< 2 Nyakati 34 >

1 Yosia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala miaka thelathini na moja katika Yerusalemu.
Josiah was eight years old when he became the king [of Judah]. He ruled from Jerusalem for 31 years.
2 Alifanya yaliyohaki katika macho ya Yahwe, na alitembea katiaka njia za Daudi babu yake, ha hakugeuka mbali iwe kulia au kushoto.
He did things that were pleasing to Yahweh and conducted his life like his ancestor King David had done. He fully obeyed [IDM] all the laws of God.
3 Kwa maana ndani ya miaka minane ya ya utawala wake, alipokuwa bado kijana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi, babu yake. Katika miaka ishirini, alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kutoka sehemu za juu, vituo vya Maashera, na sanamu za kuchonga na sanamu za chuma ya kuyeyushwa.
When he had been ruling for almost eight years, while he was still a young man, he began to worship God like his ancestor [King] David had done. Four years later, he began to get rid of all the pagan shrines on hilltops in Jerusalem and in [other places in] Judah, and the poles to [honor the goddess] Asherah, and the carved idols and statues of gods.
4 Watu wakazivunja madhabahu za Baali katika uwepo wake; akazibomoa nguzo za Maashera na na zile sanamu za kuchonga, na sanamu za chuma ya kuyeyushwa katika vipande hadi zikawa mavumbi. Akayasamabaza mavumbi juu ya makaburi ya wale ambao walizitolea sadaka.
While he directed them, his workers tore down the altars where people worshiped Baal. They smashed the altars that were near those altars, where people burned incense. They smashed the poles [honor the goddess] Asherah and the idols and statues. They smashed them to bits and scattered the bits over the graves of those who had offered sacrifices to them.
5 Akaichoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao. Katika namna hii, akaisafisha Yuda na Yerusalemu.
They burned the bones of the priests [who had offered sacrifices]; they burned them on their own altars. In that way Josiah caused Jerusalem and other places in Judah to be acceptable places to worship Yahweh again.
6 Alifanya hivyo hivyo katika miji ya Manase, Efraimu, na Simeoni, sehemu zote hadi Neftali, na katika maeneo yaliyoizunguka.
In the towns in [the tribes of] Manasseh, Ephraim, and Simeon, and as far [north] as [the tribe of] Naphtali and in the ruins around all those towns,
7 Alizivunja madhabahu, akayapiga Maashera, na sanamu za kuchonga kuwa unga, na kuzisambaratisha madhabahu zote za uvumba katika nchi yote ya Israeli; kisha akarudi Yerusalemu.
Josiah’s [workers] tore down the pagan altars and the poles to [honor the goddess] Asherah, and crushed the idols to powder. They also smashed to pieces all the altars for burning incense throughout Israel. Then Josiah returned to Jerusalem.
8 Sasa katika kipindi cha miaka ishirini ya utawala wake, baada ya Yosia kuisafisha nchi na hekalu, alimtuma Shafani mwana wa Azali, Manaseya, akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi katibu, kuikarabati nyumba ya Yahwe Mungu wake.
When Josiah had been ruling for almost 18 years, he [did something else to] cause the land and the temple to be acceptable places to worship Yahweh. He sent Shaphan the son of Azaliah and Maaseiah the governor of the city and Joah the son of Joahaz, who wrote on a scroll what happened in the city, to repair the temple of Yahweh.
9 Wakaenda kwa Hilkia, kuhani mkuu, na wakakabidhi kwake fedha ambazo zilikuwa zimeletwa kwenye nyumbaa ya Mungu, ambazo Walawi, walinzi wa milingo, walikuwa wamekusanya kutoka Manase na Efraimu, kutoka kwa masalia wote wa Israeli, kutoka Yuda yote na Benyamini, na kutoka kwa wakaaji wa Yerusalemu.
They went to Hilkiah the Supreme Priest and gave him the money that had been brought to the temple. That was the money that the descendants of Levi who guarded the doors of the temple had collected from the people of [the tribes of] Manasseh and Ephraim and [other places in northern] Israel, and also from all the people in Jerusalem and other places in the tribes of Judah and Benjamin.
10 Wakaikabidhi ile fedha kwa watu waliosimamia kazi ya hekalu la Yahwe. Watu wale wakawalipa wafanya kazi walioilikarabati na kulijenga tena hekalu.
Then Hilkiah gave some of the money to the men who had been appointed to supervise the work of repairing the temple. The supervisors paid the men who did the repair work.
