< 2 Nyakati 31 >

1 Sasa wakati haya yote yalipokwisha, watu wote wa Israeli waliokuwepo pale wakaenda huko kwenye mji wa Yuda na wakazivunja vipande vipande nguzo za mawe na wakazikata nchi za maashera, na wakazibomoa sehemu za juu na madhabahu katika Yuda yote na Benyamini, na katika Efraimu na Manase, hadi walipoziharibu zote. Kisha watu wote wa Israeli wakarudi, kila mtu kwenye mali zake na kwenye mji wake.
Bütün bunlar sona erince, oradaki İsrailliler Yahuda kentlerine giderek dikili taşları parçalayıp Aşera putlarını devirdiler. Yahuda, Benyamin, Efrayim ve Manaşşe bölgelerindeki puta tapılan yerlerin ve sunakların hepsini yıktılar. Sonra herkes kendi kentine, toprağına döndü.
2 Hezekia akayapanga makundi ya makuhani na Walawi wakajipanaga kwa makundi yao, kila mtu akapangwa katika kazi yake, wote makuhani na Walawi. Aliwapanga wafanye sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kutoa shukrani, na kusifu katika malango ya hekalu la Yahwe.
Hizkiya kâhinlerle Levililer'i görevlerine göre bölüklere ayırdı. Kimine yakmalık sunuları ve esenlik sunularını sunma, kimine hizmet etme, kimine de RAB'bin Konutu'nun kapılarında şükredip övgüler söyleme görevini verdi.
3 Pia akawapanga katika sehemu ya mfalme kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kutoka katika mali zake, hiyo ni kwa ajili ya, sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na sadaka za kuteketezwa kwa ajili ya siku za Sabato, mwezi mpya, na sikukuu zisizobadilika, kama ilivyokuwa imeandikwa katika sheria ya Yahwe.
Kral da RAB'bin Yasası uyarınca sabah akşam sunulmak üzere yakmalık sunular, Şabat günleri, Yeni Ay ve bayramlarda sunulacak yakmalık sunular için sürüsünden hayvanlar verdi.
4 Vilevile, akawaamuru watu walioishi Yerusalemu kutoa fungu kwa ajili ya makuhani na Walawi, ili kwamba wawe makini katika kuitii sheria ya Yahwe.
Yeruşalim'de yaşayan halka da kâhinlerle Levililer'in paylarına düşeni vermelerini buyurdu; öyle ki, RAB'bin Yasası'na kendilerini adayabilsinler.
5 Mapema mara baada ya amri kutolewa, watu wa Israeli kwa ukarimu wakatoa malimbuko ya nafaka, divai mpya, mafuta. asali, na kila kitu kutoka kwenye mavuno ya shamba. Wakaleta ndani fungu la kumi la kila kitu; ambavyo vilikuwa kiasi kikubwa sana.
Kralın bu buyruğunu duyar duymaz İsrailliler ilk yetişen tahıl, yeni şarap, zeytinyağı, bal ve bütün tarla ürünlerinden bol bol verdiler. Bunun yanısıra her şeyin ondalığını da bol bol getirdiler.
6 Watu wa Israeli na Yuda ambao waliishi katika mji wa Yuda pia wakaleta zaka za ng'ombe na kondoo, na zaka za vitu vitakatifu amabavyo vilikuwa vimewekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wao, na wakavifunga katika marundo.
Yahuda kentlerinde yaşayan İsrailliler'le Yahudalılar da sığırlarının, davarlarının, Tanrıları RAB'be adamış oldukları kutsal armağanların ondalığını getirip bir araya yığdılar.
7 Ilikuwa mwezi wa tatu wakati walipoanza kufunga michango yao katika marundo, na wakamaliza mwezi wa saba.
Ondalıkların toplanması üçüncü aydan yedinci aya kadar sürdü.
8 Hezekia na viongozi walipokuja na kuyaona marundo, wakambariki Yahwe na watu wake Israeli.
Hizkiya ile önderler gelip yığınları görünce, RAB'be övgüler sunup halkı İsrail'i kutsadılar.
9 Kisha Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu marundo.
Hizkiya kâhinlerle Levililer'e yığınları sorunca,
10 Azaria, kuhani mkuu, wa nyumba ya Zadoki, akamjibu na akasema, “Tangu watu walipoanza kuleta matoleo katika nyumba ya Yahwe, tumekula na tulikuwa navyo vya kutosha, tulibakiza vingi, kwa maana Yahwe amewabariki watu wake. kilichokuwa kimebaki ni kiasi kikubwa hiki hapa.”
Sadok soyundan Başkâhin Azarya şu yanıtı verdi: “Halk RAB'bin Tapınağı'na bağış getirmeye başladıktan bu yana yiyip doyduk; üstelik artırdık da. Çünkü RAB halkını kutsadı. Bu büyük yığın da artakalandır.”
11 Kisha Hezekia akaagiza vyumba vya kuhifadhia viandaliwe katika nyumba ya Yahwe, na wakaviandaa.
Hizkiya RAB'bin Tapınağı'ndaki depoların hazırlanması için buyruk verdi. Depolar hazırlandı.
