< 2 Nyakati 29 >

1 Hezekia alianza kutawala alipokuwa na umri wa miaka ishirini na mitano; alitawala miaka ishini na nane katika Yerusalemu. Jina la mama yake aliitwa Abiya; alikuwa binti wa Zekaria.
Et Ezéchias fut roi à l'âge de vingt-cinq ans et il régna vingt-neuf ans à Jérusalem. Or le nom de sa mère était Abia, fille de Zacharie.
2 Alifanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi baba yake alivyofanya.
Et il fit ce qui est bien aux yeux de l'Éternel, en tout à l'exemple de David, son père.
3 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, katika mwezi wa kwanza, Hezekia aliifungua milango ya nyumba ya Yahwe na kuikarabati.
Quant à lui, dès la première année de son règne, au premier mois, il rouvrit les portes du Temple de l'Éternel et les restaura.
4 Akawaleta ndani makuhani na Walawi, na akawakusanya pamoaja katika uwanda upande wa mashariki.
Et il convoqua les Prêtres et les Lévites et les assembla dans la place orientale,
5 Akawaambia, “Nisikilizeni, ninyi Walawi! Jitakaseni wenyewe, na itakaseni nyumba ya Yahwe, Mungu wa babu zenu, na uondoeni mbali uchafu kutoka kwenye sehemu takatifu.
et il leur dit: Écoutez-moi, Lévites! Maintenant mettez-vous en état de sainteté, et mettez en état de sainteté le Temple de l'Éternel, Dieu de vos pères, et ôtez du Sanctuaire la souillure.
6 Kwa kuwa babu zetu walikosea na kufanya kilichokuwa uovu katika macaho ya Yahwe Mungu wetu; walimsahau, wakageuzia mbali nyuso zao kutoka sehemu ambapo Yahwe anaishi, na kuigeuzia migongo yao.
Car nos pères ont été infidèles et ont fait ce qui est mal aux yeux de l'Éternel, notre Dieu, et ils l'ont abandonné et ont détourné leurs regards de la résidence de l'Éternel et lui ont tourné le dos;
7 Pia waliifunga milango ya ukumbi nakuziweka nje taa; hawakufukiza uvumba au kutoa sadaka za kuteketezwa katika sehemu takatifu kwa Mungu wa Israeli.
ils ont aussi fermé les portes du vestibule et éteint les lampes, et n'ont pas brûlé d'encens, ni offert d'holocaustes dans le Sanctuaire au Dieu d'Israël.
8 Kwa hiyo hasira ya Yahwe ilikuwa imeshuka juu ya Yuda na Yerusalemu, na amewafanya kuwa kitu cha wasiwasi, cha hofu, na cha kudharauriwa, kama mnavyoona kwa macho yenu.
Aussi la colère de l'Éternel a-t-elle éclaté sur Juda et Jérusalem, dont Il a fait un objet de vexations, d'horreur et de moquerie, comme vous le voyez de vos yeux.
9 Hii ndiyo maana mababu zetu wameanguka kwa upanga, na wana wetu, binti zetu, na wake zetu wako katika utumwa kwa sababu ya hili.
Et voici pour cela, nos pères sont tombés sous le glaive, et nos fils et nos filles et nos femmes sont dans la captivité.
10 Sasa ni katika moyo wangu kufanya agano na Yahwe, Mungu wa Israeli, ili kwamba hasira yake kali iweze kugeukia mbali nasi.
Maintenant j'ai à cœur de solenniser une alliance avec l'Éternel, Dieu d'Israël, à l'effet de détourner de nous le feu de sa colère.
11 Wanangu, msiwe wavivu sas, kwa kuwa Yahwe amewachagua kwa ajili ya kusimama mbe yake, kwa ajili ya kumwabudu yeye, na kwamba muwe watumishi wake na kufukiza uvumba.”
Mes fils, à cette heure point de nonchalance! car c'est vous que l'Éternel a élus pour vous tenir devant lui, le servir et être ses ministres et lui brûler l'encens.
12 Basi Walawi wakainuka; Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa watu wa Kohathi; na wa watu wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wargeshoni, Yoa mwana wa Zimna, na Edeni mwana wa Yoa;
Alors se levèrent les Lévites Mahath, fils d'Amasaï, et Joël, fils d'Azaria, d'entre les fils des Cahathites; et d'entre les fils de Merari, Kis, fils d'Abdi, et Azaria, fils de Jehaléleël; et d'entre les Gersonites, Joah, fils de Zimma, et Eden, fils de Joah;
13 wa wana wa Elisafani, Shimri na Yeueli; wa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;
et d'entre les fils d'Elitsaphan, Simri et Jehiel; et d'entre les fils d'Asaph, Zacharie et Mathania;
14 wa wana wa Hemani, Yehueli na Shimei; na wa wana Yeduthuni, Shemaya na Uzieli.
et d'entre les fils de Heiman, Jehiel et Siméï, et d'entre les fils de Jeduthun, Semaïa et Uzziel.
