< 2 Nyakati 34 >
1 Yosia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala miaka thelathini na moja katika Yerusalemu.
[was] a son of Eight years Josiah when became king he and thirty and one year[s] he reigned in Jerusalem.
2 Alifanya yaliyohaki katika macho ya Yahwe, na alitembea katiaka njia za Daudi babu yake, ha hakugeuka mbali iwe kulia au kushoto.
And he did the right in [the] eyes of Yahweh and he walked in [the] ways of David ancestor his and not he turned aside right and left.
3 Kwa maana ndani ya miaka minane ya ya utawala wake, alipokuwa bado kijana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi, babu yake. Katika miaka ishirini, alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kutoka sehemu za juu, vituo vya Maashera, na sanamu za kuchonga na sanamu za chuma ya kuyeyushwa.
And in eight years of reigning his and he still he [was] a youth he began to seek [the] God of David ancestor his and in two [plus] ten year he began to cleanse Judah and Jerusalem from the high places and the Asherah poles and the idols and the molten images.
4 Watu wakazivunja madhabahu za Baali katika uwepo wake; akazibomoa nguzo za Maashera na na zile sanamu za kuchonga, na sanamu za chuma ya kuyeyushwa katika vipande hadi zikawa mavumbi. Akayasamabaza mavumbi juu ya makaburi ya wale ambao walizitolea sadaka.
And people pulled down before him [the] altars of the Baals and the incense altars which [were] upwards above them he cut down and the Asherah poles and the idols and the molten images he broke in pieces and he pulverized [them] and he sprinkled [them] on [the] surface of the graves who sacrificed to them.
5 Akaichoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao. Katika namna hii, akaisafisha Yuda na Yerusalemu.
And [the] bones of priests he burned on (altars their *Q(K)*) and he cleansed Judah and Jerusalem.
6 Alifanya hivyo hivyo katika miji ya Manase, Efraimu, na Simeoni, sehemu zote hadi Neftali, na katika maeneo yaliyoizunguka.
And in [the] cities of Manasseh and Ephraim and Simeon and to Naphtali (in [the] hill country of with swords their *Q(K)*) all around.
7 Alizivunja madhabahu, akayapiga Maashera, na sanamu za kuchonga kuwa unga, na kuzisambaratisha madhabahu zote za uvumba katika nchi yote ya Israeli; kisha akarudi Yerusalemu.
And he pulled down the altars and the Asherah poles and the idols he crushed to pulverize and all the incense altars he cut down in all [the] land of Israel and he returned to Jerusalem.
8 Sasa katika kipindi cha miaka ishirini ya utawala wake, baada ya Yosia kuisafisha nchi na hekalu, alimtuma Shafani mwana wa Azali, Manaseya, akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi katibu, kuikarabati nyumba ya Yahwe Mungu wake.
And in year eight-teen of reigning his to cleanse the land and the house he sent Shaphan [the] son Azaliah and Maaseiah [the] official of the city and Joah [the] son of Joahaz the recorder to repair [the] house of Yahweh God his.
9 Wakaenda kwa Hilkia, kuhani mkuu, na wakakabidhi kwake fedha ambazo zilikuwa zimeletwa kwenye nyumbaa ya Mungu, ambazo Walawi, walinzi wa milingo, walikuwa wamekusanya kutoka Manase na Efraimu, kutoka kwa masalia wote wa Israeli, kutoka Yuda yote na Benyamini, na kutoka kwa wakaaji wa Yerusalemu.
And they went to Hilkiah - the priest great and they gave the money which had been brought [the] house of God which they had gathered the Levites [the] keepers of the threshold from [the] hand of Manasseh and Ephraim and from all [the] remnant of Israel and from all Judah and Benjamin (and they returned of *Q(K)*) Jerusalem.
10 Wakaikabidhi ile fedha kwa watu waliosimamia kazi ya hekalu la Yahwe. Watu wale wakawalipa wafanya kazi walioilikarabati na kulijenga tena hekalu.
And they gave [it] on [the] hand of [the] doer of the work who were appointed in [the] house of Yahweh and they gave it [the] doers of the work who [were] working in [the] house of Yahweh to mend and to repair the house.
11 Wakawalipa maseremala na wajenzi kwa ajili ya kununulia mawe ya kuchonga na mbao kwa ajili ya kuungia, na kutengeneza boriti za nyumba amabazo baadha ya wafalme wa Yuda waliziacha zikachakaa.
