< 2 Nyakati 36 >
1 Kisha watu wa nchi wakamchukua Yehoazi mwana wa Yosia, na wakamfanya mfalme katika nafasi ya baba yake katika Yerusalemu.
Judah mipiten Josiah chapa Joahaz chu Jerusalem mah leng changdin thao anu taove
2 Yehoazi alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala, na akatawala miezi mitatu katita Yerusalemu.
Joahaz hi Judah te lengmun ahinlochun kum 23 (Somni le thum) alhing taan ahi. Amahin Jeruselam mah lhathum bou vai anahomme
3 Mfalme wa Misiri akamwondoa katika Yerusalemu, na akaitoza nchi faini ya talanta za fedha mia moja na talanta moja ya dhahabu.
Egypt lengpa Neco in galhingin ana man in chuleh Judahten dangka K. g 3400 (Sangthum le Ja li) chuleh Sana K. g 34 kai apeh diuvin thu apen ahi
4 Mfalme wa Misiri akamfanya Eliakimu, ndugu yake, mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu, na akambadili jina lake kuwa Yehoakimu. Kisha akamchukua ndugu yake Eliakimu - Yeahazi na kumpeleka Misiri.
Neco chun Joahaz sopipa Eliakim chu amin khelpeh in Jehoiakim asah in Judah te lengin apansah tan ahi. Joahaz vangchu Egypt lang apuitaan ahi
5 Yehoakimu alikuwa na umri wa miaka ishini na tano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Akafanya ambayao yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe Mungu wake.
Jehoiakim chu Judah te lengpa ahung panchun kum 25 (Som ni le nga) alhingtaan ahi, aman Jerusalem mah kum 11 geijin vai apon ahi. Amahin Pakai pathen dounaan chonset anabollin ahi
6 Kisha Nebukadreza, mfalme wa Babeli, akamvamia na kumfunga katika minyororo kumuongoza kwenda mbali Babeli.
Babylon lengpa Nebuchadnezzer chun Judah te chunga gal ahin bollin Jehoiakim chu aman nin thih kollin Babylon geijin akaijin ahi
7 Nebukadreza pia akabeba baadhi ya vitu katika nyumba ya Yahwe kwenda Babeli, na akaviweka katika ikulu yake huko Babeli.
Nabuchadnezzer chun houin na kon in thiltam tah jong apodoh in, Babylon na lengte inpia akoiyin ahi
8 Kwa mambo mengine kuhusu Yehoyakimu, mambo mabaya aliyofanya, na yaliyopatikana zidi yake, tazama, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli. Basi Yehoyakimu, mwanaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Jehoiakim thilbol ho jouse leh kidah umtah thilse ana bolho jouse chu Israel te leh Judah te lenghon thusim bu a akijihlut sohkeijin ahi, Amahi achapa Jehoiachin nin akhellin leng ahung changin ahi
9 Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala; alitawala miezi mitatu na siku kumi katika Yerusalemu. Akafanya yaliyokuwa maovu katika macho ya Yahwe.
Jehoiachin Judah te leng ahung chanchun kum 18 ahung lhingtan ahi, chuleh amahin Jerusalem mah lha thum leh ni som vai nahommin ahi. Amajong hin Pakai dounan chonset ana bollin ahi
10 Katika kipindi cha mwisho wa mwaka, mfalme Nebukadreza akatuma watu na wakampelekea Babeli, vitu vya thamani kutoka katika anyumba ya Yahwe, na kumfanya Sedekia ndugu yake, mfalame juu ya Yuda na Yerusalemu.
Chavang ahung lhunphat nin lengpa Nabuchadnezzer lin Jehoiachin chu galhingin anaman in houin sunga thil manlutah ho Babylon na apolutnin ahi. Hitichun Nabuchadnezzer in Jehoiachin pangah Zedekiah chu Judah le Jerusalem chungah vaihom min anapansah in ahi
11 Sedekia alikuwa na umri wa miaka isshirini na moja alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na moja katika Yerusalemu. Akafanya yaliokuwa uovu katika macho ya Yahwe Mungu wake.
Zedekiah Judah te lenga ahung pan chunk um 21 (Som ni le khat) alhingtan ahi, ama Jerusalem mah kum 11 (Som le khat) anavaihom min ahi
12 Hakujinyenyekesha mwenyewe mbele za Yeremia nabii, ambaye alisema kutoka kwenye kinywa cha Yahwe.
Aman Pakai dounan chonset ana bollin aman Pakaija konna thu aphondoh hojong ana nahsah pon ahi
13 Sedekia pia akaasi zidi ya Mfalme Nebukadreza, ambaye alikuwa amemfanya aape uaminifu kwake kupitia Mungu. Lakini Sedekia aliishupaza shingo yake na kuufanya moyo wake mgumu usigeuke kwa Yahwe, Mungu wa Israeli.
