< 2 Nyakati 29 >

1 Hezekia alianza kutawala alipokuwa na umri wa miaka ishirini na mitano; alitawala miaka ishini na nane katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Abiya; alikuwa binti wa Zekaria.
Jehiskia var fem och tjugu åra gammal, då han Konung vardt, och regerade nio och tjugu år i Jerusalem; hans moder het Abija, Zacharia dotter.
2 Alifanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi baba yake alivyofanya.
Och han gjorde det Herranom väl behagade, såsom hans fader David.
3 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, katika mwezi wa kwanza, Hezekia aliifungua milango ya nyumba ya Yahwe na kuikarabati.
Han lät upp dörrarna på Herrans hus, i första månadenom af första årena sins rikes, och gjorde dem färdiga;
4 Akawaleta ndani makuhani na Walawi, na akawakusanya pamoaja katika uwanda upande wa mashariki.
Och lät komma derin Presterna och Leviterna, och församlade dem på breda gatone östantill;
5 Akawaambia, “Nisikilizeni, ninyi Walawi! Jitakaseni wenyewe, na itakaseni nyumba ya Yahwe, Mungu wa babu zenu, na uondoeni mbali uchafu kutoka kwenye sehemu takatifu.
Och sade till dem: Hörer härtill, I Leviter: Helger eder nu, på det I mågen helga Herrans edra fäders Guds hus; och hafver ut orenligheten af helgedomenom.
6 Kwa kuwa babu zetu walikosea na kufanya kilichokuwa uovu katika macaho ya Yahwe Mungu wetu; walimsahau, wakageuzia mbali nyuso zao kutoka sehemu ambapo Yahwe anaishi, na kuigeuzia migongo yao.
Ty våre fäder hafva förtagit sig, och gjort det ondt var för Herranom vårom Gud, och hafva öfvergifvit honom; förty de hafva vändt sitt ansigte ifrå Herrans boning, och vändt ryggen till,
7 Pia waliifunga milango ya ukumbi nakuziweka nje taa; hawakufukiza uvumba au kutoa sadaka za kuteketezwa katika sehemu takatifu kwa Mungu wa Israeli.
Och hafva igenlyckt dörrarna till förhuset, och utsläckt lamporna, och intet rökverk röka låtit, och intet bränneoffer gjort Israels Gudi i helgedomenom.
8 Kwa hiyo hasira ya Yahwe ilikuwa imeshuka juu ya Yuda na Yerusalemu, na amewafanya kuwa kitu cha wasiwasi, cha hofu, na cha kudharauriwa, kama mnavyoona kwa macho yenu.
Deraf är Herrans vrede kommen öfver Juda och Jerusalem, och han hafver gifvit dem till att förskingras och förödas, så att man hvisslar åt dem, såsom I med edor ögon sen.
9 Hii ndiyo maana mababu zetu wameanguka kwa upanga, na wana wetu, binti zetu, na wake zetu wako katika utumwa kwa sababu ya hili.
Ty si, fördenskull äro våre fäder fallne genom svärd; våre söner, döttrar och hustrur äro bortförde.
10 Sasa ni katika moyo wangu kufanya agano na Yahwe, Mungu wa Israeli, ili kwamba hasira yake kali iweze kugeukia mbali nasi.
Nu hafver jag i sinnet att göra med Herranom Israels Gud ett förbund, att hans vrede och grymhet må vända sig ifrån oss.
11 Wanangu, msiwe wavivu sas, kwa kuwa Yahwe amewachagua kwa ajili ya kusimama mbe yake, kwa ajili ya kumwabudu yeye, na kwamba muwe watumishi wake na kufukiza uvumba.”
Nu, mine söner, varer icke försummelige; ty eder hafver Herren utkorat, att I skolen stå för honom, och att I skolen vara hans tjenare och rökare.
12 Basi Walawi wakainuka; Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa watu wa Kohathi; na wa watu wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wargeshoni, Yoa mwana wa Zimna, na Edeni mwana wa Yoa;
Då stodo Leviterna upp, Mahath, Amasai son, och Joel, Asaria son af de Kehathiters barn; men af Merari barn, Kis, Abdi son, och Asaria, Jehaleleels son; af de Gersoniters barn, Joah, Simma son, och Eden, Joahs son;
13 wa wana wa Elisafani, Shimri na Yeueli; wa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;
Och af Elizaphans barn, Simri och Jegiel; af Assaphs barn, Sacharia och Matthania;
14 wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.
Af Hemans barn, Jehiel och Simei; af Jeduthuns barn, Semaja och Usiel.