And they gave [it] to the craftsmen and to the builders to buy stones of hewing and wood for the clamps and to make beams for the houses which they had ruined [the] kings of Judah.
12 Watu waliifanya kazi kwa uaminifu. Wasimamizi wao Yahathi na Obadia, Walawi, wa wana wa Merari; na Zekaria na Meshulamu, kutoka kwa wana wa Wakohathi. Walawi wengine, wote kati ya wale waliokuwa wanamziki wazuri sana, kwa ukaribu waliwaelekeza watendakazi.
And the men [were] working in faithfulness in the work and over them - [were] appointed Jahath and Obadiah the Levites of [the] descendants of Merari and Zechariah and Meshullam of [the] descendants of the Kohathites to act as overseers and the Levites every [one who] was skilled in instruments of song.
13 Walawi hawa walikuwa viongoziz wa wale waliobeba vifaa vya ujenzi na watu wengine wote waliofanya kazi kwa namna yoyote ile. Pia palikuwa na Walawi ambao walikuwa makatibu, watawala na walinda lango.
[were] over The burden-bearers and [were] acting as overseers of every doer of work for labor and labor and some of the Levites [were] scribes and officials and gatekeepers.
14 Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, Hilkia yule kuhani akakiokota kitabu cha sheri ya Yahwe ambacho kilikuwa kimetolewa kupitia Musa.
And when brought out they the money which had been brought [the] house of Yahweh he found Hilkiah the priest [the] scroll of [the] law of Yahweh by [the] hand of Moses.
15 Hilkia akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekiokota kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe”. Hilikia akakileta kitabu kwa Shefani.
And he answered Hilkiah and he said to Shaphan the scribe [the] scroll of the law I have found in [the] house of Yahweh and he gave Hilkiah the scroll to Shaphan.
16 Shefani akakipelek kitabu kwa mfalme, na pia akatoa taarifa kwake, akisema, “Watumishi wako wanafanya kila kitu walichokabidhiwa.
And he brought Shaphan the scroll to the king and he brought back again the king a word saying all that it was given in [the] hand of servants your they [are] doing.
17 Waliitoa feedha yote amabayo ilionekana katika nyumba ya Yahwe, na waliikabidhi katika mikono ya wasimamizi na watendakazi.”
And they have poured out the money which was found in [the] house of Yahweh and they have put it on [the] hand of those [who] were appointed and on [the] hand of [the] doers of the work.
18 Shefani mwandishi akamwambia mfalme.” Hilkia kuhani amenipa kitabu.” Kisha Shefani akamsomea mfalme katika hicho kitabu.
And he told Shaphan the scribe to the king saying a scroll he has given to me Hilkiah the priest and he read aloud in it Shaphan before the king.
19 Ikawa kwamba mfalme alipokuwa ameyasikia maneno ya sheria, aliyararua mavazi yake.
And it was when heard the king [the] words of the law and he tore clothes his.
20 Mflme akawaamuru Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwaandishi, na Asaya, mtumishi wake, akisema,
And he commanded the king Hilkiah and Ahikam [the] son of Shaphan and Abdon [the] son of Micah and - Shaphan the scribe and Asaiah [the] servant of the king saying.
21 “Nendeni mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu, na kwa wale waliobaki katika Israeli na Yuda, kwa sababu ya maneno ya kitabu ambacho kimeokotwa. Kwa maani ni kikuu, kwa sababu babu zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki ili kuyatii yote yaliyokuwa yameandikwa ndani yake”. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yanasema “ambayo yamemulikwa zidi yetu”).
Go consult Yahweh for me and for the remnant among Israel and among Judah on [the] words of the scroll which it has been found for [is] great [the] anger of Yahweh which it has been poured out on us on that not they took care ancestors our [the] word of Yahweh to observe according to every [thing] written on the scroll this.
22 Kwa hiyo Hilkia, na wale ambao mfalme alikuwa amewaamuru, wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tohathi mwana wa Hasra, mtunza mavazi (aliishi katika Yerusalemu katika wilaya ya pili), na walizungumza naye katika namna hii.
And he went Hilkiah and [those] whom the king to Huldah the prophetess [the] wife of - Shallum [the] son of (Tokhath *Q(K)*) [the] son of Hasrah [the] keeper of the garments and she [was] dwelling in Jerusalem in the second district and they spoke to her like this.
23 Akasema kwao, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema: Mwambie mtu aliyewatuma kwangu,
And she said to them thus he says Yahweh [the] God of Israel say to the man who he sent you to me.
