< 2 Nyakati 30 >

1 Hzekia akatuma wajumbe kwa Israeli wote na Yuda, na pia akawaandikia barua Efraimu na Manase, kwamba waje kwenye nyumba ya Yahwe katika Yerusalemu, kusherekea Pasaka ya Yahwe, Mungu wa Israeli.
حِزِقیای پادشاه، نامه‌هایی به سراسر اسرائیل و یهودا و مخصوصاً قبایل افرایم و منسی فرستاد و همه را دعوت نمود تا به اورشلیم بیایند و در خانهٔ خداوند عید پِسَح را برای خداوند، خدای اسرائیل جشن بگیرند.
2 Kwa maana mfalme, viongozi wake, na kusanyiko lote katika Yerusalemu walikuwa wameshauriana pamoja, wakakubaliana kusherekea Pasaka katika mwezi wa pili.
پادشاه و مقامات مملکتی و تمام جماعت اورشلیم پس از مشورت با هم تصمیم گرفتند مراسم عید پِسَح را به جای وقت معمول آن در ماه اول، این بار در ماه دوم برگزار نمایند. علّت این بود که کاهنان کافی در این زمان تقدیس نشده بودند و قوم نیز در اورشلیم جمع نشده بودند.
3 Hawakuweza kuisherekea mapema kabla ya hapo, kwa sababu hapakuwa na makuhani wa kutosha waliojitakasa wenyewe, wala watu hawakuwa wamekusanyika pamoja Yerusalemu.
4 Pendekezo hili likaonekana sahihi katika macho ya mfalme na ya kusanyiko lote.
این تصمیم با توافق پادشاه و تمام جماعت اخذ شد.
5 Kwa hiyo wakakubaliana kufanya tangazo katika Israeli yote, kuanzia Beer-sheba hadi Dani, kwamba watu lazima waje kusherehekea Paska ya Yahwe, Mungu wa Israeli, huko Yerusalemu. Kwa maana walikuwa hawakuwa wameisherehekea kwa hesabu kubwa ya watu, kwa mujibu wa jinsi ilivyokuwa imeandikwa.
پس به سراسر اسرائیل، از دان تا بئرشبع پیغام فرستادند و همه را دعوت کردند تا به اورشلیم بیایند و عید پِسَح را برای خداوند، خدای اسرائیل جشن بگیرند. زیرا مدت زیادی بود که آن را بر اساس شریعت، به طور دسته جمعی جشن نگرفته بودند.
6 Hivyo matarishi wakaenda na barua kutoka kwa mfalme na viongozi wake katika Israeli na Yuda yote, kwa agizo la mfalme. wakasema, “Ninyi watu wa Israeli, rudini kwa Yahwe, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Israeli, ili kwamba aweze kuwarudia masalia wenu ninyi mlipona kutoka kwenye mkono wa wafalme wa Ashuru.
قاصدان از طرف پادشاه و مقامات مملکت با نامه‌ها به سراسر اسرائیل و یهودا اعزام شدند. متن نامه‌ها چنین بود: «ای بنی‌اسرائیل، به سوی خداوند، خدای ابراهیم و اسحاق و یعقوب بازگشت کنید، تا او نیز به سوی شما بازماندگان قوم که از چنگ پادشاهان آشور جان به در برده‌اید، بازگشت نماید.
7 Msiwe kama babu zenu au ndugu zenu, ambao walimuasi Yahwe, Mungu wa mababu zao, hivyo akawaweka katika kuangamia, kama mnavyoona.
مانند پدران و برادران خود نباشید که نسبت به خداوند، خدای اجدادشان گناه کردند و به طوری که می‌بینید به شدت مجازات شدند.
8 Sasa msiwe wasumbufu, kama babu zenu walivyokuwa; badala yake, jitoeni wenyewe kwa Yahwe na njoeni kwenye sehemu yake takatifu, ambayo ameitakasa milele, na mwabuduni Yahwe Mungu wenu, ili kwamba uso wake wenye hasira uwageukie mbali.
مثل آنها یاغی نباشید، بلکه از خداوند اطاعت نمایید و به خانهٔ او بیایید که آن را تا به ابد تقدیس فرموده است و خداوند، خدای خود را عبادت کنید تا خشم او از شما برگردد.
