< 2 Nyakati 32 >

1 Baada ya mambo haya na matendo haya ya uaminifu, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, akaja na kuingia Yuda. Alipiga kambi kwa ajili ya kuivamia miji yenye ngome, ambayo alikusudia kuiteka kwa ajili yake.
after [the] word: thing and [the] truth: faithful [the] these to come (in): besiege Sennacherib king Assyria and to come (in): besiege in/on/with Judah and to camp upon [the] city [the] to gather/restrain/fortify and to say to/for to break up/open them to(wards) him
2 Sedekia alipoona kwamba Senakeribu amekuja na kwamba amedhamiria kupigana zidi ya Yerusalemu,
and to see: see Hezekiah for to come (in): come Sennacherib and face his to/for battle upon Jerusalem
3 aliwashirikisha viongozi wake na watu wake wenye nguvu kuyazuia maji ya chemichemi yaliyokuwa nje ya mji; waalimsaidia kufanya hivyo.
and to advise with ruler his and mighty man his to/for to close [obj] water [the] spring which from outside to/for city and to help him
4 Kwa hiyo watu wengi wakakusanyika na kuyazuia maji ya chemichemi zote na mikondo yote amabayo ilikuwa inatiririka katikati ya nchi. wakasema, “Kwa nini mfalme wa Ashuru aje na kupata maji mengi?”
and to gather people many and to close [obj] all [the] spring and [obj] [the] torrent: river [the] to overflow in/on/with midst [the] land: country/planet to/for to say to/for what? to come (in): come king Assyria and to find water many
5 Hezekia akijipa ujasiri na kuujeenga ukuta wote uliokuwa umeangushwa chini. Akaijenga minara mirefu, na pia ukuta mwingine nje. Pia akaiimarisha Milo katika mji wa Dudi, na akafanya kiasi kikubwa cha silaha na ngao. (Maanshi ya kale yanasema hivi: “Badala ya, “akajenga minara amirefu”, baadhi ya matoleo ya zamani na kisasa yanasema, “akajenga minara mirefu juu yake”, Hii ni juu ya ukuta).
and to strengthen: persevere and to build [obj] all [the] wall [the] to break through and to ascend: establish upon [the] tower and to/for outside [to] [the] wall another and to strengthen: persevere [obj] [the] Millo city David and to make missile to/for abundance and shield
6 Akaweka maamri jeshi juu wa watu. Akawakusanya pamoja kwake katika sehemu pana kwenye lango la mji na akasema kwao kwa ujasiri. Akasema,
and to give: put ruler battle upon [the] people and to gather them to(wards) him to(wards) street/plaza gate [the] city and to speak: speak upon heart their to/for to say
7 “Muwe imara na wenye ujasiri mzuri. Msiogope wala kukata tamaa kwa sababu ya mfalme wa Ashuru na jeshi lote ambalo liko naye, kwa maana kuna mtu yuko pamoja nasi ambaye ni mkuu kuliko
to strengthen: strengthen and to strengthen not to fear and not to to be dismayed from face: before king Assyria and from to/for face: before all [the] crowd which with him for with us many from from with him
8 walio naye mfalme wa Ashuru. walionaye ni jeshi la mwili tu, lakini aliye nasi ni Yahwe, Mungu wetu, kwa ajili ya kutusaidia, na kupiagana vita vyetu.” Kisha watu wakajifariji wenyewe kwa maneno ya Hezekia, mfalme wa Yuda.
with him arm flesh and with us LORD God our to/for to help us and to/for to fight battle our and to support [the] people upon word Hezekiah king Judah
9 Baada ya hayo, Senakeribu, mfalme wa Ashuru, aliwatuma watumishi wake kwenda Yetusalemu (sasa alikuwa mbe ya Lakishi, na jeshi lake lote lilikuwa pamoja naye), kwa Hezekia, mfaalme wa Yuda, na watu wote wa Yuda walikuwa Yerusalemu. Akasema,
after this to send: depart Sennacherib king Assyria servant/slave his Jerusalem [to] and he/she/it upon Lachish and all dominion his with him upon Hezekiah king Judah and upon all Judah which in/on/with Jerusalem to/for to say
10 “Hivi ndivyo Senakeribu, mfalme wa Ashuru, anasema: Ni kitu gani mnategemea kwa ajili ya kuhimili uvamizi katika Yerusalemu?
thus to say Sennacherib king Assyria upon what? you(m. p.) to trust and to dwell in/on/with siege in/on/with Jerusalem
11 Je, Hezekia hawapotoshi ninyi, ili kwamba awatoe kufa kwa njaa na kiu, anapowaambia, “Yahwe Mungu wetu atatuokoa na mkono wa mfalme wa Ashuru?
not Hezekiah to incite [obj] you to/for to give: give [obj] you to/for to die in/on/with famine and in/on/with thirst to/for to say LORD God our to rescue us from palm king Assyria
12 Je, siyo Hezekia yule yule ambaye amezipeleka juu sehemu zake na madhabahu zake na kuwaamuru Yuda na Yerusalemu, juu ya madhabahu moja lazima muabudu, na juu yake lazima mchome sadaka zenu?