11 Wakawalipa maseremala na wajenzi kwa ajili ya kununulia mawe ya kuchonga na mbao kwa ajili ya kuungia, na kutengeneza boriti za nyumba amabazo baadha ya wafalme wa Yuda waliziacha zikachakaa.
They also gave some of the money to the carpenters and builders to buy the cut stones and the timber for the joists and the beams for the buildings that the kings of Judah had allowed to decay.
12 Watu waliifanya kazi kwa uaminifu. Wasimamizi wao Yahathi na Obadia, Walawi, wa wana wa Merari; na Zekaria na Meshulamu, kutoka kwa wana wa Wakohathi. Walawi wengine, wote kati ya wale waliokuwa wanamziki wazuri sana, kwa ukaribu waliwaelekeza watendakazi.
The workers did their work faithfully. Their supervisors were Jahath and Obadiah, who were descendants of [Levi’s son] Merari, and Zechariah and Meshullam, who were descendants of [Levi’s son] Kohath. All the other descendants of Levi, those who played musical instruments well,
13 Walawi hawa walikuwa viongoziz wa wale waliobeba vifaa vya ujenzi na watu wengine wote waliofanya kazi kwa namna yoyote ile. Pia palikuwa na Walawi ambao walikuwa makatibu, watawala na walinda lango.
supervised all the workers as they did their various jobs. Some of the descendants of Levi were secretaries and some kept records and some guarded the gates [of the temple].
14 Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, Hilkia yule kuhani akakiokota kitabu cha sheri ya Yahwe ambacho kilikuwa kimetolewa kupitia Musa.
While they were giving to the supervisors the money that had been taken to the temple, Hilkiah the [Supreme] Priest found a scroll on which were written the laws that Yahweh had told Moses to give to the people.
15 Hilkia akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekiokota kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe”. Hilikia akakileta kitabu kwa Shefani.
So Hilkiah said to Shaphan, “I have found in the temple a scroll on which are written the laws [that God gave to Moses]!” Then Hilkiah gave the scroll to Shaphan.
16 Shefani akakipelek kitabu kwa mfalme, na pia akatoa taarifa kwake, akisema, “Watumishi wako wanafanya kila kitu walichokabidhiwa.
Shaphan [took the scroll] to the king and said to him, “Your officials are doing everything that you told them to do.
17 Waliitoa feedha yote amabayo ilionekana katika nyumba ya Yahwe, na waliikabidhi katika mikono ya wasimamizi na watendakazi.”
They have taken the money that was in the temple, and they have given it to the men who will supervise the workers who will repair the temple.”
18 Shefani mwandishi akamwambia mfalme.” Hilkia kuhani amenipa kitabu.” Kisha Shefani akamsomea mfalme katika hicho kitabu.
Then Shaphan said to the king, “[I have brought to you] a scroll [that] Hilkiah gave to me.” And Shaphan started to read it to the king.
19 Ikawa kwamba mfalme alipokuwa ameyasikia maneno ya sheria, aliyararua mavazi yake.
When the king heard the laws [that were written in the scroll], he tore his clothes [because he was very dismayed/worried].
20 Mflme akawaamuru Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwaandishi, na Asaya, mtumishi wake, akisema,
Then he gave these instructions to Hilkiah, to Shaphan’s son Ahikam, to Micah’s son Abdon, to Shaphan, and to Asaiah the king’s special advisor:
21 “Nendeni mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu, na kwa wale waliobaki katika Israeli na Yuda, kwa sababu ya maneno ya kitabu ambacho kimeokotwa. Kwa maani ni kikuu, kwa sababu babu zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki ili kuyatii yote yaliyokuwa yameandikwa ndani yake”. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yanasema “ambayo yamemulikwa zidi yetu”).
“Go and ask Yahweh for me, and for all his people who are still alive in Judah and Israel, about what is written in this scroll that has been found. Because [it is clear that] Yahweh is very angry with us because our ancestors disobeyed what Yahweh said; they did not obey the laws that are written on this scroll.”
22 Kwa hiyo Hilkia, na wale ambao mfalme alikuwa amewaamuru, wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tohathi mwana wa Hasra, mtunza mavazi (aliishi katika Yerusalemu katika wilaya ya pili), na walizungumza naye katika namna hii.
So Hilkiah and the others went to talk with a woman whose name was Huldah, who was a prophetess who lived in the newer part of Jerusalem. Her husband Shallum who was the son of Tikvah, took care of the robes that were worn [in the temple].