9 Kwa maana ikiwa mtageuka nyuma kwa Yahwe, ndugu zenu na watoto wenu watapata huruma mbele ya hao wanaowaongoza kama wafungwa, na watarudi katika nchi hii. Kwa maana Yahwe Mungu wenu, ni mkarimu na mwenye huruma, na hatawageuzia mbali uso wake, kama mtarudi kwake.”
اگر شما به سوی خداوند بازگشت نمایید، برادران و فرزندان شما مورد لطف کسانی قرار می‌گیرند که ایشان را اسیر کرده‌اند و به این سرزمین باز خواهند گشت. زیرا خداوند، خدای شما رحیم و مهربان است و اگر شما به سوی او بازگشت نمایید او شما را خواهد پذیرفت.»
10 Kwa hiyo matarishi wakapita mji kwa mji katika majimbo ya Efraimu na Manase, njia yote hadi Zabuloni, lakini watu waliwacheka na kuwazomea.
پس قاصدان، شهر به شهر از افرایم و منسی تا زبولون رفتند. ولی در اکثر جاها با ریشخند و اهانت مردم مواجه شدند.
11 Lakini, watu wengine wa Asheri na Manase na Zabuloni walijinyenyekesha wenyewe na wakaja Yerusalemu.
اما از قبیله‌های اشیر، منسی و زبولون عده‌ای اطاعت نمودند و به اورشلیم آمدند.
12 Mkono wa Mungu pia ukaja juu ya Yuda, kuwapa moyo mmmoja, ili kulikubali agizo la mfalme na viongozi kwa neno la Yahwe.
همچنین دست خدا بر یهودا بود و آنها را یکدل ساخت تا آنچه را پادشاه و مقاماتش طبق کلام خداوند فرمان داده بودند، به انجام رسانند.
13 Watu wengi, kusanyiko kubwa, likakusanyika Yerusalemu kusherehekea Sikukuu ya Mikate Isiyochacha katika mwezi wa pili.
گروه عظیمی در ماه دوم در شهر اورشلیم جمع شدند تا عید نان فطیر را جشن بگیرند.
14 Waliinuka na kuchukua madhabahu zizilizokuwa Yerusalemu, madhabahu zote kwa ajili ya sadaka za kufukiza; wakazirusha katika kijito Kidroni.
ایشان برخاسته، تمام مذبحهای اورشلیم را که روی آنها قربانی و بخور به بتها تقدیم می‌شد در هم کوبیده به درهٔ قدرون ریختند.
15 Kisha wakamuua mwanakondoo wa Paska katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi wakaona aibu, kwa hiyo wakajitakasa wenyewe na kuleta sadaka za kuteketezwa katika nyumba ya Yahwe.
در روز چهاردهم ماه دوم، بره‌های عید پِسَح را سر بریدند. کاهنان و لاویانی که برای انجام مراسم آماده نشده بودند، خجالت کشیده، فوری خود را تقدیس کردند و به تقدیم قربانی در خانۀ خداوند مشغول شدند.
16 Wakasimama katika sehemu zao katika makaundi yao, wakifuata maelekezo yaliyotolewa na sheria ya Musa, mtu wa Mungu. Makuhani wakainyunyiza damu waliyoipokea kutoka kwenye mikono ya Walawi.
آنها با ترتیبی که در تورات موسی، مرد خدا آمده است سر خدمت خود ایستادند و کاهنان، خونی را که لاویان به دست ایشان دادند، بر مذبح پاشیدند.
17 Kwa maana walikuwepo wengi katika kusanyikao amaabao hawakuwa wamejitakasa wenyewe. Kwa hiyo Makuhani wakamchinja mwanakondoo wa Pasaka kwa ajili ya kila mmoja ambaye hakuwa amejisafisha na hakuweza kuzitakasa sadaka zake kwa Yahwe.
عدهٔ زیادی از قوم که از سرزمینهای افرایم، منسی، یساکار و زبولون آمده بودند مراسم طهارت و تقدیس را بجا نیاورده بودند و نمی‌توانستند بره‌های خود را ذبح کنند، پس لاویان مأمور شدند این کار را برای ایشان انجام دهند. حِزِقیای پادشاه نیز برای ایشان دعا کرد تا بتوانند خوراک عید پِسَح را بخورند، هر چند این برخلاف شریعت بود. حِزِقیا چنین دعا کرد: «ای خداوند مهربان، خدای اجداد ما، هر کسی را که قصد دارد تو را پیروی نماید ولی خود را برای شرکت در این مراسم تقدیس نکرده است، بیامرز.»