15 Wakawakusanya ndugu zao, wakajitakasa wenyewe, na wakaenda ndani, kama alivyoamru mfalme, wakifuata maneno ya Yahwe, kwa ajili ya kuisafisha nyumba ya Yahwe.
Et ils réunirent leurs frères et se mirent en état de sainteté, et ils vinrent selon l'ordre du roi conforme aux paroles de l'Éternel pour la purification de la Maison de l'Éternel.
16 Makuhani wakaenda kwenye sehemu za ndani ya nyumba ya Yahwe kwa ajili ya kuisafisha; wakaleta nje uchafu wote walioukuta ndani ya hekalu la Yahwe katika uwanja wa nyumba. Walawi wakauchukua kuubeba nje ya hadi kwnye kijito cha Kidroni.
Et les Prêtres entrèrent dans l'intérieur de la Maison de l'Éternel, et toutes les souillures qu'ils trouvèrent dans le Temple de l'Éternel, ils les tirèrent dans le parvis de la Maison de l'Éternel; et les Lévites les enlevèrent pour les mener dehors au torrent du Cédron.
17 Sasa wakaanza utakaso katika siku ya kwanza ya mwezi. Katika siku ya nane ya mwezi wakaufikia ukumbi wa Yahwe. Kisha siku nane zaidi wakaitakasa nyumba ya Yahwe. Katika siku ya kumi na sita ya mwezi wa kwanza wakamaliza.
Et ils commencèrent la sanctification le premier jour du premier mois, et le huitième jour du mois ils arrivèrent au vestibule de l'Éternel; et employèrent huit jours à la purification du Temple de l'Éternel; et le seizième jour du premier mois ils avaient terminé.
18 Kisha wakaenda kwa Hezekia, mfalme, ndani ya ikulu na kusema, “Tumeisafisha nyumba yote ya Yahwe, madhabahu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa pamoja na vifaa vyake vyote, na meza ya mkate wa uwepo, pamoja na vifaa vyake vyote.
Alors ils entrèrent dans l'intérieur chez le roi Ézéchias et dirent: Nous avons purifié tout le Temple de l'Éternel, et l'autel des holocaustes et tous ses ustensiles, et la table des pains de présentation et tous ses ustensiles,
19 Kwa hiyo tumejiandaa na tumevitakasa vitu vyote ambavyo Mfalme Ahazi aliviondoa wakati alipoenda kwa ukengeufu katika kipindi cha utawala wake, ona, viko mbele ya madhabahu ya Yahwe.”
et toute la vaisselle profanée par le roi Achaz pendant son règne dans sa rébellion, nous l'avons mise en état et sanctifiée: et la voilà devant l'autel de l'Éternel.
20 Kisha Hezekia mfalme akaamka mapema asubuhi na kuwakusanya viongozi wa miji; akaenda kwenye nyumba ya Yahwe.
Alors le roi Ézéchias dès le matin assembla les chefs de la ville et monta au Temple de l'Éternel.
21 Wakaleta ng'ombe waume saba, kondoo waume saba, wanakondoo saba, mbuzi waume saba kama sadaka ya dhambi kwa ajili ya mfalme, kwa ajili ya patakatifu, kwa ajili ya Yuda. Akawaamuru makuhani, wana wa Haruni, kuwatoa sadaka juu ya madhabahu ya Yahwe.
Et ils offrirent sept taureaux et sept béliers et sept agneaux et sept boucs en expiation pour le royaume et pour le Sanctuaire et pour Juda. Et il ordonna aux Prêtres, fils d'Aaron, de sacrifier sur l'autel de l'Éternel.
22 Kwa hiyo wakawachinja ng'ombe, na makuhani wakaipokea damu na kuinyunyiza juu ya madhabahu. Wakawachinja kondoo dume, na kunyunyiza damu juu ya madhabahu; Pia wakawachinja wanakondoo na kuinyunyiza damu juu ya madhabahu.
Alors les Prêtres égorgèrent les taureaux dont ils reçurent le sang, et ils en aspergèrent l'autel, et ils égorgèrent les béliers et avec leur sang aspergèrent l'autel, et ils égorgèrent les agneaux et avec leur sang aspergèrent l'autel.
23 Wakawaleta mbuzi kwa ajili ya sadka ya dhambi mbele ya mfalme na kusnyiko; wakaweka mikono yao juu ya hao mbuzi.
Et ils amenèrent les boucs expiatoires devant le roi et l'Assemblée, qui imposèrent leurs mains sur eux,
24 Makuhani wakawachinja, na wakafanya sadaka ya dhambi kwa damu yao juu ya madhabahu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli wote, kwa maana mfalme alikuwa ameamuru kuwa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya dhambi lazima zifanywe kwa ajili ya Israeli wote.
et les Prêtres les égorgèrent, et avec leur sang firent l'expiation sur l'autel, en propitiation pour tout Israël; car c'était pour tout Israël que le roi avait ordonné l'holocauste et l'expiation.
