< 2 Nyakati 30 >

1 Hzekia akatuma wajumbe kwa Israeli wote na Yuda, na pia akawaandikia barua Efraimu na Manase, kwamba waje kwenye nyumba ya Yahwe katika Yerusalemu, kusherekea Pasaka ya Yahwe, Mungu wa Israeli.
И послал Езекия по всей земле Израильской и Иудее, и письма писал к Ефрему и Манассии, чтобы пришли в дом Господень, в Иерусалим, для совершения пасхи Господу Богу Израилеву.
2 Kwa maana mfalme, viongozi wake, na kusanyiko lote katika Yerusalemu walikuwa wameshauriana pamoja, wakakubaliana kusherekea Pasaka katika mwezi wa pili.
И положили на совете царь и князья его и все собрание в Иерусалиме - совершить пасху во второй месяц,
3 Hawakuweza kuisherekea mapema kabla ya hapo, kwa sababu hapakuwa na makuhani wa kutosha waliojitakasa wenyewe, wala watu hawakuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu.
ибо не могли совершить ее в свое время, потому что священники еще не освятились в достаточном числе и народ не собрался в Иерусалим.
4 Pendekezo hili likaonekana sahihi katika macho ya mfalme na ya kusanyiko lote.
И понравилось это царю и всему собранию.
5 Kwa hiyo wakakubaliana kufanya tangazo katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba hadi Dani, kwamba watu lazima waje kusherehekea Paska ya Yahwe, Mungu wa Israeli, huko Yerusalemu. Kwa maana walikuwa hawakuwa wameisherehekea kwa hesabu kubwa ya watu, kwa mujibu wa jinsi ilivyokuwa imeandikwa.
И определили объявить по всему Израилю, от Вирсавии до Дана, чтобы шли в Иерусалим для совершения пасхи Господу Богу Израилеву, потому что давно не совершали ее, как предписано.
6 Hivyo matarishi wakaenda na barua kutoka kwa mfalme na viongozi wake katika Israeli na Yuda yote, kwa agizo la mfalme. wakasema, “Ninyi watu wa Israeli, rudini kwa Yahwe, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili kwamba aweze kuwarudia masalia wenu ninyi mlipona kutoka kwenye mkono wa wafalme wa Ashuru.
И пошли гонцы с письмами от царя и от князей его по всей земле Израильской и Иудее, и по повелению царя говорили: дети Израиля! обратитесь к Господу Богу Авраама, Исаака и Израиля, и Он обратится к остатку, уцелевшему у вас от руки царей Ассирийских.
7 Msiwe kama babu zenu au ndugu zenu, ambao walimuasi Yahwe, Mungu wa mababu zao, hivyo akawaweka katika kuangamia, kama mnavyoona.
И не будьте таковы, как отцы ваши и братья ваши, которые беззаконно поступали пред Господом Богом отцов своих; и Он предал их на опустошение, как вы видите.
8 Sasa msiwe wasumbufu, kama babu zenu walivyokuwa; badala yake, jitoeni wenyewe kwa Yahwe na njoeni kwenye sehemu yake takatifu, ambayo ameitakasa milele, na mwabuduni Yahwe Mungu wenu, ili kwamba uso wake wenye hasira uwageukie mbali.
Ныне не будьте жестоковыйны, как отцы ваши, покоритесь Господу и приходите во святилище Его, которое Он освятил навек; и служите Господу Богу вашему, и Он отвратит от вас пламень гнева Своего.
9 Kwa maana ikiwa mtageuka nyuma kwa Yahwe, ndugu zenu na watoto wenu watapata huruma mbele ya hao wanaowaongoza kama wafungwa, na watarudi katika nchi hii. Kwa maana Yahwe Mungu wenu, ni mkarimu na mwenye huruma, na hatawageuzia mbali uso wake, kama mtarudi kwake.”
Когда вы обратитесь к Господу, тогда братья ваши и дети ваши будут в милости у пленивших их и возвратятся в землю сию, ибо благ и милосерд Господь Бог ваш и не отвратит лица от вас, если вы обратитесь к Нему.
10 Kwa hiyo matarishi wakapita mji kwa mji katika majimbo ya Efraimu na Manase, njia yote hadi Zabuloni, lakini watu waliwacheka na kuwazomea.
И ходили гонцы из города в город по земле Ефремовой и Манассииной и до Завулоновой, но над ними смеялись и издевались.
11 Lakini, watu wengine wa Asheri na Manase na Zabuloni walijinyenyekesha wenyewe na wakaja Yerusalemu.
Однако некоторые из колена Асирова, Манассиина и Завулонова смирились и пришли в Иерусалим.
12 Mkono wa Mungu pia ukaja juu ya Yuda, kuwapa moyo mmmoja, ili kulikubali agizo la mfalme na viongozi kwa neno la Yahwe.
И над Иудеею была рука Божия, даровавшая им единое сердце, чтоб исполнить повеление царя и князей, по слову Господню.
13 Watu wengi, kusanyiko kubwa, likakusanyika Yerusalemu kusherehekea Sikukuu ya Mikate Isiyochacha katika mwezi wa pili.
И собралось в Иерусалим множество народа для совершения праздника опресноков, во второй месяц, - собрание весьма многочисленное.