18 Kwa kuwa wingi wa watu, wengi wao kutoka Efraimu na Manase, Asakari na Zabuloni, hawakuwa wamejitakasa wenyewe, bado waliula mlo wa Paska, kinyume na maelekezo yaliyoandikwa. Kwa kuwa Hezekia alikuwa amewaombea, akisema, “Mungu Yahwe amsamehe kila mmoja
19 ambaye anaulekeza moyo wake kumtafuta Mungu, Yahwe, Mungu wa babu zake, hata kama hajasafiswa kwa utakaso wa viwango vya patakatifu.”
20 Kwa hiyo Yahwe akamsikiliza Hezekia na akawaponya watu.
خداوند دعای حِزِقیا را شنید و قوم را شفا بخشید.
21 Watu wa Israeli waliokuwepo Yerusalemu wakaitunza Sikukuu ya Mikaate Isiyochachwa na furaha kubwa kwa siku saba. Walawi na makuhani wakamsifu Yahwe siku baada ya siku, wakiimwimbia Yahwe kwa vyombo vya sauti kuu.
پس بنی‌اسرائیل هفت روز عید نان فطیر را با شادی فراوان در شهر اورشلیم جشن گرفتند. درضمن لاویان و کاهنان هر روز با آلات موسیقی خداوند را ستایش می‌کردند.
22 Hezekia akazungumza kwa kuwatia moyo Walawi wote walioilewa ibada ya Yahwe, Kwa hiyo wakala kwa kipindi cha siku saba, wakitoa sadaka za amani, na kufanya toba kwa Yahwe, Mungu wa babu zao.
(حِزِقیای پادشاه از تمام لاویانی که مراسم عبادتی را خوب انجام داده بودند قدردانی کرد.) هفت روز مراسم عید برقرار بود. قوم قربانیهای سلامتی تقدیم کردند و خداوند، خدای اجدادشان را ستایش نمودند.
23 Kusanyiko lote kisha likaamua kusherehekea kwa siku zingine saba, na wakafanya hivyo kwa furaha.
تمام جماعت پس از مشورت، تصمیم گرفتند عید پِسَح هفت روز دیگر ادامه یابد؛ پس با شادی هفت روز دیگر این عید را جشن گرفتند.
24 Kwa kuwa Hezekia mfalme wa Yuda aliwapa kusanyiko ng'ombe dume elf moja, na kondoo elfu saba kama sadaka; na viongozi wakawapa kusanyiko ng'ombe dume elfu moja na kondoo na mbuzi elfu kumi. Idadi kubwa ya makuhani wakajitakasa wenyewe.
حِزِقیا هزار گاو و هفت هزار گوسفند برای قربانی به جماعت بخشید. مقامات مملکتی نیز هزار گاو و ده هزار گوسفند هدیه کردند. در این هنگام عدهٔ زیادی از کاهنان نیز خود را تقدیس نمودند.
25 Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na watu wote walikuja pamoja kutoka nchi ya Israeli na wale walioishi Yuda—wote wakafurahia.
تمام مردم یهودا، همراه با کاهنان و لاویان و آنانی که از مملکت اسرائیل آمده بودند، و نیز غریبان ساکن اسرائیل و یهودا، شادی می‌کردند.
26 Hivyo kulikuwa na furaha kuu katika Yerusalemu, kwa kuwa tangu wakati wa Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli, hapakuwa na kitu kama hicho katika Yerusalemu.
اورشلیم از زمان سلیمان پسر داوود پادشاه تا آن روز، چنین روز شادی به خود ندیده بود.
27 Kisha makuhani, Walawi, wakainuka na kuwabariki watu. Sauti zao zilisikika na maombi yao yakaenda juu mbinguni, sehemu takatifu ambapo Mungu anaishi.
در خاتمه، کاهنان و لاویان ایستاده، قوم را برکت دادند و خدا دعای آنها را از قدس خود در آسمان شنید و اجابت فرمود.

< 2 Nyakati 30 >