< 2 Nyakati 32 >

1 Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
Po teh stvareh in ustanovitvi tega je prišel asirski kralj Senaherib, vstopil v Juda, se utaboril zoper utrjena mesta in mislil, da jih osvoji zase.
2 Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
Ko je Ezekíja videl, da je Senaherib prišel in da se je namenil, da se bojuje zoper Jeruzalem,
3 aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
se je posvetoval s svojimi princi in svojimi mogočnimi možmi, da zamaši vodne studence, ki so bili zunaj mesta, in ti so mu pomagali.
4 Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
Tako je bilo tam skupaj zbranih veliko ljudi, ki so zamašili vse studence in potok, ki je tekel čez sredo dežele, rekoč: »Zakaj bi prišli asirski kralji in našli mnogo vode?«
5 Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
Prav tako se je okrepil in pozidal vse obzidje, ki je bil porušeno in ga dvignil k stolpom in drugi zid zunaj in popravil Miló v Davidovem mestu ter naredil puščic in ščitov v obilju.
6 Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
Nad ljudstvom je postavil vojne poveljnike in jih zbral skupaj k sebi na ulici velikih vrat mesta in jim tolažilno govoril, rekoč:
7 “Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
»Bodite močni in pogumni, ne bodite prestrašeni niti zaprepadeni zaradi asirskega kralja niti zaradi vse množice, ki je z njim, kajti z nami jih je več kakor z njim.
8 walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
Z njim je mesen laket, toda z nami je Gospod, naš Bog, da nam pomaga in da bori naše bitke.« In ljudstvo se je opiralo na besede Judovega kralja Ezekíja.
9 Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
Za tem je asirski kralj Senaherib poslal svoje služabnike v Jeruzalem, (toda on sam je oblegal Lahíš in vsa njegova moč z njim) k Judovemu kralju Ezekíju in vsemu Judu, ki so bili v Jeruzalemu, rekoč:
10 “Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
»Tako govori asirski kralj Senaherib: ›Komu zaupate, da ostajate v obleganem Jeruzalemu?
11 Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
Mar vas Ezekija ne prepričuje, da bi se prepustili smrti zaradi lakote in žeje, rekoč: › Gospod, naš Bog, nas bo osvobodil iz roke asirskega kralja?‹
12 Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
Mar ni isti Ezekíja odstranil njegove visoke kraje in njegove oltarje ter zapovedal Judu in Jeruzalemu, rekoč: ›Oboževali boste pred enim oltarjem in na njem zažigali kadilo?‹
13 Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
Ne veste, kaj smo jaz in moji očetje storili vsem ljudstvom drugih dežel? Mar so bili bogovi narodov tistih dežel kakorkoli zmožni svoje dežele osvoboditi iz moje roke?
14 Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
Kdo je bil tam med vsemi bogovi tistih narodov, ki so jih moji očetje popolnoma uničili, ki bi lahko osvobodil svoje ljudstvo iz moje roke, da bi vas bil vaš Bog zmožen osvoboditi iz moje roke?
15 Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
Zdaj torej naj vas Ezekíja ne zavede niti pregovori o tej zadevi niti mu še ne verjemite, kajti noben bog iz kateregakoli naroda ali kraljestva ni bil zmožen osvoboditi svojega ljudstva iz moje roke in iz roke mojih očetov. Kako veliko manj vas bo vaš Bog osvobodil iz moje roke?«
16 Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
Njegovi služabniki so še bolj govorili zoper Gospoda Boga in zoper njegovega služabnika Ezekíja.
17 Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
Napisal je tudi pisma, da udriha po Gospodu, Izraelovemu Bogu in da govori zoper njega, rekoč: »Kakor bogovi narodov drugih dežel niso osvobodili svojih ljudstev iz moje roke, tako Ezekíjev Bog ne bo osvobodil svojega ljudstva iz moje roke.«
18 Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
Potem so z močnim glasom zaklicali v Judovskem jeziku jeruzalemskemu ljudstvu, ki so bili na obzidju, da jih prestrašijo in da jih vznemirijo, da bi lahko zavzeli mesto.
19 Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
Govorili so zoper jeruzalemskega Boga kakor zoper bogove ljudstev zemlje, ki so bili delo človeških rok.
20 Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
Zaradi tega razloga sta kralj Ezekíja in prerok Izaija, Amócov sin, molila in klicala k nebu.
21 Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
In Gospod je poslal angela, ki je usmrtil vse močne junaške može ter voditelje in poveljnike v taboru asirskega kralja. Tako se je ta z osramočenim obrazom vrnil k svoji lastni deželi. Ko pa je prišel v hišo svojega boga, sta ga tam z mečem usmrtila tista [dva], ki sta prišla iz njegovih lastnih ledij.
22 Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
Tako je Gospod rešil Ezekíja in prebivalce Jeruzalema iz roke asirskega kralja Senaheriba in iz roke vseh drugih ter jih usmerjal na vsaki strani.
23 Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
Mnogi so Gospodu prinašali darila v Jeruzalem in darila Judovemu kralju Ezekíju, tako da je bil od takrat naprej poveličan v očeh vseh narodov.
24 Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
V tistih dneh je bil Ezekíja na smrt bolan in molil h Gospodu in ta mu je spregovoril ter mu dal znamenje.
25 Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
Toda Ezekíja ni povrnil glede na korist, izkazano njemu, kajti njegovo srce je bilo povzdignjeno. Zato je bil bes nad njim, nad Judom in [nad] Jeruzalemom.
26 Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
Vendar se je Ezekíja ponižal zaradi ošabnosti svojega srca, tako on kakor prebivalci Jeruzalema, tako da v Ezekíjevih dneh Gospodov bes ni prišel nadnje.
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
Ezekíja je imel silno veliko bogastev in časti. Naredil si je zakladnice za srebro, zlato, dragocene kamne, dišave, ščite in za vse vrste prijetnih dragocenosti;
28 Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
tudi skladišča za donos od žita, vina in olja in hleve za vse vrste živali in staje za trope.
29 Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
Poleg tega si je priskrbel mesta, posesti tropov in čred v obilju, kajti Bog mu je dal zelo veliko imetja.
30 Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
Ta isti Ezekíja je tudi ustavil gornji vodni tok Gihona in ga privedel naravnost dol k zahodni strani Davidovega mesta. Ezekíja je uspeval v vseh svojih delih.
31 Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
Vendar ga je v zadevi predstavnikov babilonskih princev, ki so poslali k njemu, da povprašajo o čudežu, ki je bil storjen v deželi, Bog zapustil, da ga preizkusi, da bi lahko spoznal vse, kar je bilo v njegovem srcu.
32 Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Torej preostala izmed Ezekíjevih dejanj in njegova dobrota, glej, zapisana so v videnju preroka Amócovega sina Izaija ter v knjigi Judovih in Izraelovih kraljev.
33 Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.
Ezekíja je zaspal s svojimi očeti in pokopali so ga v glavnem izmed mavzolejev Davidovih sinov. Ves Juda in prebivalci Jeruzalema so mu ob njegovi smrti izkazali čast. Namesto njega je zakraljeval njegov sin Manáse.

< 2 Nyakati 32 >