< 2 Nyakati 35 >
1 Yosia asherehekea Pasaka kwa ajili ya Yahwe katika Yerusalemu, na wakachinja wanakondoo katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.
and to make: do Josiah in/on/with Jerusalem Passover to/for LORD and to slaughter [the] Passover in/on/with four ten to/for month [the] first
2 Akawaweka makauhuni katika nafasi zao na akawatia moyo katika hudumza za nyumba ya Yahwe.
and to stand: appoint [the] priest upon charge their and to strengthen: strengthen them to/for service: ministry house: temple LORD
3 Akasema kwa Walawi waliowafundisha Israeli wote na waliokuwa wamewekwa wakifu kwa Yahwe. “Liwekeni sanduka takatifu katika nyumba ambayo Selemani mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli aliijenga. Msilibebe kuzunguka nalo tena mabegani mwenu. Sasa mwabuduni Yahwe Mungu wenu, na watumikieni watu wake Israeli.
and to say to/for Levi ([the] to understand *Q(K)*) to/for all Israel [the] holy to/for LORD to give: put [obj] ark [the] holiness in/on/with house: home which to build Solomon son: child David king Israel nothing to/for you burden in/on/with shoulder now to serve: minister [obj] LORD God your and [obj] people his Israel
4 Jikusanyeni wenyewe kwa majina ya nyumba za babu zenu na zamu zenu, mkifuata maelekezo ya Daudi, mfalme wa Israeli, na yale ya Selemani, mwaye.
(and to establish: prepare *Q(K)*) to/for house: household father your like/as division your in/on/with writing David king Israel and in/on/with writing Solomon son: child his
5 Simeni katika sehemu takatifu, mkichukua nafasi zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa bdugu zenu, uzao wa watu, na mchukue sehemu zenu kwa zamu zenu ndani ya nyumba za mababu wa Walawi.
and to stand: stand in/on/with Holy Place to/for division house: household [the] father to/for brother: compatriot your son: descendant/people [the] people and division house: household father to/for Levi
6 Chinjeni wanakondoo wa Paska, jitakaseni wenyewe, andaeni wankondoo kwa ajili ya ndugu zenu, kufanya sawa sawa na neno la Yahwe ambalo lilitolewa kwa mkono wa Musa”.
and to slaughter [the] Passover and to consecrate: consecate and to establish: prepare to/for brother: compatriot your to/for to make: do like/as word LORD in/on/with hand: by Moses
7 Yosia akawapa watu wote wanakondoo elfu thelathini na wanambuzi kutoka katika makundi kwa ajili ya sadaka za Pasaka kwa wote walikuwepo. Pia akatoa ng'ombe dume elfu tatu; hawa walikuwa kutoka katika mali ya mfalame.
and to exalt Josiah to/for son: descendant/people [the] people flock lamb and son: young animal goat [the] all to/for Passover to/for all [the] to find to/for number thirty thousand and cattle three thousand these from property [the] king
8 Viongozi wake wakatoa sadaka za hiari kwa watu, makuhani, na Walawi. Hilki, Zekaria, na Yeieli, viongozi wasimamizi wa nyumba ya Mungu, wakawapa makuhani ndama 2, 600 na maksai mia tatu kwa ajili ya matoleo ya Paska.
and ruler his to/for voluntariness to/for people to/for priest and to/for Levi to exalt Hilkiah and Zechariah and Jehiel leader house: temple [the] God to/for priest to give: give to/for Passover thousand and six hundred and cattle three hundred
9 Pia Konania, Shemaya na Nethaneli, ndugu zake, na Hashabia, Yeieli, na Yazabadi, mkuu wa Walawi, akawapa Walawi ndama elfu tano kwa ajili ya matoleo ya Pasaka.
(and Conaniah *Q(k)*) and Shemaiah and Nethanel brother: male-sibling his and Hashabiah and Jeiel and Jozabad ruler [the] Levi to exalt to/for Levi to/for Passover five thousand and cattle five hundred
10 Kwa hiyo huduma iliandaliwa, na makuhani wakasimama katika sehemu zao, pamoja na Walawi kwa zamu zao, kwa mjibu wa agizo la mfalme.
and to establish: prepare [the] service and to stand: stand [the] priest upon post their and [the] Levi upon division their like/as commandment [the] king
11 Wakawachinja wanakondoo wa Pasaka, na makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi, na Walawi wakawachuna wanakondoo.
and to slaughter [the] Passover and to scatter [the] priest from hand: themselves their and [the] Levi to strip
12 Wakaziondoa sadaka za kuteketezwa, ili kuzisambaza katika makundi ya nyumba za mababu wa watu, ili wamtolee Yahwe, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Musa. Wakafanya vile vile kwa wale ng'ombe dume.
and to turn aside: turn aside [the] burnt offering to/for to give: give them to/for division to/for house: household father to/for son: descendant/people [the] people to/for to present: bring to/for LORD like/as to write in/on/with scroll: book Moses and so to/for cattle
13 Wakawaoka kwa moto wanakondoo wa Pasaka wakifuata maelekezo, kuhusu sadaka takatifu, walizichemsha kwenye vyungu, masufuria na makaangoni, na haraka wayapeleka kwa watu.
and to boil [the] Passover in/on/with fire like/as justice: judgement and [the] holiness to boil in/on/with pot and in/on/with pot and in/on/with pot and to run: run to/for all son: descendant/people [the] people
14 Baadaye waliandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu makuhani, uzao wa Haruni, walikuwa wametingwa katika kazi ya kutoa sadaka za kuteketezwa na za mafuta hadi usiku ulipoingia, kwa hiyo Walawi wakaandaa sadaka kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, wana wa Haruni.