Zedekiah chu Nachadnezzer lengpan ama thuneina noija kitah a pan lajing dinga Pathen minna anakitep sah ahin, ahivangin ama dounan na ahin tong tan ahi. Amahin Israel Pathen Pakai anga kilekit na kisuhnemding ana nompon ahi
14 Vilevile, viongozi wote wa makauhanai na wa watu hawakuwa waaminifu, na waliufuata uovu wa mataiafa. Waliigoshi nyumba ya Yahwe ambayo alikuwa ameitakasa katika Yerusalemu.
Hiche tilouvin jong Judah lamkaiho leh thempu ho chuleh amipiteo chun avelluva cheng namdang ho chonset bol ajuijun doiphung ahou un Pakai amatah in anasuh theng houin jong chu ana suboh un ahi
15 Yahwe, Mungu wa babu zao, akatuma maneno kwao tena na tena kupitia wajumbe wake, kwa sababu alikuwa na huruma juu ya watu wake na juu ya sehemu anayoishi.
Apu apateo Pakaiyin ama ho gihsal dingin a themgao hou ahin soljingin ahi. Ajeh chu aman amite a houin chu athenga aumding akhohsah ahi
16 Lakini waliwadhihaki wajumbe wa Mungu, wakayadharau maneno yake, na kuwackeka manabii wake, hadi hasira ya Yahwe ilipoinuka zidi ya watu wake, hadi pailipokosekana msaada.
Ahinlah amahon Pathen thuhil chu anahsah pouvin athupeh adoudal un a themgao ho anuisatnun Pathen lunghanna achunguva achuh a ahoidoh nadiu abeihel tokah in Pathen doumah abollun ahi
17 Hivyo Mungu alimpeleka juu yao mfalme wa Wakaldayo, ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga ndani ya patakatifu, na hakuwa na huruma juu ya vijana au mabikra, watu wazee au wenye mvi. Mungu akawatoa wote mikononi mwake.
Hijeh hin Pakaiyin achunguvah Babylon lengpa anokhum sah jin ahi. Lengpan Judah khangthah teho chu houin sung geijin athatnin ahi. Aman khangdong leh tehse numei pasal, adamle adamlou khoto na aneipon ahi. Pathen nin lengpa khutnah apedoh gamsih seh in ahi
18 Vyombo vyote vya nyumba ya Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za nyumba ya Yahwe, na hazina za mfalme na watumishi wake—vyote hivi akavipeleka Babeli.
Babylon lengpan houin sunga thilman lutah tah ho lengpa leh anoija natong lamkai ho neile gou hojouse chu achommin Babylon langah akinung letan ahi
19 Wakaichoma moto nyumba ya Mungu, wakauangusha chini ukuta wa Yerusalemu, wakachoma ikulu zake zote, na wakaharibu vitu vizuri vyote ndani yake.
Aman houin leh khopi chu ahal lha in, leng inpi ahin anei agou ho jouse ahin achommin khopi paljong avolhu jengin ahi
20 Mfalme akawapeleka mbali Babeli wale waliokuwa wameoka na upanga. Wakawa watumishi kwa ajili yake na wanawe hadi utawala wa Waajemi.
Aman mipi ahingdoh ho jouse chu Babylon na atollut nin hiche achun amahon amaleh ason apah hogeijin soh a ahin
21 Hili lilitokea ili kulitimiza neno la Yahwe kwa kinywa cha Yeremia, hadi nchi itakapokuwa imefurahia mapumziko ya Sabato yake. Iliishika Sabato kwa muda mrefu hadi kukataliwa kwake, ili miaka sabini itimie katika namna hii.
Pathennin Jeremiah themgao komma ana phondoh: “Agamchu kum 70 (Som sagi) sunga ahomkeova hung kijamding – cholngah ni ana nitlou nao kum hochu anasah doh sah got ahi”
22 Sasa katika mwaka wa kwanza wa Koreshi, mfalme wa Uajemi, ili kwamba neno la Yahwe kwa kinywa cha Yeremia liweze kutimizwa, Yahwe akaipa hamasa roho ya Koreshi, mfalme wa Uajemi, kwamba akafanya tangazo katika uflme wake wote, na akaliweka pia katika maandishi. Akasema,
Persia lengpa Cyrus chu leng ahung chan kum masapen nin Pakaiyin themgao Jeremiah ana seidoh sahchu ahin guilhun sah in ahi. Aman Cyrus chu hitihin thupeh ahin neisah in hichu agamsung pumpia kithong tah a simdoh tho dingin anjih thon ahi
23 “Hivi ndivyo Koreshi, mfalme wa Uajemi, anasema: Yahwe, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote za dunia. Ameniagiza nijenge nyumbaa kwa ajili yake katika Yerusalemu, ambao upo Yuda. Yeyote aliyemiongoni mwenu kutoma katika watu wake wote, Yahwe Mungu wenu, awe naye. Aende kwenye ile nchi.”
Hichehi Persia lengpa Cyrus thupeh ahi “Pakai van Pathen nin vannoi leiset apumpia ei vaihom sah in chuleh Juda gam ma um Jerusalem ma houin tundoh na ding ngin mopohna jong eipen ahi. Tun Pathen mite hojouse chu nagam languva nakile diu ahi tai, Pakai na Pathennu chun napui taohen” atin ahi