< 2 Nyakati 33 >
1 Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na mbili alipoanza kutawala, alitawala miaka hamsini na tano katika Yerusalemu.
Twelve years old was Manasseh when he became king, and fifty and five years did he reign in Jerusalem.
2 Akafanya yalikuwa uovu katika macho ya Yahwe, kama yalivyo mambo ya machukizo ya mataifa ambao Yahwe alikuwa amewafukuza mbele ya watu wa Israeli.
And he did what is evil in the eyes of the Lord, after the abominable acts of the nations whom the Lord had driven out from before the children of Israel.
3 Kwa maana alizijenga tena sehemu za juu ambazo baba yake Hezekia alikuwa amezibomoa, na akajenga madhabahu kwa ajili ya mabaali, akatengeneza sanaamu za Maashera, na akaziinamia chini nyota zote za mbinguni na kuziabudu.
And he built again the high-places which Hezekiah his father had broken down, and he erected altars for the Be'alim, and made Asheroth, and bowed himself down to all the host of heaven, and served them.
4 Manase akajenga madhbahu za kipagani katika nyumba ya Yahwe, ingawa Yahwe alikuwa amemwamuru, “Ni katika Yerusalemu ambamo jina langu litawekwa milele”.
And he built altars in the house of the Lord, whereof the Lord had said, In Jerusalem shall my name be for ever.
5 Alijenga madhabahu kwa ajili ya nyota zote za mbinguni katika vile viwanja viwili vya nyumba ya Yahwe.
And he built altars for all the host of heaven in the two courts of the house of the Lord.
6 Katika bonde la Beni Hinomu akawaweka wanaye katika moto. Akafanya misemo ya ubashiri, na uchawi, akassoma utabiri; akashauriana na wale waliozungumza na wafu na wale waliozungumza na na roho. Akafanaya maaovu mengi katika mcho ya Yahwe na alimfanya Mungu akasirike.
And he caused his children to pass through the fire in the valley of Ben-hinnom: he also observed times, and employed enchantments, and used witchcraft, and dealt with [those of] a familiar spirit, and with wizards: he did much that is evil in the eyes of the Lord, to provoke him to anger.
7 Ile sanamu ya Maashera aliyokuwa amefanya, akaipeleka katika nyumba ya Mungu. Ni kuhusu nyumba hii ambayo Mungu alikuwa amesema kwa Daudi na Selemani mwanaye; alikuwa amesema, “Ni katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambao nimeuchangua kutoka makabila yote ya Israeli, kwamba nitaliweka jina langu milele.
And he placed a carved image of the idol which he had made in the house of God, of which God had said to David and to Solomon his son, In this house, and in Jerusalem, which I have made choice of out of all the tribes of Israel, will I place my name for ever.
8 Sitawaondoa tena watu wa Israeli katina nchi hii ambayo niliitoa kwa babu zao, ikiwa tu watakuwa makini katika kuyashika yote niliyowaamuru, kuzishika sheria zangu, amri zangu, na sheria zangu nilizowapa kupitia Musa.”
Nor will I any more remove the foot of Israel from off the land which I have appointed for your fathers; but only if they will take heed to do all that I have commanded them, according to the whole law and the statutes and the ordinances by the hand of Moses.
9 Manase akawaongoza Yuda na wakaaji wa Yerusalemu hata kufanya uovu zaidi kuliko hata watu wa mataifa ambao Yahwe alikuwa amewateketeza mbele za Israeli.
But Menasseh led Judah and the inhabitants of Jerusalem astray, to do worse than the nations whom the Lord had destroyed from before the children of Israel.
10 Yahwe akasema kwa Manase, na kwa watu wake wote, lakini hawakumsikiliza.
And the Lord spoke to Menasseh, and to his people; but they listened not.
11 Kwa hiyo Yahwe akaleta juu yao maamri jeshsi wa jeshi la Ashuru, ambao walimchukua Manase katika minyonyoro, wakamfunga kwa pingu, na wakampeleka Babeli.
Wherefore the Lord brought over them the captains of the army belonging to the king of Assyria: and they took Menasseh prisoner with chains, and bound him with fetters, and led him off to Babylon.
12 Manase alipokuwa katika dhika, alimuomba Yahwe, Mungu wake, na akajinyenyekesha sana mbele za Mungu wa babu zake.
And when he was in distress, he besought the Lord his God, and humbled himself greatly before the God of his fathers.
13 Akaomba kwake; na Mungu akamsikiliza, na Mungu akasikia kuomba kwake na akamrudisha Yerusalemu, katika ufalme wake. Kisha Manase akafahamu kwamba Yahwe alikuwa Mungu.
And he prayed unto him, and he permitted himself to be entreated by him, and heard his supplication, and brought him back to Jerusalem, unto his kingdom. Then did Menasseh feel conscious that the Lord is indeed the [true] God.
