< 2 Nyakati 30 >

1 Hzekia akatuma wajumbe kwa Israeli wote na Yuda, na pia akawaandikia barua Efraimu na Manase, kwamba waje kwenye nyumba ya Yahwe katika Yerusalemu, kusherekea Pasaka ya Yahwe, Mungu wa Israeli.
Potem Ezechiasz rozesłał [posłańców] do całego Izraela i Judy, a do Efraima i Manassesa napisał także listy, aby przybyli do domu PANA w Jerozolimie i obchodzili święto Paschy dla PANA, Boga Izraela.
2 Kwa maana mfalme, viongozi wake, na kusanyiko lote katika Yerusalemu walikuwa wameshauriana pamoja, wakakubaliana kusherekea Pasaka katika mwezi wa pili.
Król bowiem postanowił wraz z książętami i całym zgromadzeniem w Jerozolimie, aby obchodzić święto Paschy w drugim miesiącu;
3 Hawakuweza kuisherekea mapema kabla ya hapo, kwa sababu hapakuwa na makuhani wa kutosha waliojitakasa wenyewe, wala watu hawakuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu.
Gdyż nie mogli [go] obchodzić w owym czasie, ponieważ liczba poświęconych kapłanów nie była wystarczająca, a i lud nie zgromadził się jeszcze w Jerozolimie.
4 Pendekezo hili likaonekana sahihi katika macho ya mfalme na ya kusanyiko lote.
Sprawa ta podobała się królowi i całemu zgromadzeniu.
5 Kwa hiyo wakakubaliana kufanya tangazo katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba hadi Dani, kwamba watu lazima waje kusherehekea Paska ya Yahwe, Mungu wa Israeli, huko Yerusalemu. Kwa maana walikuwa hawakuwa wameisherehekea kwa hesabu kubwa ya watu, kwa mujibu wa jinsi ilivyokuwa imeandikwa.
Postanowili więc ogłosić w całym Izraelu, od Beer-Szeby aż do Dan, aby przybyto do Jerozolimy obchodzić święto Paschy dla PANA, Boga Izraela. Już dawno bowiem [go] nie obchodzili, jak to było przepisane.
6 Hivyo matarishi wakaenda na barua kutoka kwa mfalme na viongozi wake katika Israeli na Yuda yote, kwa agizo la mfalme. wakasema, “Ninyi watu wa Israeli, rudini kwa Yahwe, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili kwamba aweze kuwarudia masalia wenu ninyi mlipona kutoka kwenye mkono wa wafalme wa Ashuru.
Ruszyli więc posłańcy z listami od króla i od jego książąt po całym Izraelu i Judzie, zgodnie z rozkazem króla, mówiąc: Synowie Izraela! Powróćcie do PANA, Boga Abrahama, Izaaka i Izraela, a on powróci do ostatków, które spośród was ocalały z rąk królów Asyrii.
7 Msiwe kama babu zenu au ndugu zenu, ambao walimuasi Yahwe, Mungu wa mababu zao, hivyo akawaweka katika kuangamia, kama mnavyoona.
I nie bądźcie jak wasi ojcowie i jak wasi bracia, którzy zgrzeszyli przeciwko PANU, Bogu swoich ojców, który wydał ich na spustoszenie, jak to sami widzicie.
8 Sasa msiwe wasumbufu, kama babu zenu walivyokuwa; badala yake, jitoeni wenyewe kwa Yahwe na njoeni kwenye sehemu yake takatifu, ambayo ameitakasa milele, na mwabuduni Yahwe Mungu wenu, ili kwamba uso wake wenye hasira uwageukie mbali.
Teraz więc nie zatwardzajcie waszego karku, jak wasi ojcowie. Poddajcie się PANU, przyjdźcie do jego świątyni, którą poświęcił na wieki, i służcie PANU, waszemu Bogu, a odstąpi od was zapalczywość jego gniewu.