15 Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa wenyewe, na wakaenda ndani, kama alivyoamru mfalme, wakifuata maneno ya Yahwe, kwa ajili ya kuisafisha nyumba ya Yahwe.
Och de församlade sina bröder, och helgade sig, och gingo in, efter Konungens bud, af Herrans ord, till att rena Herrans hus.
16 Makuhani wakaenda kwenye sehemu za ndani ya nyumba ya Yahwe kwa ajili ya kuisafisha; wakaleta nje uchafu wote walioukuta ndani ya hekalu la Yahwe katika uwanja wa nyumba. Walawi wakauchukua kuubeba nje ya hadi kwnye kijito cha Kidroni.
Och Presterna gingo in uti Herrans hus, till att rena det, och lade all den orenhet, som i Herrans tempel funnen vardt, uppå gården åt Herrans hus; och Leviterna togo henne upp, och båro ut i Kidrons bäck.
17 Sasa wakaanza utakaso katika siku ya kwanza ya mwezi. Katika siku ya nane ya mwezi wakaufikia ukumbi wa Yahwe. Kisha siku nane zaidi wakaitakasa nyumba ya Yahwe. Katika siku ya kumi na sita ya mwezi wa kwanza wakamaliza.
På första dagen af första månadenom begynte de till att helga sig, och på åttonde dagen i den månaden gingo de uti Herrans förhus, och helgade Herrans hus åtta dagar, och fullkomnade det på sextonde dagen i första månadenom.
18 Kisha wakaenda kwa Hezekia, mfalme, ndani ya ikulu na kusema, “Tumeisafisha nyumba yote ya Yahwe, madhabahu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa pamoja na vifaa vyake vyote, na meza ya mkate wa uwepo, pamoja na vifaa vyake vyote.
Och de gingo in till Konung Hiskia, och sade: Vi hafve renat hela Herrans hus, bränneoffrets altare, och all dess tyg; skådobrödens bord, och all dess tyg;
19 Kwa hiyo tumejiandaa na tumevitakasa vitu vyote ambavyo Mfalme Ahazi aliviondoa wakati alipoenda kwa ukengeufu katika kipindi cha utawala wake, ona, viko mbele ya madhabahu ya Yahwe.”
Och all de kärile, som Konung Ahas, då han Konung var, bortkastat hade, då han syndade; dem hafve vi tillredt och helgat, si, de äro för Herrans altare.
20 Kisha Hezekia mfalme akaamka mapema asubuhi na kuwakusanya viongozi wa miji; akaenda kwenye nyumba ya Yahwe.
Då var Konung Jehiskia bittida uppe, och församlade de öfversta i stadenom, och gick upp till Herrans hus;
21 Wakaleta ng'ombe waume saba, kondoo waume saba, wanakondoo saba, mbuzi waume saba kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya mfalme, kwa ajili ya patakatifu, kwa ajili ya Yuda. Akawaamuru makuhani, wana wa Haruni, kuwatoa sadaka juu ya madhabahu ya Yahwe.
Och hade fram sju stutar, sju vädrar, sju lamb och sju getabockar, till syndoffer, för riket, för helgedomen, och för Juda. Och han sade till Presterna Aarons barn, att de skulle offra på Herrans altare.
22 Kwa hiyo wakawachinja ng'ombe, na makuhani wakaipokea damu na kuinyunyiza juu ya madhabahu. Wakawachinja kondoo dume, na kunyunyiza damu juu ya madhabahu; Pia wakawachinja wanakondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.
Då slagtade de stutarna, och Presterna togo blodet, och stänkte det på altaret; och slagtade vädrarna, och stänkte blodet på altaret; och slagtade lamben, och stänkte blodet på altaret;
23 Wakawaleta mbuzi kwa ajili ya sadka ya dhambi mbele ya mfalme na kusnyiko; wakaweka mikono yao juu ya hao mbuzi.
Och hade bockarna fram till syndoffer inför Konungen och menighetena, och lade sina händer på dem;
24 Makuhani wakawachinja, na wakafanya sadaka ya dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote, kwa maana mfalme alikuwa ameamuru kuwa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya dhambi lazima zifanywe kwa ajili ya Israeli wote.
Och Presterna slagtade dem, och stänkte deras blod på altaret, till att försona hela Israel; ty Konungen hade befallt offra bränneoffer och syndoffer för hela Israel.
25 Hezekia akawaweka Walawi katika nyumba ya Yahwe wakiwa na matoazi, vinanda, na vinubi, akiwapanga kwa amri ya Daaudi, Gadi, mwonaji wa mfalme, na Nathani, nabii, kwa maana amri ilitoka kwa Yahwe kupitia manabii wake.
