< 2 Nyakati 32 >
1 Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
Tukun ouiya wo su Tokosra Hezekiah el oru ke kulansap oaru lal nu sin LEUM GOD, Sennacherib, Tokosra Fulat lun Assyria, el utyak mweuni acn Judah. El kuhlusya siti ma akkeyeyukla, ac sap nu sin mwet mweun lal in fokolak pot uh ac utyak nu in siti uh.
2 Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
Ke Hezekiah el akilen lah Sennacherib el akoo in mweuni pac acn Jerusalem,
3 aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
na el sramsram yurin mwet pwapa lal ac mwet mweun watwen lal, tuh elos in kunausla unon in kof ma oan likin siti uh. Na elos kasrel ke pwapa sac.
4 Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
Mwet puspis fahsreni, ac elos tulokinya unon in kof ac sungan infacl srisrik ma oasr in acn sac. Elos fahk, “Lela in wanginna kof nu sin mwet Assyria elos fin sun acn inge.”
5 Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
Ac tokosra el akkeyala ma loangeyen siti uh ke el akwoyela pot we, ac musaela tower fin pot uh, ac musaela sie pac pot nu likin pot uh. Sayen ma inge el aksasuyela pac acn ma musaiyuk ke acn se ma koaneyukla layen nu kutulap in Siti sel David. El oayapa sap in orekla osra in fakfuk ac mwe loeyuk pukanten.
6 Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
El oakiya mwet nukewa in siti uh ye kolyuk lun captain lun mwet mweun, ac sap elos in tukeni ke nien tukeni se ke mutunpot lun siti uh. Ac el fahk nu selos,
7 “Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
“Kowos in ku ac pulaik na. Nikmet sangeng sin Tokosra Fulat lun Assyria ac mwet mweun pus lal. Oasr ku yorosr lukel.
8 walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
El kukin ku lun mwet, a LEUM GOD pa wi kut ac kasrekut ke mweun lasr.” Ac mwet uh pulaikla ke kas lun tokosra lalos.
9 Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
In kutu pacl tok, ke Sennacherib ac mwet mweun lal srakna oasr Lachish, el supwala kas inge nu sel Hezekiah ac mwet Judah su welul muta Jerusalem:
10 “Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
“Nga, Sennacherib, Tokosra Fulat lun Assyria, siyuk lah mea kowos lulalfongi pwanang kowos mutana Jerusalem, ke nga akola in mweuni kowos uh?
11 Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
Hezekiah el fahk mu LEUM GOD lowos El ac molikowosla liki ku lasr, tusruktu Hezekiah el kiapwekowos. El ac oru kowos in misa ke masrinsral ac malu.
12 Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
El pa kunausla nien alu ac loang lun LEUM GOD, ac fahk nu sin mwet Judah ac Jerusalem mu elos in alu ac akosak mwe keng ke loang sefanna.
13 Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
Mea, kowos tia etu ma nga ac papa tumuk oru nu sin mwet in mutunfacl saya? Ya god lun mutunfacl saya molela mwet lalos liki Tokosra Fulat lun Assyria?
14 Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
Nu oasr pacl god lun mutunfacl saya molelosla liki kut? Na mea se oru kowos nunku mu god lowos el ac ku in molikowosla kac?
15 Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
Nimet lela Hezekiah elan kiapwekowos ac aktafongyekowosla. Nimet lulalfongel! Wangin sie god lun kutena mutunfacl ku in molela mwet lal liki Tokosra Fulat lun Assyria. Kalem na lah god lowos el tia pac ku in molikowosla!”
16 Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
Mwet pwapa lun mwet Assyria elos fahk ma koluk na yohk ke LEUM GOD ac kacl Hezekiah, mwet kulansap lun LEUM GOD.
17 Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
Tokosra Fulat lun Assyria el supwala leta se su arulana akkolukye LEUM GOD lun Israel. Pa inge kas ke leta sac: “God lun mutunfacl saya tiana molela mwet lalos liki ku luk. Ouinge, god lal Hezekiah el tia pac ku in molela mwet lal likiyu.”
