< 2 Nyakati 34 >
1 Yosia alikuwa na umri wa miaka kumi na nane alipoanza kutawala; alitawala miaka thelathini na moja katika Yerusalemu.
Josiah was eight years old when he had begun to reign, and he reigned for thirty-one years in Jerusalem.
2 Alifanya yaliyohaki katika macho ya Yahwe, na alitembea katiaka njia za Daudi babu yake, ha hakugeuka mbali iwe kulia au kushoto.
And he did what was right in the sight of the Lord, and he walked in the ways of his father David. He did not turn away, neither to the right, nor to the left.
3 Kwa maana ndani ya miaka minane ya ya utawala wake, alipokuwa bado kijana, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi, babu yake. Katika miaka ishirini, alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kutoka sehemu za juu, vituo vya Maashera, na sanamu za kuchonga na sanamu za chuma ya kuyeyushwa.
Now in the eighth year of his reign, when he was still a boy, he began to seek the God of his father David. And in the twelfth year after he had begun to reign, he cleansed Judah and Jerusalem from the high places, and the sacred groves, and the idols, and the graven images.
4 Watu wakazivunja madhabahu za Baali katika uwepo wake; akazibomoa nguzo za Maashera na na zile sanamu za kuchonga, na sanamu za chuma ya kuyeyushwa katika vipande hadi zikawa mavumbi. Akayasamabaza mavumbi juu ya makaburi ya wale ambao walizitolea sadaka.
And in his sight, they destroyed the altars of the Baals, and they demolished the idols which had been set upon them. And then he cut down the sacred groves and crushed the graven images. And he scattered the fragments upon the tombs of those who had been accustomed to immolate to them.
5 Akaichoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao. Katika namna hii, akaisafisha Yuda na Yerusalemu.
And after that, he burned the bones of the priests upon the altars of the idols. And so did he cleanse Judah and Jerusalem.
6 Alifanya hivyo hivyo katika miji ya Manase, Efraimu, na Simeoni, sehemu zote hadi Neftali, na katika maeneo yaliyoizunguka.
Then too, in the cities of Manasseh, and of Ephraim, and of Simeon, even to Naphtali, he overturned everything.
7 Alizivunja madhabahu, akayapiga Maashera, na sanamu za kuchonga kuwa unga, na kuzisambaratisha madhabahu zote za uvumba katika nchi yote ya Israeli; kisha akarudi Yerusalemu.
And when he had destroyed the altars and the sacred groves, and had broken the idols to pieces, and when all the profane shrines had been demolished from the entire land of Israel, he returned to Jerusalem.
8 Sasa katika kipindi cha miaka ishirini ya utawala wake, baada ya Yosia kuisafisha nchi na hekalu, alimtuma Shafani mwana wa Azali, Manaseya, akida wa mji, na Yoa mwana wa Yoahazi katibu, kuikarabati nyumba ya Yahwe Mungu wake.
And so, in the eighteenth year of his reign, having now cleansed the land and the temple of the Lord, he sent Shaphan, the son of Azaliah, and Maaseiah, the ruler of the city, and Joah, the son of Joahaz, the historian, to repair the house of the Lord his God.
9 Wakaenda kwa Hilkia, kuhani mkuu, na wakakabidhi kwake fedha ambazo zilikuwa zimeletwa kwenye nyumbaa ya Mungu, ambazo Walawi, walinzi wa milingo, walikuwa wamekusanya kutoka Manase na Efraimu, kutoka kwa masalia wote wa Israeli, kutoka Yuda yote na Benyamini, na kutoka kwa wakaaji wa Yerusalemu.
And they went to Hilkiah, the high priest. And having accepted from him the money which had been brought into the house of the Lord, and which the Levites and porters had gathered together from Manasseh, and Ephraim, and the entire remnant of Israel, and also from all of Judah, and Benjamin, and the inhabitants of Jerusalem,
10 Wakaikabidhi ile fedha kwa watu waliosimamia kazi ya hekalu la Yahwe. Watu wale wakawalipa wafanya kazi walioilikarabati na kulijenga tena hekalu.
they delivered it into the hands of those who were in charge of the workers in the house of the Lord, so that they might repair the temple, and restore whatever was weak.
11 Wakawalipa maseremala na wajenzi kwa ajili ya kununulia mawe ya kuchonga na mbao kwa ajili ya kuungia, na kutengeneza boriti za nyumba amabazo baadha ya wafalme wa Yuda waliziacha zikachakaa.