24 Hivi ndivyo Yahwe anasema: Ona, niko karibu kuleta maafa juu ya sehemu hii na wakaaaji wake, laana zote zilizoandikwa katika kitabu walichokisoma mbele ya mfalme wa Yuda.
Thus he says Yahweh here I [am] about to bring harm on the place this and on inhabitants its all the curses which are written on the scroll which people have read aloud before [the] king of Judah.
25 Kwa sababu wamenisahau na wametoa sadaka za uvumba kwa miungu mingine, ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yote waliyofanya — kwa hiyo hasira yangu itamiminwa juu ya hii sehemu, na haitazimishwa. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yana “amabyo yamemlikwa zidi yetu”.)
Because - that they have forsaken me (and they have made smoke *Q(K)*) to gods other so as to provoke to anger me by all [the] works of hands their so it may pour forth rage my on the place this and not it will be quenched.
26 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliyewatuma kumuuliza Yahwe alichopaswa kufanya, hivi ndivyo mtakavyosema kwake, 'Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: Kuhusu maneno uliyosika,
And to [the] king of Judah who sent you to consult Yahweh thus you will say to him. Thus he says Yahweh [the] God of Israel the words which you have heard.
27 kwa sababu moyo wako ulipondeka, na ulijinyenyekeza mbele yangu ulipoyasikia maneno yake zidi ya sehemu hii na wakaaji wake, na kwa sababu umejinyenyekeza mwenyewe mbele zangu, pia nimekusikiliza —hili ni azimio la Yahwe—
Because it was soft heart your and you humbled yourself - from to before God when hearing you words his on the place this and on inhabitants its and you humbled yourself before me and you tore clothes your and you wept before me and also I I have heard [the] utterance of Yahweh.
28 ona, nitakukusanya kwa mababu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona maafa yoyoye nitakayoleta juu ya sehemu hii na wakaaji wake”. Wale watu wakarudisha ujumbe huu kwa mfalme.
Here I [will] gather you to ancestors your and you will be gathered to grave your in peace and not they will look eyes your on all the distress which I [am] about to bring on the place this and on inhabitants its and they brought back the king word.
29 Mfalme akatuma wajumbe na kuwakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
And he sent the king and he gathered all [the] elders of Judah and Jerusalem.
30 Kisha mfalme akaenda kwenye nyumba ya Yahwe, na watu wote wa Yuda wakaaji wa Yerusalemu, na makuhani, Walawi, na watu wote, kuanzia wakubwa hadi wadogo. Kisha akasoma mbele zao maneno yote ya kitabu cha Agano kilichokuwa kimeokotwa katika nyumba ya Yahwe.
And he went up the king [the] house of Yahweh and every person of Judah and [the] inhabitants of Jerusalem and the priests and the Levites and all the people from great and unto small and he read aloud in ears their all [the] words of [the] scroll of the covenant which had been found [the] house of Yahweh.
31 Mfalme aksimama katika sehemu yake na kufanya aganao mbele za Yahwe, kutembea mbele za Yahwe, na kuzishika amri zake, taratibu zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote na roho yake yote, kuyatii maneno ya agano yaliyokuwa yameandikwa katika agano ambayo yalikuwa yameandikwa katika kitabu hiki.
And he stood the king at place his and he made the covenant before Yahweh to walk after Yahweh and to keep commandments his and testimonies his and statutes his with all heart his and with all being his to observe [the] words of the covenant which was written on the scroll this.
32 Aliwasababisha wote walioonekana katika Yerusalemu na Benyamini kusimama kwa agano. Wakaaji wa Yerusalemu wakatembea kwa agano la Mungu, Mungu wa babu zao.
And he made stand every [one who] was found in Jerusalem and Benjamin and they did [the] inhabitants of Jerusalem according to [the] covenant of God [the] God of ancestors their.
33 Yosia akapeleka mbali mambo yote ya machukizo kutoka kwenye nchi iliyomilikiw na watu wa Israeli. Akamfanya kila mtu katika Israeli amwabudu Yahwe, Mungu wao. Kwa maisha siku zake zote, hawakugeka mbali kwa kutomfuata Yahwe, Mungu wa mababu zao.
And he removed Josiah all the abominations from all the lands which [belonged] to [the] people of Israel and he made to serve every [one who] was found in Israel to serve Yahweh God their all days his not they turned aside from after Yahweh [the] God of ancestors their.