9 Kwa maana ikiwa mtageuka nyuma kwa Yahwe, ndugu zenu na watoto wenu watapata huruma mbele ya hao wanaowaongoza kama wafungwa, na watarudi katika nchi hii. Kwa maana Yahwe Mungu wenu, ni mkarimu na mwenye huruma, na hatawageuzia mbali uso wake, kama mtarudi kwake.”
Jeśli bowiem powrócicie do PANA, wasi bracia i synowie otrzymają miłosierdzie u tych, którzy uprowadzili ich w niewolę, tak że powrócą do tej ziemi, bo PAN, wasz Bóg, jest łaskawy i miłosierny i nie odwróci od was swojego oblicza, jeśli powrócicie do niego.
10 Kwa hiyo matarishi wakapita mji kwa mji katika majimbo ya Efraimu na Manase, njia yote hadi Zabuloni, lakini watu waliwacheka na kuwazomea.
A gdy posłańcy chodzili od miasta do miasta przez ziemię Efraima i Manassesa aż do Zebulona, naśmiewano się z nich i szydzono.
11 Lakini, watu wengine wa Asheri na Manase na Zabuloni walijinyenyekesha wenyewe na wakaja Yerusalemu.
[Niektórzy] jednak z Aszera, Manassesa i Zebulona ukorzyli się i przyszli do Jerozolimy.
12 Mkono wa Mungu pia ukaja juu ya Yuda, kuwapa moyo mmmoja, ili kulikubali agizo la mfalme na viongozi kwa neno la Yahwe.
W Judzie też działała ręka Boża, dając im jedno serce, aby wypełnili rozkaz króla i książąt, według słowa PANA.
13 Watu wengi, kusanyiko kubwa, likakusanyika Yerusalemu kusherehekea Sikukuu ya Mikate Isiyochacha katika mwezi wa pili.
I zebrało się w Jerozolimie wielu ludzi, aby obchodzić w drugim miesiącu Święto Przaśników. [Było to] niezmiernie wielkie zgromadzenie.
14 Waliinuka na kuchukua madhabahu zizilizokuwa Yerusalemu, madhabahu zote kwa ajili ya sadaka za kufukiza; wakazirusha katika kijito Kidroni.
Wtedy powstali i usunęli ołtarze, które były w Jerozolimie, wszystkie też ołtarze, na których palono kadzidło, usunęli i wrzucili do potoku Cedron.
15 Kisha wakamuua mwanakondoo wa Paska katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakaona aibu, kwa hiyo wakajitakasa wenyewe na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe.
Potem zabili baranka paschalnego czternastego dnia, w drugim miesiącu. A kapłani i Lewici, będąc zawstydzeni, poświęcili się i przyprowadzili całopalenia do domu PANA.
16 Wakasimama katika sehemu zao katika makaundi yao, wakifuata maelekezo yaliyotolewa na sheria ya Musa, mtu wa Mungu. Makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi.
I stali na swoich miejscach według swego urzędu i według prawa Mojżesza, męża Bożego. Kapłani kropili krwią, [którą brali] z rąk Lewitów.
17 Kwa maana walikuwepo wengi katika kusanyikao amaabao hawakuwa wamejitakasa wenyewe. Kwa hiyo Makuhani wakamchinja mwanakondoo wa Pasaka kwa ajili ya kila mmoja ambaye hakuwa amejisafisha na hakuweza kuzitakasa sadaka zake kwa Yahwe.
Wielu bowiem [było] w zgromadzeniu, którzy [jeszcze] się nie poświęcili, dlatego Lewici ofiarowali baranki paschalne za każdego nieczystego, aby go poświęcić PANU.
18 Kwa kuwa wingi wa watu, wengi wao kutoka Efraimu na Manase, Asakari na Zabuloni, hawakuwa wamejitakasa wenyewe, bado waliula mlo wa Paska, kinyume na maelekezo yaliyoandikwa. Kwa kuwa Hezekia alikuwa amewaombea, akisema, “Mungu Yahwe amsamehe kila mmoja
Bo wielka liczba tego ludu, [zwłaszcza] wielu z Efraima, Manassesa, Issachara i Zebulona, nie była oczyszczona i jedli baranka paschalnego niezgodnie z przepisami. Lecz Ezechiasz modlił się za nich, mówiąc: Niech dobrotliwy PAN przebaczy każdemu;
19 ambaye anaulekeza moyo wake kumtafuta Mungu, Yahwe, Mungu wa babu zake, hata kama hajasafiswa kwa utakaso wa viwango vya patakatifu.”