23 Akasema kwao, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema: Mwambie mtu aliyewatuma kwangu,
[When they told her what the king had said, ] she said to them, “This is what Yahweh, the God whom we Israelis [worship], says: ‘Go back and tell the king who sent you
24 Hivi ndivyo Yahwe anasema: Ona, niko karibu kuleta maafa juu ya sehemu hii na wakaaaji wake, laana zote zilizoandikwa katika kitabu walichokisoma mbele ya mfalme wa Yuda.
that this is what Yahweh says: “Listen to this carefully. I am going to cause a disaster to strike Jerusalem and all the people who live here. I will cause them to experience the curses that were written in the scroll that was read to the king of Judah.
25 Kwa sababu wamenisahau na wametoa sadaka za uvumba kwa miungu mingine, ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yote waliyofanya — kwa hiyo hasira yangu itamiminwa juu ya hii sehemu, na haitazimishwa. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yana “amabyo yamemlikwa zidi yetu”.)
I will do that because they have rejected me, and they burn incense to [honor] other gods. They have caused me to become very angry because of all the idols that they have made (OR, because of all the wicked things that they have done), [and my anger is like] a fire that will not be extinguished.
26 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliyewatuma kumuuliza Yahwe alichopaswa kufanya, hivi ndivyo mtakavyosema kwake, 'Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: Kuhusu maneno uliyosika,
The king of Judah sent you to ask what I, Yahweh, want. Go and tell him that this is what I, Yahweh, the God whom you Israelis worship, say about what you read:
27 kwa sababu moyo wako ulipondeka, na ulijinyenyekeza mbele yangu ulipoyasikia maneno yake zidi ya sehemu hii na wakaaji wake, na kwa sababu umejinyenyekeza mwenyewe mbele zangu, pia nimekusikiliza —hili ni azimio la Yahwe—
“Because you heeded [what was written in the scroll], and you humbled yourself when you heard what I said to warn [about what would happen to] this city and the people who live here, and because you tore your robes and wept in my presence, I have heard you.
28 ona, nitakukusanya kwa mababu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona maafa yoyoye nitakayoleta juu ya sehemu hii na wakaaji wake”. Wale watu wakarudisha ujumbe huu kwa mfalme.
So I will allow you to die and be buried peacefully. I will cause a great disaster to strike this place and the people who live here, but you will not [be alive to] see it.”’” So they reported her reply to the king.
29 Mfalme akatuma wajumbe na kuwakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
Then the king summoned all the elders of Jerusalem and [other places in] Judea.
30 Kisha mfalme akaenda kwenye nyumba ya Yahwe, na watu wote wa Yuda wakaaji wa Yerusalemu, na makuhani, Walawi, na watu wote, kuanzia wakubwa hadi wadogo. Kisha akasoma mbele zao maneno yote ya kitabu cha Agano kilichokuwa kimeokotwa katika nyumba ya Yahwe.
They went up together to the temple with the leaders of Judah and many other people of Jerusalem and the priests and other descendants of Levi, from the least important to the most important ones. And while they listened, the king read to them everything that was in the scroll containing God’s laws that had been found in the temple.
31 Mfalme aksimama katika sehemu yake na kufanya aganao mbele za Yahwe, kutembea mbele za Yahwe, na kuzishika amri zake, taratibu zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote na roho yake yote, kuyatii maneno ya agano yaliyokuwa yameandikwa katika agano ambayo yalikuwa yameandikwa katika kitabu hiki.
Then the king stood next to the pillar [at the entrance to the temple, where kings stood when they announced something important], and while Yahweh was listening, he repeated his promise to very sincerely and completely obey Yahweh and all his commands and regulations and decrees that were written on the scroll.
32 Aliwasababisha wote walioonekana katika Yerusalemu na Benyamini kusimama kwa agano. Wakaaji wa Yerusalemu wakatembea kwa agano la Mungu, Mungu wa babu zao.
Then the king said that everyone who lived in Jerusalem and from [the tribe of] Benjamin should promise that they also would obey those laws. And they did that, agreeing that they would keep the agreement that God, whom their ancestors had worshiped, had made with them.
33 Yosia akapeleka mbali mambo yote ya machukizo kutoka kwenye nchi iliyomilikiw na watu wa Israeli. Akamfanya kila mtu katika Israeli amwabudu Yahwe, Mungu wao. Kwa maisha siku zake zote, hawakugeka mbali kwa kutomfuata Yahwe, Mungu wa mababu zao.
Josiah [instructed his workers to] remove all the detestable idols from everywhere in the land of the Israeli people, and he commanded that all the people from Israel who were there should worship [only] Yahweh their God. And as long as Josiah was alive, the people did what was pleasing to Yahweh, the God whom their ancestors [worshiped].

< 2 Nyakati 34 >