< 2 Nyakati 33 >
1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
son: aged two ten year Manasseh in/on/with to reign he and fifty and five year to reign in/on/with Jerusalem
2 Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
and to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD like/as abomination [the] nation which to possess: take LORD from face: before son: descendant/people Israel
3 Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
and to return: rescue and to build [obj] [the] high place which to tear Hezekiah father his and to arise: raise altar to/for Baal and to make Asherah and to bow to/for all army [the] heaven and to serve: minister [obj] them
4 Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
and to build altar in/on/with house: temple LORD which to say LORD in/on/with Jerusalem to be name my to/for forever: enduring
5 Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
and to build altar to/for all army [the] heaven in/on/with two court house: temple LORD
6 Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
and he/she/it to pass [obj] son: child his in/on/with fire in/on/with Valley son: child (Topheth of son of) Hinnom and to divine and to divine and to practice sorcery and to make: do medium and spiritist to multiply to/for to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD to/for to provoke him
7 Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
and to set: make [obj] idol [the] idol which to make in/on/with house: temple [the] God which to say God to(wards) David and to(wards) Solomon son: child his in/on/with house: home [the] this and in/on/with Jerusalem which to choose from all tribe Israel to set: put [obj] name my to/for ever
8 Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
and not to add: again to/for to turn aside: remove [obj] foot Israel from upon [the] land: soil which to stand: appoint to/for father your except if to keep: careful to/for to make: do [obj] all which to command them to/for all [the] instruction and [the] statute: decree and [the] justice: judgement in/on/with hand: by Moses
9 Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
and to go astray Manasseh [obj] Judah and to dwell Jerusalem to/for to make: do bad: evil from [the] nation which to destroy LORD from face: before son: descendant/people Israel
10 Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
and to speak: speak LORD to(wards) Manasseh and to(wards) people his and not to listen
11 Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
and to come (in): bring LORD upon them [obj] ruler [the] army which to/for king Assyria and to capture [obj] Manasseh in/on/with thistle and to bind him in/on/with bronze and to go: take him Babylon [to]
12 Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
and like/as to constrain to/for him to beg [obj] face of LORD God his and be humble much from to/for face: before God father his
13 Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
and to pray to(wards) him and to pray to/for him and to hear: hear supplication his and to return: return him Jerusalem to/for royalty his and to know Manasseh for LORD he/she/it [the] God
14 Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
and after so to build wall outer to/for city David west [to] to/for Gihon in/on/with torrent: valley and to/for to come (in): towards in/on/with gate [the] Fish (Gate) and to turn: surround to/for Ophel and to exult her much and to set: put ruler strength: soldiers in/on/with all [the] city [the] to gather/restrain/fortify in/on/with Judah
15 Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
and to turn aside: remove [obj] God [the] foreign and [obj] [the] idol from house: temple LORD and all [the] altar which to build in/on/with mountain: mount house: temple LORD and in/on/with Jerusalem and to throw outside [to] to/for city
16 Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
(and to build *Q(K)*) [obj] altar LORD and to sacrifice upon him sacrifice peace offering and thanksgiving and to say to/for Judah to/for to serve: minister [obj] LORD God Israel
17 Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
truly still [the] people to sacrifice in/on/with high place except to/for LORD God their
18 Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
and remainder word: deed Manasseh and prayer his to(wards) God his and word: deed [the] seer [the] to speak: speak to(wards) him in/on/with name LORD God Israel look! they upon Chronicles king Israel
19 Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
and prayer his and to pray to/for him and all sin his and unfaithfulness his and [the] place which to build in/on/with them high place and to stand: stand [the] Asherah and [the] idol to/for face: before be humble he look! they to write upon word: deed seer
20 Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
and to lie down: be dead Manasseh with father his and to bury him house: home his and to reign Amon son: child his underneath: instead him
21 Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
son: aged twenty and two year Amon in/on/with to reign he and two year to reign in/on/with Jerusalem
22 Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
and to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD like/as as which to make: do Manasseh father his and to/for all [the] idol which to make Manasseh father his to sacrifice Amon and to serve: minister them
23 Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
and not be humble from to/for face: before LORD like/as be humble Manasseh father his for he/she/it Amon to multiply guiltiness
24 Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
and to conspire upon him servant/slave his and to die him in/on/with house: home his
25 Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.
and to smite people [the] land: country/planet [obj] all [the] to conspire upon [the] king Amon and to reign people [the] land: country/planet [obj] Josiah son: child his underneath: instead him