and after to establish: prepare to/for them and to/for priest for [the] priest son: descendant/people Aaron in/on/with to ascend: offer up [the] burnt offering and [the] fat till night and [the] Levi to establish: prepare to/for them and to/for priest son: descendant/people Aaron
15 Waimbaji, wana wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagiwa na Daudi, Asafu, Hemani, na Yeduthuni, mwonaji wa mfalme, na walinzi walikuwa katika kila lango. Hawakutakiwa kuviacha vituo vyao, kwa sababu ndugu zao Walawi walifanya maandalizi kwa ajili yao.
and [the] to sing son: descendant/people Asaph upon office their like/as commandment David and Asaph and Heman and Jeduthun seer [the] king and [the] gatekeeper to/for gate and gate nothing to/for them to/for to turn aside: depart from upon service their for brother: male-relative their [the] Levi to establish: prepare to/for them
16 Kwa hiyo, wakati huo huduma yote ya Yahwe ilifanyika kwa ajili ya kusherekea Pasaka na kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Yahwe, Kama alivyoamuru mfalme Yosia.
and to establish: prepare all service: ministry LORD in/on/with day [the] he/she/it to/for to make: do [the] Passover and to ascend: offer up burnt offering upon altar LORD like/as commandment [the] king Josiah
17 Watu wa Israeli ambao walikuwepo wakaishika Sabato wakati huo, na kisha Sikukuu ya Mikate isiyochachwa kwa siku saba.
and to make: do son: descendant/people Israel [the] to find [obj] [the] Passover in/on/with time [the] he/she/it and [obj] feast [the] unleavened bread seven day
18 Pasika kama hiyo haijafanyika tena katika Israeli tangu siku za nabii Samweli, wala hakuna mfalme yeyote miongoni mwa wafalme wa Israeli ambaye amewahi kusherekea Pasaka kama Yosia alivyofanya, pamoja na makuhani, Walawi, na watu wote wa Yuda na Israeli waliokuwepo, na wakaaji wote wa Yerusalemu.
and not to make: do Passover like him in/on/with Israel from day Samuel [the] prophet and all king Israel not to make: do like/as Passover which to make: do Josiah and [the] priest and [the] Levi and all Judah and Israel [the] to find and to dwell Jerusalem
19 Pasaka hii ilitunzwa ndani ya miaka kumi na nane ya utawala wa Yosia.
in/on/with eight ten year to/for royalty Josiah to make: do [the] Passover [the] this
20 Baada ya haya yote, baada ya Yosia kuliweka hekalu katika utaratibu, Neko, mfalme wa Misiri, akaenda juu kupigana dhidi ya Karkemist karibu na mto Frati, na Yosia akaenda kupigana juu yake.
after all this which to establish: prepare Josiah [obj] [the] house: home to ascend: rise Neco king Egypt to/for to fight in/on/with Carchemish upon Euphrates and to come out: come to/for to encounter: meet him Josiah
21 Lakini Niko akatuma wajumbe kwake, akisema, “Nikufanye nini, mfalme wa Yuda? Leo siji kinyume nawe, lakini dhidi ya nyumba ambayo nafanya vita nayo. Mungu ameniamuru kuwahi, hivyo acha kumwingilia Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”
and to send: depart to(wards) him messenger to/for to say what? to/for me and to/for you king Judah not upon you you(m. s.) [the] day: today for to(wards) house: home battle my and God to say to/for to dismay me to cease to/for you from God which with me and not to ruin you
22 Hata hivyo, Yosia alipuuzia kurudi nyuma. Akajibadili ili apigane naye. Hakusikiliza maneno ya Neko ambayo yalikuja kutoka kwenye kinywa cha Mungu; hivyo akaenda kupigana kataika bonde la Megido.
and not to turn: turn Josiah face: before his from him for to/for to fight in/on/with him to search and not to hear: hear to(wards) word Neco from lip God and to come (in): come to/for to fight in/on/with valley Megiddo
23 Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, na mfalme akawaambia watumishi wake, “Niondoeni hapa, kwa maana nimejeruhiwa vibaya.”
and to shoot [the] to shoot to/for king Josiah and to say [the] king to/for servant/slave his to pass: bring me for be weak: ill much
24 Kwa hiyo watumishi wake wakamtoa nje ya gari, na kumuweka katika gari lake la tahadhari. Wakampeleka Yerusalemu, ambako alikufa. Alzikwa katika makaburi ya babu zake. Yuda wote na Yerusalemu wakamwomboleza.
and to pass: bring him servant/slave his from [the] chariot and to ride him upon chariot [the] second which to/for him and to go: take him Jerusalem and to die and to bury in/on/with grave father his and all Judah and Jerusalem to mourn upon Josiah
25 Yeremia akamwomboleza Yosia; waimbaji wote wa kiume na wa kike wakaomboleza kuhusu Yosia hata leo. Nyimbo hizi zikawa desturi katika Israeli; tazama, zimeandikwa katika nyimbo za maombolezo.
and to chant Jeremiah upon Josiah and to say all [the] to sing and [the] to sing in/on/with dirge their upon Josiah till [the] day: today and to give: make them to/for statute: decree upon Israel and look! they to write upon [the] dirge
26 Kwa mambao mengine kuhusu Yosia, na matendo yake mema aliyoyafanya katika utii kwa kile kilichoandikwa katika sheria ya Yahwe—
and remainder word: deed Josiah and kindness his like/as to write in/on/with instruction LORD
27 na matendo yake, kutoka mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
and word: deed his [the] first and [the] last look! they to write upon scroll: book king Israel and Judah