18 Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
Mwet pwapa lal elos wowoyak ke fahkyen kas inge in kas Hebrew, in aksangengye mwet ma muta fin pot lun siti uh elos in sepulaikla, na ac fisrasr in sruhu siti sac.
19 Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
Elos kaskas ke God lun Jerusalem oana ke elos kaskas ke god lun mutunfacl saya, su ma sruloala orekla ke poun mwet.
20 Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
Na Tokosra Hezekiah ac mwet palu Isaiah, wen natul Amoz, eltal pre nu sin God ac pang in suk kasre sel.
21 Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
LEUM GOD El supwala sie lipufan su uniya mwet mweun Assyria oayapa mwet kol lalos. Na Tokosra Fulat sac mwekinla ac folokla nu Assyria. Sie len ah, ke el muta in tempul lun god lal, kutu sin wen natul elos unilya ke cutlass natulos.
22 Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
Ouinge LEUM GOD El molella Tokosra Hezekiah ac mwet Jerusalem liki ku lal Sennacherib, Tokosra Fulat lun Assyria, oayapa liki mwet lokoalok lalos saya. El oru in oasr misla inmasrlon mwet Judah ac mutunfacl nukewa su raunelosla.
23 Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
Mwet puspis tuku nu Jerusalem, ac use mwe sang lalos nu sin LEUM GOD, ac mwe lung nu sel Hezekiah. Ouinge ke pacl se inge fahla, mutunfacl nukewa akfulatyal Hezekiah.
24 Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
In pacl se inge Tokosra Hezekiah el masak ac el apkuran in misa. El pre, ac LEUM GOD El sang sie mwe akul nu sel lah el ac kwela.
25 Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
Tusruktu Hezekiah el inse fulatak ac tia lungse akkalemye srui lal ke ma LEUM GOD El oru nu sel, pwanang acn Judah ac Jerusalem akkeokyeyuk kac.
26 Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
Na tok, Hezekiah ac mwet Jerusalem elos sifacna akpusiselyalos, ouinge LEUM GOD El tia kalyaelos nwe ke na Hezekiah el misa.
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
Tokosra Hezekiah el arulana kasrupi, ac mwet nukewa akfulatyal. El sap in orekla nien filma nu ke gold, silver, eot saok, mwe akyuye mongo, mwe loeyuk, ac kutu pac ma saok.
28 Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
El sap pac in musaiyuk lohm in neinyuk fokin ima, wain, oil in olive, oayapa lohm sin cow, ac kalkal in sheep.
29 Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
Sayen ma inge nukewa, God El sang pukanten sheep ac cow natul, wi pac mwe kasrup lulap, pwanang el musaela siti na pukanten.
30 Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
Tokosra Hezekiah pa kosrala Unon in Kof Gihon, ac orala laf soko tuh kof uh in ut ye pot uh yak nu in siti Jerusalem. Hezekiah el kapkapak in ma nukewa el oru.
31 Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
Finne ke pacl se mwet roso sin leum lun Babylonia elos tuku in lolngok ke ouiya usrnguk se ma tuh sikyak in facl sac, God El lela nu sel Hezekiah in fahsrna ke sulela lal sifacna, tuh Elan srikal ac etu lah fuka ouiyen nunak na pwaye lal.
32 Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Ma nukewa saya ma Tokosra Hezekiah el orala, ac lungse lal nu sin LEUM GOD, simla in book se pangpang [Aruruma Lun Mwet Palu Isaiah, Wen Natul Amoz], oayapa ke [Sramsram Matu Ke Tokosra Lun Judah Ac Israel].
33 Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.
Hezekiah el misa ac pukpuki ke ipin acn se oan lucng ke kulyuk lun mwet leum. Mwet nukewa lun Judah ac Jerusalem arulana akfulatyal ke pacl se el misa, ac Manasseh, wen natul, el aolul in tokosra.