not he/she/it Hezekiah to turn aside: remove [obj] high place his and [obj] altar his and to say to/for Judah and to/for Jerusalem to/for to say to/for face: before altar one to bow and upon him to offer: offer
13 Je, hamjui mimi na babu zangu tulifanya nini kwa makundi ya wote wa inchi zingine? Je, miungu ya watu wa hizo nchi iliweza kwa njia yoyote kuziokoa nchi zao zidi ya nguvu zangu?
not to know what? to make: do I and father my to/for all people [the] land: country/planet be able be able God nation [the] land: country/planet to/for to rescue [obj] land: country/planet their from hand: power my
14 Miongoni mwa miungu yote ya mataifa hayo amabayo babu zangu waliwatekeza, je, kulikuwa na muungu yeyote aliyeweza kuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu? Itakuwaje Mungu wenu aweze kuwakoa ninyi zidi ya nguvu zangu?
who? in/on/with all God [the] nation [the] these which to devote/destroy father my which be able to/for to rescue [obj] people his from hand: power my for be able God your to/for to rescue [obj] you from hand: power my
15 Sasa msimuruhusu Hezekia awadanganye au kuwashawishi katika njia hii. Msimwamini, kwa maana hakuna muungu wa taifa lolote au ufalme amewahi kuwaokoa watu wake nje ya mkono wangu, au nje ya mkono wa babu zangu. Sembuse na Mungu wenu kwa namna gani atawaokoa na mkono wangu?
and now not to deceive [obj] you Hezekiah and not to incite [obj] you like/as this and not be faithful to/for him for not be able all god all nation and kingdom to/for to rescue people his from hand: power my and from hand: power father my also for God your not to rescue [obj] you from hand: power my
16 Watumishi wa Senakeribu hata walinena mabaya zaidi juu ya Yahwe Mungu na juu ya mtumishi wake Hezekia.
and still to speak: speak servant/slave his upon LORD [the] God and upon Hezekiah servant/slave his
17 Senakeribu pia akandika barua ili kumdhihaki Yahwe, Mungu wa Israeli, na kunena kinyume naye. Alisema, “Kama ambavyo miungu ya mataifa haikuwaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu, hivyo hivyo na Mungu wa Hezekia hatawaokoa watu wake kutoka kwenye mkono wangu.”
and scroll: document to write to/for to taunt to/for LORD God Israel and to/for to say upon him to/for to say like/as God nation [the] land: country/planet which not to rescue people their from hand: power my so not to rescue God Hezekiah people his from hand: power my
18 Wakawalilia kwa lugha ya Wayahudi watu wa Yerusalemu waliokuwa juu ya ukuta, ili kuwaogopesha na kuwasumbua, ili kwamba waweze kuuteka mji.
and to call: call out in/on/with voice great: large Judahite upon people Jerusalem which upon [the] wall to/for to fear them and to/for to dismay them because to capture [obj] [the] city
19 Wakamnenea Mungu wa Yerusalemu kama walivyowanenea miungu wa Dunia, ambao ni kazi ya mikono ya wanadamu tu.
and to speak: speak to(wards) God Jerusalem like/as upon God people [the] land: country/planet deed: work hand [the] man
20 Hezekia, mfalme, na Isaya mwana wa Amozi, nabii, wakaomba kwa sababu ya jambo hili na wakalia hadi mbinguni.
and to pray Hezekiah [the] king and Isaiah son: child Amoz [the] prophet upon this and to cry out [the] heaven
21 Yahwe akatuma malaika, ambaye aliwaua wanaume wa kupigana vita, majemedari, na maakida wa mfalme katika kambi. Kwa hiyo Senakeribu akarudi katika nchi yake akiwa na uso wa aibu. Alipokuwa ameenda katika nyumba ya muungu wake, baadhi ya watoto wake wakamuua huko kwa upanga.
and to send: depart LORD messenger: angel and to hide all mighty man strength and leader and ruler in/on/with camp king Assyria and to return: return in/on/with shame face to/for land: country/planet his and to come (in): come house: temple God his (and from offspring *Q(K)*) belly his there to fall: kill him in/on/with sword
22 Katika namna hii, Yahwe akamwokoa Hezekia na wakazi wa Yerusalemu kutoka kwenye mkono wa Senakeribu, mfalme wa Ashuru, na kutoka kwenye mikono ya wengine, na akawapa pumzika juu ya kila upande. (Maandishi ya kale yanasema hivi: badala ya “akawapa pumziko juu ya kila pande”, baadhi ya matoleo ya zamani na ya kisasa yanasema, “akawaongoza juu ya kila pande”).