Och han satte Leviterna i Herrans hus med cymbaler, psaltare och harpor, såsom David det befallt hade, och Gad, Konungens Siare, och den Propheten Nathan; ty det var Herrans bud igenom hans Propheter.
26 Walawi wakasimama na vyombo vya Daudi, na makauhani wakasimama na matarumbeta.
Och Leviterna stodo med Davids strängaspel, och Presterna med trummeter.
27 Hezekia akawaamuru kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu. Sadaka zilipoanza, wimbo wa Yahwe ukaanza pia, kwa matarumbeta, pamoja na vyombo vya Daudi, mfalme wa Israeli.
Och Hiskia bad dem göra bränneoffer på altarena; och som man begynte bränneoffret, begyntes ock på Herrans sång och trummeterna, och med mångahanda Davids, Israels Konungs, strängaspel.
28 Kusanyiko lote wakaabudu, waimbaji wakaimba, na wapiga matarumbeta wakapiga; yote hayo yakaendele hadi sadaka za kuteketezwa zilizipokwisha.
Och hela menigheten tillbad; Och sångarenas sång och trummeternas trummetning varade allt intilldess bränneoffret öfverfaret var.
29 Walipomaliza kutoa sadaka, mfalme na watu waliokuwepo pamoja naye wakainama, na kusujudu.
Då nu bränneoffret gjordt var, bugade sig Konungen, och alle de som när honom vid handen voro, och tillbådo.
30 Vile vile, Hezekia, mfalme, na viongozi wakawaamuru Walawi kuimba ili kumsifu Yahwe kwa maneno ya Daudi na ya Asafu, mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainama chini wakasujudu.
Och Konung Jehiskia, med öfverstarna, bad Leviterna lofva Herran, med Davids och den Siarens Assaphs dikt. Och de lofvade honom med glädje; och de böjde sig, och tillbådo.
31 Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu wenyewe kwa Yahwe. Njoni hapa na mlete sadaka na dhabihu za shukrani katika nyumba ya Yahwe.” Kusanyiko wakaleta sadka na dhabihu za shukrani, na wote waliaokuwa na moyo wa kuhiyalika wakaleta sadka za kuteketezwa.
Och Jehiskia svarade, och sade: Nu hafven I fyllt edra händer Herranom; går fram och bärer fram offer och lofoffer till Herrans hus. Och menigheten bar fram offer och lofoffer; och hvar och en af friviljogt hjerta bränneoffer.
32 Hesabu ya sadaka za kuteketezwa ambazo kusanyiko walileta ilikuwa ng'ombe sabini, kondoo waume mia moja, na wanakondo waume mia mbili. Wote hao walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahwe.
Och talet på bränneoffret, som menigheten frambar, var sjutio oxar, hundrade vädrar, och tuhundrad lamb; och allt detta till bränneoffer Herranom.
33 Sadaka za kuwekwa wakfu zilikuwa ng'ome mia sita na kondoo elfu tatu.
Och de helgade sexhundrad oxar, och tretusend får.
34 Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuchuna sadaka zote za kuteketezwa, kwa hiyo ndgugu zao, Walawi, wakawasaidia hadi kazi ilipoisha, na hadi makuhani walipoweza kujitakasa wenyewe, kwa maana Walawi walikuwa makaini sana kujitaksa wenyewe kuliko makuhani.
Men Presterna voro för få, och förmådde icke draga hudena af allo bränneoffrena; derföre togo de sina bröder Leviterna, tilldess det verk öfverståndet vardt, och så länge Presterna helgade sig; förty de Leviter stå lätteligare till att helga, än Presterna.
35 Zaidi ya hayo, palikuwa na sadaka za kuteketezwa nyingi sana; zilitolewa pamoja na sadaka za mafauta za amani, na kulikuwa na sadaka za vinywaji kwa kila sadaka ya kuteketezwa. Kwa hiyo huduma ya nyumba ya Yahwe ikawekwa katika utaratibu.
Var också bränneoffret mycket, med det feta af tackoffren, och drickoffret till bränneoffret. Alltså vardt ämbetet i Herrans hus redo.
36 Hezekia akafurahia, na watu pia, kwa sababu ya kile ambacho Mungu alikuwa ameandaa kwa ajili ya watu, kwa maana kazi ilikuwa imekamilika haraka.
Och Jehiskia fröjdade sig med allo folkena, att man var så redo vorden med Gudi; ty det skedde med hastighet.

< 2 Nyakati 29 >