14 Baada ya hayo, manase akajenga ukuta wa nje ya mji wa Daudi, upande wa magharibi wa Gihoni, katika bonde, hadi kwenye lango la Samaki. Akauzungushia mlima wa Ofeli na akaupandisha ukuta hadi usawa mrefu sana. Akaweka maamri jeshi jasiri katika ngome zote za miji ya Yuda.
And after this he built a wall without the city of David, on the west side of Gichon, in the valley, even to the entrance of the fish-gate, and about the hill-fort, and raised it up to a very great height; and he placed captains of the army in all the fortified cities of Judah.
15 Akaipeleka mbali miungu yote ya kigeni, akaondoa sanamu zote kwenye nyumba ya Yahwe, na madhabahu zote ambazo alikuwa amejenga juu ya mlima wa nyumba ya Yahwe na katika Yerusalemu, na kuvitupa nje ya mji.
And he removed the strange gods and the idol out of the house of the Lord, and all the altars that he had built on the mount of the house of the Lord, and in Jerusalem, and he cast them forth to without the city.
16 Akaijenga tena madhabahu ya Yahwe na juu yake akatoa sadaka za amani na sadaka za shukrani; akamwamuru Yuda amtumikie Yahwe, Mungu wa Israeli.
And he rebuilt the altar of the Lord, and sacrificed thereupon peace-offerings and thanksgiving-offerings, and he ordered Judah to serve the Lord the God of Israel.
17 Hata hivyo watu bado walitoa sadaka mahali pa sehemu za juu, lakini kwa Yahwe, Mungu wao pekee.
Nevertheless the people sacrificed on the high-places, but only unto the Lord their God.
18 Katika mambo mengine kuhusu Manase, maombi yake kwa Mungu wake, na maneno ya waonaji ambao walisema kwake katika jina la Yahwe, Mungu wa Israeli, tazama, yameandikwa miongoni mwa matendo ya wafalme wa Israeli.
And the rest of the acts of Menasseh, and his prayer unto his God, and the words of the seers that spoke to him in the name of the Lord the God of Israel, behold, they are in the history of the kings of Israel.
19 Katika matukio hayo kuna historia ya maombi yake, na jinsi Mungu alivyoguswa na maomabi hayo. Pia kuna kumbu kumbu ya dhambi zake zote na makosa yake, na sehemu ambako alikuwa amejenga sehemu za juu na kuzisimamisha Maashera na sanamu za kuchonga, kambla ya kujinyenyekesha mwenyewe — na imeandikwa kuhusu hayo katika tarehe ya waonaji. (Maandishi ya kale yanasema hivi, “tarehe ya Hozai,” ambayo ni maandishi ya kifungu asili. Lakini matoleo mengi ya kisasa yamesahihisha na kusomeka “tarehe ya waonaj” Pia, matoleo machache ya kisasa yanasema “tarehe ya waonaji”.).
His prayer also, and [how God] was entreated of him, and all his sins and his faithlessness, and the places whereon he built high-places, and set up the Asherim and the graven images, before he was humbled: behold, they are written in the history of Chozai.
20 Kwa hiyo Manase akalala na babu zake, na wakamzika katika nyumba yake mwenyewe. Amoni, mwaye, akawa mfalme katika nafasi yake.
And Menasseh slept with his fathers, and they buried him in his own house. And Amon his son became king in his stead.
21 Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na mbili alipoanza kutawala; alitawala miaka miwili katika Yerusalemu.
Two and twenty years old was Amon when he became king, and two years did he reign in Jerusalem.
22 Akafanya yaliyokuwa uovu katika macho ya Yaahwe, kama Manase, baba yake, alivyofanya. Amoni alitoa sadaka katika sanamau zote za kuchonga ambazo alitengeneza Manase baba yake, na aliziabudu.
And he did what is evil in the eyes of the Lord, as Menasseh his father had done; and unto all the carved images which Menasseh his father had made did Amon sacrifice, and them he served;
23 Hakujinyenyekesha mbele za Yahwe, kama baba yake Manase alivyokuwa amefanya. Badala yake, Amoni huyu huyu alifanya makosa zaidi na zaidi.
But he did not humble himself before the Lord, as Menasseh his father had humbled himself; for he, Amon, made his guiltiness great.
24 Watumishi wake wakapanga njama wa zidi yake na wakamua katika nyumba yake mwenyewe.
And his servants conspired against him, and put him to death in his own house.
25 Lakini watu wa nchi wakawaua wote waliofanya njama zidi ya Mfalme Amoni, na wakamfanya Yosia, mwanaye, mfalme katika nafasi yake.
But the people of the land slew all those that had conspired against king Amon; and the people of the land made Josiah his son king in his stead.