and to save LORD [obj] Hezekiah and [obj] to dwell Jerusalem from hand: power Sennacherib king Assyria and from hand: power all and to guide them from around: side
23 Wengi walikuwa wakileta sadaka kwa Yahwe katika Yarusalemu, na zawadi za thamani kwa Hezekia mfalme wa Yuda, kwa hiyo aliinuliwa mbele za macho ya mataifa yote toka wakati huo na kuendelea.
and many to come (in): bring offering: gift to/for LORD to/for Jerusalem and precious thing to/for Hezekiah king Judah and to lift: exalt to/for eye: seeing all [the] nation from after so
24 Katika siku hizo Hezekia akaugua hadi hatua ya kufa. Akaomba kwa Yahwe, ambaye alisema kwake na kumpa ishara kwamba angeponywa.
in/on/with day [the] they(masc.) be weak: ill Hezekiah till to/for to die and to pray to(wards) LORD and to say to/for him and wonder to give: give to/for him
25 Lakini Hezekia hakumlipa Yahwe kwa ajili ya msaada uliotolewa kwake, kwa maana moyo wake uliinuliwa juu.
and not like/as recompense upon him to return: return Hezekiah for to exult heart his and to be upon him wrath and upon Judah and Jerusalem
26 Kwa hiyo hasira ikaja juu yake, na juu ya Yuda na Yerusalemu. Hata hivyo, baadaye Hezekia alijinyenyekesha mwenyewe kwa jali ya kiburi cha moyo wake, wote Yeye na wakaaji wa Yerusalemu, hivyo hasira ya Yahwe haikuja juu yao wakati wa siku za Hezekia.
and be humble Hezekiah in/on/with height heart his he/she/it and to dwell Jerusalem and not to come (in): come upon them wrath LORD in/on/with day Hezekiah
27 Hezekia alikuwa na utajiri mwingi sana na heshima kubwa. Alijipatia mwenyewe vyumba vya kuhifadhia kwa ajili ya fedha, dhahabu, vito vya thamani, na kwa ajili ya manukato, na kwa ajili ya ngao na na vyombo vyote vya thamani pia.
and to be to/for Hezekiah riches and glory to multiply much and treasure to make to/for him to/for silver: money and to/for gold and to/for stone precious and to/for spice and to/for shield and to/for all article/utensil desire
28 Pia alikuwa na nyumba za maghala kwa ajili ya mavuno ya nafaka, divai mpya, na mafuta, na malisho kwa ajili ya aina zote za wanyama.
and storage to/for produce grain and new wine and oil and stall to/for all animal and animal and flock to/for stall
29 Pia alikuwa na makundi katika mazizi. Zaidi ya hayo, alijipatia mwenyewe miji na makundi ya na ng'ombe kwa wingi, kwa maana Mungu alaikuwa amempa afya tele. (Maandishi ya kale yanasema hivi: Badala ya “miji” baadji ya matoleo ya kisasa yanasema “punda”, na baadhi mengine ya kisasa yanaacaha neno nzima)
and city to make to/for him and livestock flock and cattle to/for abundance for to give: give to/for him God property many much
30 Alikuwa ni Hezekia huyu huyu ambaye alisimamisha chemi chemi ya juu ya maji ya Gihoni, na aliye ileta moja kwa moja chini upande wa magharibi mwa mji wa Daudi. Hezekia alifanikiwa katika miradi yake yote.
and he/she/it Hezekiah to close [obj] exit water Gihon [the] high and to smooth them to/for beneath west [to] to/for city David and to prosper Hezekiah in/on/with all deed his
31 Hata hivyo, katika jambo la mabolozi wa wakuu wa Babeli, waliotumwa kwake kuwauliza waliofahamu, kuhusu ishara za miujiza iliyokuwa imefanywa katika nchi, Mungu alimwachia mwenyewe, ili kumjaribu, na kujua yote yaliyokuwa katika moyo wake.
and so in/on/with to mock ruler Babylon [the] to send: depart upon him to/for to seek [the] wonder which to be in/on/with land: country/planet to leave: forsake him [the] God to/for to test him to/for to know all in/on/with heart his
32 Kwa mambo mengine kuhusu Hezekia, pamoja na matendo yake ya uaminifu wa agano, unaweza kuona kwamba yameandikwa katika Maono ya Nabii Isaya Mwana wa Amozi, na katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
and remainder word: deed Hezekiah and kindness his look! they to write in/on/with vision Isaiah son: child Amoz [the] prophet upon scroll: book king Judah and Israel
33 Hezekia akalala pamaoja na babu zake, na wakamzika katika mlima wa makaburi ya vizazi vya Daudi. Yuda wote na wakaaji wa Yerusalemu wakamheshimu katika kifo chake. Manase mwanaye akawa mfalme katika nafasi yake.
and to lie down: be dead Hezekiah with father his and to bury him in/on/with ascent grave son: descendant/people David and glory to make: do to/for him in/on/with death his all Judah and to dwell Jerusalem and to reign Manasseh son: descendant/people his underneath: instead him

< 2 Nyakati 32 >