< 2 Nyakati 33 >
1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
Manassé avait douze ans lorsqu'il devint roi, et il régna cinquante-cinq ans à Jérusalem.
2 Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
Il fit ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, selon les abominations des nations que l'Éternel avait chassées devant les enfants d'Israël.
3 Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
Il rebâtit les hauts lieux qu'Ézéchias, son père, avait démolis; il éleva des autels aux Baals, fit des Asheroth, se prosterna devant toute l'armée du ciel et les servit.
4 Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
Il bâtit des autels dans la maison de Yahvé, dont Yahvé avait dit: « Mon nom sera à Jérusalem pour toujours. »
5 Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
Il bâtit des autels pour toute l'armée du ciel dans les deux parvis de la maison de l'Éternel.
6 Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
Il fit aussi passer ses enfants par le feu dans la vallée du fils de Hinnom. Il pratiquait la magie, la divination et la sorcellerie, et s'adressait à ceux qui avaient des esprits familiers et à des magiciens. Il fit beaucoup de mal à Yahvé, pour l'irriter.
7 Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
Il plaça l'image gravée de l'idole qu'il avait fabriquée dans la maison de Dieu, dont Dieu avait dit à David et à Salomon, son fils: « Dans cette maison et à Jérusalem, que j'ai choisie parmi toutes les tribus d'Israël, je placerai mon nom pour toujours.
8 Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
Je ne retirerai plus le pied d'Israël du pays que j'ai destiné à vos pères, pourvu seulement qu'ils observent et mettent en pratique tout ce que je leur ai prescrit, toute la loi, les statuts et les ordonnances donnés par Moïse. »
9 Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
Manassé séduisit Juda et les habitants de Jérusalem, de sorte qu'ils firent plus de mal que les nations que Yahvé avait détruites devant les enfants d'Israël.
10 Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
Yahvé parla à Manassé et à son peuple, mais ils n'écoutèrent pas.
11 Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
Yahvé fit venir sur eux les chefs de l'armée du roi d'Assyrie, qui enchaînèrent Manassé, le lièrent avec des chaînes et l'emmenèrent à Babylone.
12 Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
Lorsqu'il était dans la détresse, il implorait Yahvé, son Dieu, et s'humiliait grandement devant le Dieu de ses pères.
13 Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
Il le pria, et il fut acclamé par lui, il écouta sa supplication, et il le ramena à Jérusalem dans son royaume. Manassé sut alors que Yahvé était Dieu.
14 Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
Après cela, il bâtit une muraille extérieure à la ville de David, à l'ouest du Gihon, dans la vallée, jusqu'à l'entrée de la porte des poissons. Il en entoura Ophel et l'éleva à une très grande hauteur, et il plaça de vaillants chefs dans toutes les villes fortes de Juda.
15 Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
Il fit disparaître les dieux étrangers et l'idole de la maison de l'Éternel, ainsi que tous les autels qu'il avait bâtis sur la montagne de la maison de l'Éternel et à Jérusalem, et il les jeta hors de la ville.
16 Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
Il rebâtit l'autel de l'Éternel et y offrit des sacrifices de paix et d'actions de grâces, et il ordonna à Juda de servir l'Éternel, le Dieu d'Israël.
17 Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
Le peuple sacrifiait encore sur les hauts lieux, mais seulement à Yahvé, son Dieu.
18 Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
Et le reste des actes de Manassé, et sa prière à son Dieu, et les paroles des voyants qui lui parlaient au nom de l'Éternel, le Dieu d'Israël, voici, ils sont écrits parmi les actes des rois d'Israël.
19 Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
Sa prière aussi, et comment Dieu a exaucé sa demande, et tout son péché et sa faute, et les lieux où il a bâti des hauts lieux et dressé les mâts d'ashère et les images gravées avant de s'humilier: voici, ils sont écrits dans l'histoire de Hozaï.
20 Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
Et Manassé se coucha avec ses pères, et on l'enterra dans sa maison; et Amon, son fils, régna à sa place.
21 Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
Amon avait vingt-deux ans lorsqu'il devint roi, et il régna deux ans à Jérusalem.
22 Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
Il fit ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, comme avait fait Manassé, son père; Amon sacrifia à toutes les images gravées que Manassé, son père, avait faites, et il les servit.
23 Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
Il ne s'humilia pas devant l'Éternel, comme s'était humilié Manassé, son père, mais ce même Amon se rendit de plus en plus coupable.
24 Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
Ses serviteurs conspirèrent contre lui et le firent mourir dans sa propre maison.
25 Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.
Mais le peuple du pays tua tous ceux qui avaient conspiré contre le roi Amon, et le peuple du pays établit roi Josias, son fils, à sa place.