqan qildi.
20 Mfalme akawapeleka mbali Babeli wale waliokuwa wameoka na upanga. Wakawa watumishi kwa ajili yake na wanawe hadi utawala wa Waajemi.
Qilichtin aman qalghanlarning hemmisini [Kaldiye padishahi] Babilgha tutqun qilip eketti; ular taki Pars padishahliqining seltenitikiche Babil padishahi we ewladlirining qulluqida bolup turdi.
21 Hili lilitokea ili kulitimiza neno la Yahwe kwa kinywa cha Yeremia, hadi nchi itakapokuwa imefurahia mapumziko ya Sabato yake. Iliishika Sabato kwa muda mrefu hadi kukataliwa kwake, ili miaka sabini itimie katika namna hii.
Bularning hemmisi Perwerdigarning Yeremiyaning wastisi bilen [aldin] éytqan [agah] sözi ishqa ashurulush üchün boldi. Shuning bilen zémin özige tégishlik shabat künlirige muyesser boldi; chünki zémin yetmish yil toshquche xarabilikte turup «shabat tutup» dem élip rahetlendi.
22 Sasa katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, ili kwamba neno la Yahwe kwa kinywa cha Yeremia liweze kutimizwa, Yahwe akaipa hamasa roho ya Koreshi, mfalme wa Uajemi, kwamba akafanya tangazo katika uflme wake wote, na akaliweka pia katika maandishi. Akasema,
23 “Hivi ndivyo Koreshi, mfalme wa Uajemi, anasema: Yahwe, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote za dunia. Ameniagiza nijenge nyumbaa kwa ajili yake katika Yerusalemu, ambao upo Yuda. Yeyote aliyemiongoni mwenu kutoma katika watu wake wote, Yahwe Mungu wenu, awe naye. Aende kwenye ile nchi.”

< 2 Nyakati 36 >