And they gave it to the artisans and the stoneworkers, so that they might buy stones from the quarries, and wood for the joints of the building and for the upper floors of the houses, which the kings of Judah had destroyed.
12 Watu waliifanya kazi kwa uaminifu. Wasimamizi wao Yahathi na Obadia, Walawi, wa wana wa Merari; na Zekaria na Meshulamu, kutoka kwa wana wa Wakohathi. Walawi wengine, wote kati ya wale waliokuwa wanamziki wazuri sana, kwa ukaribu waliwaelekeza watendakazi.
And they did everything faithfully. Now the overseers of the workers were Jahath and Obadiah, from the sons of Merari, and Zechariah and Meshullam, from the sons of Kohath, who were supervising the work. All were Levites who knew how to play musical instruments.
13 Walawi hawa walikuwa viongoziz wa wale waliobeba vifaa vya ujenzi na watu wengine wote waliofanya kazi kwa namna yoyote ile. Pia palikuwa na Walawi ambao walikuwa makatibu, watawala na walinda lango.
Truly, scribes and teachers, from among the Levites who were porters, were over those who were carrying burdens for various uses.
14 Walipoileta fedha ambayo ilikuwa imeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, Hilkia yule kuhani akakiokota kitabu cha sheri ya Yahwe ambacho kilikuwa kimetolewa kupitia Musa.
And when they carried out the money that had been brought into the temple of the Lord, Hilkiah the priest found the book of the law of the Lord by the hand of Moses.
15 Hilkia akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekiokota kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe”. Hilikia akakileta kitabu kwa Shefani.
And he said to Shaphan, the scribe: “I have found the book of the law in the house of the Lord.” And he delivered it to him.
16 Shefani akakipelek kitabu kwa mfalme, na pia akatoa taarifa kwake, akisema, “Watumishi wako wanafanya kila kitu walichokabidhiwa.
Then he took the volume to the king, and he reported to him, saying: “Behold, everything that you entrusted to your servants is completed.
17 Waliitoa feedha yote amabayo ilionekana katika nyumba ya Yahwe, na waliikabidhi katika mikono ya wasimamizi na watendakazi.”
They have melted together the silver that was found in the house of the Lord. And it has been given to the overseers of the artisans and craftsmen for various works.
18 Shefani mwandishi akamwambia mfalme.” Hilkia kuhani amenipa kitabu.” Kisha Shefani akamsomea mfalme katika hicho kitabu.
After this, Hilkiah the priest gave to me this book.” And when he had read it in the presence of the king,
19 Ikawa kwamba mfalme alipokuwa ameyasikia maneno ya sheria, aliyararua mavazi yake.
and he had heard the words of the law, he tore his garments.
20 Mflme akawaamuru Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwaandishi, na Asaya, mtumishi wake, akisema,
And he instructed Hilkiah, and Ahikam, the son of Shaphan, and Abdon, the son of Micah, and also Shaphan, the scribe, and Asaiah, the servant of the king, saying:
21 “Nendeni mkaulize mapenzi ya Yahwe kwa ajili yangu, na kwa wale waliobaki katika Israeli na Yuda, kwa sababu ya maneno ya kitabu ambacho kimeokotwa. Kwa maani ni kikuu, kwa sababu babu zetu hawakuyasikiliza maneno ya kitabu hiki ili kuyatii yote yaliyokuwa yameandikwa ndani yake”. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yanasema “ambayo yamemulikwa zidi yetu”).
“Go, and pray to the Lord for me, and for the remnant of Israel and Judah, concerning all the words of this book, which has been found. For the great fury of the Lord has rained down upon us, because our fathers did not keep the words of the Lord, to do all that has been written in this volume.”
22 Kwa hiyo Hilkia, na wale ambao mfalme alikuwa amewaamuru, wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tohathi mwana wa Hasra, mtunza mavazi (aliishi katika Yerusalemu katika wilaya ya pili), na walizungumza naye katika namna hii.
Therefore, Hilkiah, and those who had been sent with him by the king, went to Huldah, the prophetess, the wife of Shallum, the son of Tokhath, the son of Hasrah, the keeper of the vestments. She was living in Jerusalem, in the second part. And they spoke to her the words which we explained above.
23 Akasema kwao, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema: Mwambie mtu aliyewatuma kwangu,
And she responded to them: “Thus says the Lord, the God of Israel: Tell the man who sent you to me:
24 Hivi ndivyo Yahwe anasema: Ona, niko karibu kuleta maafa juu ya sehemu hii na wakaaaji wake, laana zote zilizoandikwa katika kitabu walichokisoma mbele ya mfalme wa Yuda.