14 Waliinuka na kuchukua madhabahu zizilizokuwa Yerusalemu, madhabahu zote kwa ajili ya sadaka za kufukiza; wakazirusha katika kijito Kidroni.
И встали и ниспровергли жертвенники, которые были в Иерусалиме; и все, на чем совершаемо было курение идолам, разрушили и бросили в поток Кедрон;
15 Kisha wakamuua mwanakondoo wa Paska katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakaona aibu, kwa hiyo wakajitakasa wenyewe na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe.
и закололи пасхального агнца в четырнадцатый день второго месяца. Священники и левиты, устыдившись, освятились и принесли всесожжения в дом Господень,
16 Wakasimama katika sehemu zao katika makaundi yao, wakifuata maelekezo yaliyotolewa na sheria ya Musa, mtu wa Mungu. Makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi.
и стали на своем месте по уставу своему, по закону Моисея, человека Божия. Священники кропили кровью, принимая ее из рук левитов.
17 Kwa maana walikuwepo wengi katika kusanyikao amaabao hawakuwa wamejitakasa wenyewe. Kwa hiyo Makuhani wakamchinja mwanakondoo wa Pasaka kwa ajili ya kila mmoja ambaye hakuwa amejisafisha na hakuweza kuzitakasa sadaka zake kwa Yahwe.
Так как много было в собрании таких, которые не освятились, то вместо нечистых левиты закололи пасхального агнца, для посвящения Господу.
18 Kwa kuwa wingi wa watu, wengi wao kutoka Efraimu na Manase, Asakari na Zabuloni, hawakuwa wamejitakasa wenyewe, bado waliula mlo wa Paska, kinyume na maelekezo yaliyoandikwa. Kwa kuwa Hezekia alikuwa amewaombea, akisema, “Mungu Yahwe amsamehe kila mmoja
Многие из народа, большею частью из колена Ефремова и Манассиина, Иссахарова и Завулонова, не очистились; однакоже они ели пасху, не по уставу.
19 ambaye anaulekeza moyo wake kumtafuta Mungu, Yahwe, Mungu wa babu zake, hata kama hajasafiswa kwa utakaso wa viwango vya patakatifu.”
Но Езекия помолился за них, говоря: Господь благий да простит каждого, кто расположил сердце свое к тому, чтобы взыскать Господа Бога, Бога отцов своих, хотя и без очищения священного!
20 Kwa hiyo Yahwe akamsikiliza Hezekia na akawaponya watu.
И услышал Господь Езекию и простил народ.
21 Watu wa Israeli waliokuwepo Yerusalemu wakaitunza Sikukuu ya Mikaate Isiyochachwa na furaha kubwa kwa siku saba. Walawi na makuhani wakamsifu Yahwe siku baada ya siku, wakiimwimbia Yahwe kwa vyombo vya sauti kuu.
И совершили сыны Израилевы, находившиеся в Иерусалиме, праздник опресноков в семь дней, с великим веселием; каждый день левиты и священники славили Господа на орудиях, устроенных для славословия Господа.
22 Hezekia akazungumza kwa kuwatia moyo Walawi wote walioilewa ibada ya Yahwe, Kwa hiyo wakala kwa kipindi cha siku saba, wakitoa sadaka za amani, na kufanya toba kwa Yahwe, Mungu wa babu zao.
И говорил Езекия по сердцу всем левитам, имевшим доброе разумение в служении Господу. И ели праздничное семь дней, принося жертвы мирные и славя Господа Бога отцов своих.
23 Kusanyiko lote kisha likaamua kusherehekea kwa siku zingine saba, na wakafanya hivyo kwa furaha.
И решило все собрание праздновать другие семь дней, и провели эти семь дней в веселии,
24 Kwa kuwa Hezekia mfalme wa Yuda aliwapa kusanyiko ng'ombe dume elf moja, na kondoo elfu saba kama sadaka; na viongozi wakawapa kusanyiko ng'ombe dume elfu moja na kondoo na mbuzi elfu kumi. Idadi kubwa ya makuhani wakajitakasa wenyewe.
потому что Езекия, царь Иудейский, выставил для собравшихся тысячу тельцов и десять тысяч мелкого скота, и вельможи выставили для собравшихся тысячу тельцов и десять тысяч мелкого скота; и священников освятилось уже много.
25 Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na watu wote walikuja pamoja kutoka nchi ya Israeli na wale walioishi Yuda—wote wakafurahia.
И веселились все собравшиеся из Иудеи, и священники и левиты, и все собрание, пришедшее от Израиля, и пришельцы, пришедшие из земли Израильской и обитавшие в Иудее.
26 Hivyo kulikuwa na furaha kuu katika Yerusalemu, kwa kuwa tangu wakati wa Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli, hapakuwa na kitu kama hicho katika Yerusalemu.
И было веселие великое в Иерусалиме, потому что со дней Соломона, сына Давидова, царя Израилева, не бывало подобного сему в Иерусалиме.
27 Kisha makuhani, Walawi, wakainuka na kuwabariki watu. Sauti zao zilisikika na maombi yao yakaenda juu mbinguni, sehemu takatifu ambapo Mungu anaishi.
И встали священники и левиты, и благословили народ; и услышан был голос их, и взошла молитва их в святое жилище Его на небеса.

< 2 Nyakati 30 >