< 2 Nyakati 28 >
1 Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
Dwadzieścia lat miał Achaz, gdy królować począł, a szesnaście lat królował w Jeruzalemie, i nie czynił, co było dobrego przed oczyma Pańskiemi, jako Dawid, ojciec jego;
2 Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
Ale chodził drogami królów Izraelskich; nadto ulał i słupy bałwochwalskie.
3 Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
Także i sam kadził w dolinie Benhennon, i palił synów swych ogniem według obrzydliwości pogan, których wygnał Pan przed synami Izraelskimi.
4 Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
Ofiarował też i kadził na wyżynach, i na pagórkach, i pod każdem drzewem gałęzistem.
5 Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
Przetoż dał go Pan, Bóg jego, w rękę króla Syryjskiego, którzy poraziwszy go, pojmali z ludu jego więźniów wiele, a przywiedli ich do Damaszku. Nadto i w rękę króla Izraelskiego podany jest, który go poraził porażką wielka.
6 Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
Albowiem Facejasz, syn Romelijaszowy, pobił w Judzie sto i dwadzieścia tysięcy dnia jednego, wszystko mężów walecznych, przeto, iż opuścili Pana, Boga ojców swoich.
7 Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
Zychry także, mocarz Efraimski, zabił Maasajasza, syna królewskiego, i Asrykama, przełożonego domu jego, i Elkana, wtórego po królu.
8 Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
Nadto pojmali synowie Izraelscy z braci swych dwa kroć sto tysięcy niewiast, synów, i córek, i bardzo wiele łupów pobrali od nich, i zaprowadzili korzyść do Samaryi.
9 Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
I był tam prorok Pański, imieniem Obed, który zaszedłszy onemu wojsku idącemu do Samaryi, rzekł im: Oto, rozgniewawszy się Pan, Bóg ojców waszych, na Judę, podał ich w rękę waszę, a wyście ich pomordowali w popędliwości, która aż do nieba przyszła.
10 Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
A jeszcze lud z Judy i z Jeruzalemu chcecie sobie podbić za niewolników i za niewolnice; azaż i przy was samych nie ma występku przeciw Panu, Bogu waszemu?
11 Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
Przetoż teraz mię słuchajcie, a odwiedźcie więźniów, którycheście pojmali z braci waszych; bo pewnie gniew popędliwości Pańskiej wisi nad wami.
12 Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
Tedy powstali mężowie z książąt synów Efraimowych: Azaryjasz, syn Johananowy, Barachyjasz, syn Mesyllemotowy, i Ezechyjasz, syn Sallumowy, i Amasa, syn Hadlajowy przeciwko tym, którzy się wracali z wojny;
13 Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
I rzekli do nich: Nie wodźcie tu tych więźniów; bo grzech przeciwko Panu na nas myślicie przywieść, przyczyniając do grzechów naszych, i do występków naszych: bo wielki jest grzech nasz, i gniew popędliwości nad Izraelem.
14 Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
Przetoż ono wojsko zostawiło i więźniów i łupy swe przed książętami, i przed wszystkiem zgromadzeniem.
15 Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
A powstawszy mężowie, którzy są z imienia mianowani, wzięli onych więźniów, a wszystkich obnażonych między nimi przyodziali z onych korzyści, a przyodziawszy ich i dawszy im obuwie, nakarmili ich, i napoili ich, i pomazali ich, i odprowadzili na osłach każdego słabego, a przyprowadzili ich do Jerycha, miasta palm, do braci ich: a potem się wrócili do Samaryi.
16 Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
Naonczas posłał król Achaz do królów Assyryjskich, aby mu pomoc dali:
17 Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
Bo jeszcze byli przyciągnęli i Edomczycy, i porazili Judę, a nabrali więźniów.
18 Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
Nadto i Filistynowie wtargnęli do miast w równinach, i na południe do Judy, a wzięli Betsemes, i Ajalon, i Gaderot, i Sokot i wsi jego, i Tamne i wsi jego, i Gimzo i wsi jego, a mieszkali w nich.
19 Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
Pan bowiem poniżał Judę dla Achaza, króla Izraelskiego, przeto, iż odwrócił Judę, aby się przewrotnie obchodził z Panem.
20 Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
I przyciągnął do niego Tyglat Filneser, król Assyryjski, który go bardziej ucisnął, aniżeli mu pomógł.
21 Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
A chociaż pobrał Achaz skarby z domu Pańskiego, i z domu królewskiego, i od książąt, a dał królowi Assyryjskiemu, przecież go nie ratował.
22 Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
A czasu największego swego ucisku przyczyniał grzechów przeciwko Panu. Takić był król Achaz.
23 Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
Albowiem ofiarował bogom z Damaszku, od których był porażony, i mówił: Ponieważ bogowie królów Syryjskich pomagają im, będę im ofiarował, aby mię ratowali; ale mu oni byli na upadek, i wszystkiemu Izraelowi.
24 Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
Przetoz pobrał Achaz naczynia domu Bożego, i pokruszył one naczynia domu Bożego, i zamknął drzwi domu Pańskiego, i pobudował sobie ołtarze po wszystkich kątach w Jeruzalemie.
25 Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
Także i w każdem mieście Judzkiem poczynił wyżyny, aby kadził bogom cudzym, i wzruszył ku gniewu Pana, Boga ojców swoich,
26 Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
Ale inne sprawy jego, i wszystkie postępki jego, pierwsze i poślednie, zapisane są w księgach o królach Judzkich i Izraelskich.
27 Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.
I zasnął Achaz z ojcami swymi, i pochowali go w mieście w Jeruzalemie; bo go nie wprowadzili do grobów królów Izraelskich; a Ezechyjasz, syn jego, królował miasto niego.