Kto przygotował swoje serce, aby szukać Boga, PANA Boga swoich ojców, choćby [nie był oczyszczony] według oczyszczenia świątyni.
20 Kwa hiyo Yahwe akamsikiliza Hezekia na akawaponya watu.
I PAN wysłuchał Ezechiasza, i uzdrowił lud.
21 Watu wa Israeli waliokuwepo Yerusalemu wakaitunza Sikukuu ya Mikaate Isiyochachwa na furaha kubwa kwa siku saba. Walawi na makuhani wakamsifu Yahwe siku baada ya siku, wakiimwimbia Yahwe kwa vyombo vya sauti kuu.
Tak więc synowie Izraela, którzy byli w Jerozolimie, obchodzili Święto Przaśników przez siedem dni z wielką radością. A Lewici i kapłani wysławiali PANA każdego dnia, [śpiewając] PANU przy głośnych instrumentach.
22 Hezekia akazungumza kwa kuwatia moyo Walawi wote walioilewa ibada ya Yahwe, Kwa hiyo wakala kwa kipindi cha siku saba, wakitoa sadaka za amani, na kufanya toba kwa Yahwe, Mungu wa babu zao.
Wtedy Ezechiasz przemówił łaskawie do wszystkich Lewitów, którzy wykazywali dobre rozeznanie [w sprawach] PANA. I jedli przez siedem dni tego święta, składając ofiary pojednawcze i wyznając [grzechy] PANU, Bogu swoich ojców.
23 Kusanyiko lote kisha likaamua kusherehekea kwa siku zingine saba, na wakafanya hivyo kwa furaha.
Potem całe zgromadzenie postanowiło obchodzić [święto] przez drugie siedem dni. Obchodzili więc [święto] z radością przez kolejne siedem dni.
24 Kwa kuwa Hezekia mfalme wa Yuda aliwapa kusanyiko ng'ombe dume elf moja, na kondoo elfu saba kama sadaka; na viongozi wakawapa kusanyiko ng'ombe dume elfu moja na kondoo na mbuzi elfu kumi. Idadi kubwa ya makuhani wakajitakasa wenyewe.
Ezechiasz bowiem, król Judy, dał zgromadzeniu tysiąc cielców i siedem tysięcy owiec, a książęta dali zgromadzeniu tysiąc cielców i dziesięć tysięcy owiec. I poświęciło się bardzo wielu kapłanów.
25 Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na watu wote walikuja pamoja kutoka nchi ya Israeli na wale walioishi Yuda—wote wakafurahia.
Tak więc radowało się całe zgromadzenie Judy, kapłani, Lewici oraz całe zgromadzenie, które przybyło z Izraela, a także przybysze, którzy przyszli z ziemi Izraela, i ci, którzy mieszkali w Judzie.
26 Hivyo kulikuwa na furaha kuu katika Yerusalemu, kwa kuwa tangu wakati wa Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli, hapakuwa na kitu kama hicho katika Yerusalemu.
I panowała wielka radość w Jerozolimie, gdyż od czasów Salomona, syna Dawida, króla Izraela, nic podobnego nie wydarzyło się w Jerozolimie.
27 Kisha makuhani, Walawi, wakainuka na kuwabariki watu. Sauti zao zilisikika na maombi yao yakaenda juu mbinguni, sehemu takatifu ambapo Mungu anaishi.
Potem powstali kapłani i Lewici i błogosławili ludowi. A ich głos został wysłuchany i ich modlitwa dotarła do świętego przybytku [PANA], do nieba.

< 2 Nyakati 30 >