12 Kisha kwa uaminifu wakayaleta ndani matoleo, zaka, na vitu ambavyo ni vya Yahwe. Konania, Mlawi, alikuwa meneja mkuu wa hivyo vitu, na Shimei, ndu yake, alikuwa wa pili kwake.
Bağışlar, ondalıklar, adanan armağanlar sadakatle içeri getirildi. Bütün bu işlerin sorumlusu olarak Levili Konanya atandı; kardeşi Şimi de yardımcısı oldu.
13 Yehieli, Azaria, Nahathi, Asaheli, na Yerimothi, Yazabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi, na Benania walikuwa wasimamizi chini ya mkono wa Konania na Shimei ndu yake, kwa uteuzi wa Hezekia, mfalme, na Azaria mwanagalizi mkuu wa nyumba ya Mungu.
Kral Hizkiya ile Tanrı'nın Tapınağı'nın sorumlusu Azarya, Konanya ile kardeşi Şimi'nin yönetimindeki şu denetçileri atadılar: Yehiel, Azazya, Nahat, Asahel, Yerimot, Yozavat, Eliel, Yismakya, Mahat, Benaya.
14 Kore mwana wa Imna Mlawi, bawabu katika mlango wa mashariki, alikuwa juu ya sadaka za hiari za Mungu, msimamizi wa kugawa sadaka kwa Yahwe na sadaka takatifu kuliko zote.
Tapınağın Doğu Kapısı'nın nöbetçisi Yimna'nın oğlu Levili Kore, Tanrı'ya gönülden verilen sunuların sorumlusuydu. RAB'be adanan bağışları ve kutsal yiyecekleri dağıtmak için bu göreve getirilmişti.
15 Chini yake walikuwepo Edeni, Miniamini, Yoshua, Shemai, Amaaria, na Shekania, katika miji ya makuhani. Wakazijaza ofisi za uaminifu, ili kutoa sadaka hizi kwa ndugu zao fungu kwa fungu, kwa wote walio muhimu na wasiomuhimu.
Eden, Minyamin, Yeşua, Şemaya, Amarya ve Şekanya kâhinlerin yaşadıkları kentlerde bölükleri uyarınca büyük küçük bütün kardeşlerine bağışları dağıtma işinde Kore'ye sadakatle yardım ettiler.
16 Pia wakatoa kwa wale wanaume wenye umri wa miaka mitatu na kuendelea, amabao walikuwa wameandikwa kataika kaitatu cha babu zao walioiingia nyumba ya Yahwe, kwa mujibu wa ratiba ya kila siku, kuifanya kazi katika ofisi zao na zamu zao. (Mandishi ya kale yanasema hivi: “badala ya wanaume wa umri wa miaka mitatu na kuendelea”, wanaume wa mika thelathini na kuendelea.”).
Ayrıca soyağacında adı kayıtlı üç ve daha yukarı yaştaki erkeklere, bölüklerine ve sorumluluklarına göre RAB'bin Tapınağı'na girip günün gerektirdiği değişik görevleri yapanların tümüne; bağlı oldukları boylara göre kütüğe kayıtlı kâhinlere, bölüklerine ve sorumluluklarına göre yirmi ve daha yukarı yaştaki Levililer'e; kâhinlerle Levililer'in soyağacında kayıtlı küçük çocuklara, kadınlara, oğullarla kızlara, yani topluluğa yiyecek dağıtıyorlardı. Çünkü kendilerini sadakatle Tanrı'ya adamışlardı.
17 Waliwaganya makuhani kwa mujibu wa kumbu kumbu za babu zao, na hivyo hivyo kwa Walawi wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kwa mujibu wa ofisi zao na zamu zao.
18 Waliwajumuisha watoto wao wadogo wote, wake zao, wana wao, na binti zao, katika jamii yote, kwa maana walikuwa waaminifu katika kujitunza wenye watakatifu.
19 Kwa maana makuhani, uzao wa Haruni, amabao walikuwa katika mashamba ya vijiji wakimilikiwa na miji yao, au katika kila mji, palikuwa na watu walioteuliwa kwa majina kutoa mafungu kwa ajili ya wanaume miongoni mwa makuhani, na kwa wote waliokuwa wameorodheshwa katika kumbukumbu za babu zao kuwa miongoni mwa Walawi.
Kentlerinin çevresindeki kırlarda ya da herhangi bir kentte yaşayan Harun soyundan kâhinlere gelince, onlardan olan bütün erkeklere ve Levililer'in soyağacında kayıtlı herkese yiyecek dağıtmak için belirli kişiler atanmıştı.
20 Hezekia alifanya haya katika Yuda yote. Akakamilisha kilichokuwa chema, haki, na uaminifu mbele za Yahwe Mungu wake.
Hizkiya bütün Yahuda'da böyle davrandı; Tanrısı RAB'bin önünde iyi, doğru ve hakça olanı yaptı.
21 Katika kila jambo ambalo alianzisha katika ibada ya nyumba ya Mungu, sheria, na zile amri, kumtafuta Mungu, alikifanya kwa moyo wake wote, na alifanikiwa.
Tanrı'nın Tapınağı'nda üstlendiği görevi bütün yüreğiyle yerine getirdi; Kutsal Yasa'ya, buyruklara uydu; Tanrısı'na yöneldi. Bu sayede başarılı oldu.

< 2 Nyakati 31 >