25 Hezekia akawaweka Walawi katika nyumba ya Yahwe wakiwa na matoazi, vinanda, na vinubi, akiwapanga kwa amri ya Daaudi, Gadi, mwonaji wa mfalme, na Nathani, nabii, kwa maana amri ilitoka kwa Yahwe kupitia manabii wake.
Et il fit tenir les Lévites dans le Temple de l'Éternel avec des cymbales et des harpes et des luths selon l'ordre de David et de Gad, Voyant du roi, et de Nathan, le prophète; car l'ordre avait été donné par l'Éternel, par ses prophètes.
26 Walawi wakasimama na vyombo vya Daudi, na makauhani wakasimama na matarumbeta.
Et les Lévites étaient là avec les instruments de David, et les Prêtres avec les trompettes.
27 Hezekia akawaamuru kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu. Sadaka zilipoanza, wimbo wa Yahwe ukaanza pia, kwa matarumbeta, pamoja na vyombo vya Daudi, mfalme wa Israeli.
Et Ézéchias ordonna d'offrir des holocaustes sur l'autel, et quand commençait l'holocauste, commençait le chant de l'Éternel, et les trompettes et l'accompagnement, des instruments de David, roi d'Israël.
28 Kusanyiko lote wakaabudu, waimbaji wakaimba, na wapiga matarumbeta wakapiga; yote hayo yakaendele hadi sadaka za kuteketezwa zilizipokwisha.
Et toute l'Assemblée se prosterna, et le chant retentit, et les trompettes sonnèrent, le tout jusqu'à la consommation de l'holocauste.
29 Walipomaliza kutoa sadaka, mfalme na watu waliokuwepo pamoja naye wakainama, na kusujudu.
Et quand l'holocauste fut achevé, le roi et tous ceux qui se trouvaient avec lui, s'inclinèrent et adorèrent.
30 Vile vile, Hezekia, mfalme, na viongozi wakawaamuru Walawi kuimba ili kumsifu Yahwe kwa maneno ya Daudi na ya Asafu, mwonaji. Wakaimba sifa kwa furaha, wakainama chini wakasujudu.
Et le roi Ézéchias et les chefs dirent aux Lévites de louer l'Éternel avec les paroles de David et d'Asaph, le Voyant. Et ils louèrent avec allégresse et s'inclinèrent et adorèrent.
31 Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu wenyewe kwa Yahwe. Njoni hapa na mlete sadaka na dhabihu za shukrani katika nyumba ya Yahwe.” Kusanyiko wakaleta sadka na dhabihu za shukrani, na wote waliaokuwa na moyo wa kuhiyalika wakaleta sadka za kuteketezwa.
Et Ézéchias prit la parole et dit: Maintenant vous vous êtes consacrés à l'Éternel, approchez et amenez des victimes et des sacrifices d'actions de grâces au Temple de l'Éternel. Alors l'Assemblée amena des victimes et des sacrifices pacifiques, et tout homme généreux des holocaustes volontaires.
32 Hesabu ya sadaka za kuteketezwa ambazo kusanyiko walileta ilikuwa ng'ombe sabini, kondoo waume mia moja, na wanakondo waume mia mbili. Wote hao walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahwe.
Et voici le nombre des victimes offertes par l'Assemblée: soixante-dix taureaux, cent béliers, deux cents agneaux, tout autant d'holocaustes à l'Éternel,
33 Sadaka za kuwekwa wakfu zilikuwa ng'ome mia sita na kondoo elfu tatu.
et six cents bœufs, et trois mille moutons furent consacrés.
34 Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuchuna sadaka zote za kuteketezwa, kwa hiyo ndgugu zao, Walawi, wakawasaidia hadi kazi ilipoisha, na hadi makuhani walipoweza kujitakasa wenyewe, kwa maana Walawi walikuwa makaini sana kujitaksa wenyewe kuliko makuhani.
Seulement les Prêtres étaient trop peu nombreux, et ils ne pouvaient écorcher toutes les victimes; alors ils furent aidés par leurs frères les Lévites jusqu'à ce que l'opération fût terminée, et que les [autres] Prêtres se fussent mis en état de sainteté, car les Lévites avaient été plus scrupuleux que les Prêtres pour se mettre en état de sainteté.
35 Zaidi ya hayo, palikuwa na sadaka za kuteketezwa nyingi sana; zilitolewa pamoja na sadaka za mafauta za amani, na kulikuwa na sadaka za vinywaji kwa kila sadaka ya kuteketezwa. Kwa hiyo huduma ya nyumba ya Yahwe ikawekwa katika utaratibu.
Mais aussi il y avait là une multitude d'holocaustes en même temps que les graisses des victimes pacifiques et les libations des holocaustes. Et ainsi fut restauré le service du Temple de l'Éternel.
36 Hezekia akafurahia, na watu pia, kwa sababu ya kile ambacho Mungu alikuwa ameandaa kwa ajili ya watu, kwa maana kazi ilikuwa imekamilika haraka.
Et Ézéchias et tout le peuple se réjouirent de ce que Dieu avait donné la disposition au peuple; car la chose s'était faite promptement.

< 2 Nyakati 29 >