Thus says the Lord: Behold, I will lead in evils over this place, and over its inhabitants, with all the curses that have been written in this book, which they have read before the king of Judah.
25 Kwa sababu wamenisahau na wametoa sadaka za uvumba kwa miungu mingine, ili kwamba waniweke katika hasira kwa matendo yote waliyofanya — kwa hiyo hasira yangu itamiminwa juu ya hii sehemu, na haitazimishwa. (Badala ya “ambayo yamemiminwa juu yetu”, baadhi ya matoleo yana “amabyo yamemlikwa zidi yetu”.)
For they have abandoned me, and they have sacrificed to foreign gods, so that they provoked me to wrath by all the works of their hands. Therefore, my fury will rain down upon this place, and it will not be extinguished.
26 Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliyewatuma kumuuliza Yahwe alichopaswa kufanya, hivi ndivyo mtakavyosema kwake, 'Yahwe, Mungu wa Israeli anasema hivi: Kuhusu maneno uliyosika,
To the king of Judah, who sent you to petition before the Lord, so shall you speak: Thus says the Lord, the God of Israel: Since you listened to the words of this volume,
27 kwa sababu moyo wako ulipondeka, na ulijinyenyekeza mbele yangu ulipoyasikia maneno yake zidi ya sehemu hii na wakaaji wake, na kwa sababu umejinyenyekeza mwenyewe mbele zangu, pia nimekusikiliza —hili ni azimio la Yahwe—
and your heart was softened, and you humbled yourself in the sight of God concerning these things which have been said against this place and against the inhabitants of Jerusalem, and since, revering my face, you have torn your garments, and have wept before me: I also have heeded you, says the Lord.
28 ona, nitakukusanya kwa mababu zako. Utakusanywa katika kaburi lako kwa amani, na macho yako hayataona maafa yoyoye nitakayoleta juu ya sehemu hii na wakaaji wake”. Wale watu wakarudisha ujumbe huu kwa mfalme.
For now I will gather you to your fathers, and you will be brought into your sepulcher in peace. Neither shall your eyes see all the evil that I will lead in, over this place and over its inhabitants.” And so they took back to the king all that she had said.
29 Mfalme akatuma wajumbe na kuwakusanya wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.
And he, calling together all those greater by birth of Judah and Jerusalem,
30 Kisha mfalme akaenda kwenye nyumba ya Yahwe, na watu wote wa Yuda wakaaji wa Yerusalemu, na makuhani, Walawi, na watu wote, kuanzia wakubwa hadi wadogo. Kisha akasoma mbele zao maneno yote ya kitabu cha Agano kilichokuwa kimeokotwa katika nyumba ya Yahwe.
ascended to the house of the Lord, united with all the men of Judah, and the inhabitants of Jerusalem, the priests and the Levites, and all the people, from the least even to the greatest. And in their hearing, in the house of the Lord, the king read all the words of the volume.
31 Mfalme aksimama katika sehemu yake na kufanya aganao mbele za Yahwe, kutembea mbele za Yahwe, na kuzishika amri zake, taratibu zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote na roho yake yote, kuyatii maneno ya agano yaliyokuwa yameandikwa katika agano ambayo yalikuwa yameandikwa katika kitabu hiki.
And standing up at his tribunal, he struck a covenant before the Lord, so that he would walk after him, and would keep his precepts and testimonies and justifications, with his whole heart and with his whole soul, and so that he would do the things that were written in that volume, which he had read.
32 Aliwasababisha wote walioonekana katika Yerusalemu na Benyamini kusimama kwa agano. Wakaaji wa Yerusalemu wakatembea kwa agano la Mungu, Mungu wa babu zao.
Also, concerning this, he bound by oath all who had been found in Jerusalem and Benjamin. And the inhabitants of Jerusalem acted in accord with the covenant of the Lord, the God of their fathers.
33 Yosia akapeleka mbali mambo yote ya machukizo kutoka kwenye nchi iliyomilikiw na watu wa Israeli. Akamfanya kila mtu katika Israeli amwabudu Yahwe, Mungu wao. Kwa maisha siku zake zote, hawakugeka mbali kwa kutomfuata Yahwe, Mungu wa mababu zao.
Therefore, Josiah took away all the abominations from all the regions of the sons of Israel. And he caused all who were remaining in Israel to serve the Lord their God. During all his days, they did not withdraw from the Lord, the God of their fathers.